Hawa wa namna hii inabidi mkuu uwazoee tu, wamejaa kila mahali, wanakimbilia kufungua thread wakati hawajui wanataka kuandika nini.Dah, kweli ni Tabutupu , hivi ameteuliwa kuwa Katibu mkuu wa Wizara gani?
Nashindwa kuunganisha dot kati ya Pv=nRT na social psychology! for example!Kumbe humjui Prof Kitila Mkumbo. au hujui sayansi ni nini. Unajua huyu ni mtaalam wa Psychology? unafaham Psychology ni Sayansi? usiwe na haraka sana ku comment au ku conclude. uwe kabla hujaandika unawauliza wataalam kama sisi tunakuelezea.
Kwani vitendo siyo majibu ya hoja...we vipMimi ameniboa aliposema kuwa badala ya kuwa anaihoji Serikali sasa atazijibu hoja zinazoibana Serikali ipasavyo. Nilitegemea angesema atafanya kwa vitendo kuonesha utendaji makini katika kazi yake mpya.
TABUTUPU ULICHOFANYA WEWE NIKUBADILISHA LUGHA NA MSEMO TUU LAKINI DHUMUNI NI LILELE ALILOLILENGA PROF. KITILIYA ... SOME TIMES UNAWEZA KUDHANI UNAJUA NA UNAWEZA KILAKITU LABDA KWA ELIMU ULIYO NAYO AU MADARAKA AU KIPATO CHAKO BUT MY FRIEND YOUR VERY VERY VERY WRONG.... AND JUST FOOLING YOUR SELF...Katika hotuba yake ya kwanza amezungumzia Kilimo cha umwagiliaji kama ndio kipaumbele chake katika kutimiza majukumu yake katika wizara ya maji.
Swali langu, toka lini kipaumbele cha wizara ya maji ni kilimo cha umwagiliaji? Kilimo cha umwagiliaji ni kipaumbele cha wizara ya kilimo kimkakati.
Wizara ya maji tunahitaji utwambie tutapataje maji safi na salama . Kwani hujui ni kiwango gani cha wanchi hawana maji salama?
Hicho sio cheo cha kisiasa.
Hata kukosha basi la mwendokasi ni umwagiliaji. Uwanja wa mpira nao unafanyiwa umwagiliaji. Ni sawa na meneja wa Tanesco kusema kipaumbele chake ni viwanda. Kilimo cha umwagiliaji ni jukumu la wizara ya kilimo, wizara ya maji jukumu lao kuhakikisha maji ya kumwagilia yanapatikana kwa wateja wao ambao ni wakulima. Sawa na Tanesco kusupply umeme kwenye viwanda.Kwa taarifa yako Wizara ya maji ndiyo wamiliki wa maji yote hapa nchini ,wizara ya kilimo haiwezi kuanzisha mradi wa umwagiliaji bila kibali cha wizara ya maji.
Halafu wizara yake inaitwa wizara ya maji na umwagiliaji unafikiri neno umwagiliaji limewekwa hapo kimakosa?
ACHA UJINGA WW, KWANI WIZARA YAKE INAITWAJE,???Katika hotuba yake ya kwanza amezungumzia Kilimo cha umwagiliaji kama ndio kipaumbele chake katika kutimiza majukumu yake katika wizara ya maji.
Swali langu, toka lini kipaumbele cha wizara ya maji ni kilimo cha umwagiliaji? Kilimo cha umwagiliaji ni kipaumbele cha wizara ya kilimo kimkakati.
Wizara ya maji tunahitaji utwambie tutapataje maji safi na salama . Kwani hujui ni kiwango gani cha wanchi hawana maji salama?
Hicho sio cheo cha kisiasa.
Katika hotuba yake ya kwanza amezungumzia Kilimo cha umwagiliaji kama ndio kipaumbele chake katika kutimiza majukumu yake katika wizara ya maji.
Swali langu, toka lini kipaumbele cha wizara ya maji ni kilimo cha umwagiliaji? Kilimo cha umwagiliaji ni kipaumbele cha wizara ya kilimo kimkakati.
Wizara ya maji tunahitaji utwambie tutapataje maji safi na salama . Kwani hujui ni kiwango gani cha wanchi hawana maji salama?
Hicho sio cheo cha kisiasa.
Mm nadhani aligusia kuhusu upatikanaji wa maji mjini na vijjn,akapigia msumari kuwa hiyo ndiyo kazi yake.Katika hotuba yake ya kwanza amezungumzia Kilimo cha umwagiliaji kama ndio kipaumbele chake katika kutimiza majukumu yake katika wizara ya maji.
Swali langu, toka lini kipaumbele cha wizara ya maji ni kilimo cha umwagiliaji? Kilimo cha umwagiliaji ni kipaumbele cha wizara ya kilimo kimkakati.
Wizara ya maji tunahitaji utwambie tutapataje maji safi na salama . Kwani hujui ni kiwango gani cha wanchi hawana maji salama?
Hicho sio cheo cha kisiasa.
kijana jitahidi kuelewe ile umwagilia ina kazi gani kwenye wizara yake unadhani ni kumwangilia ndoo za maji .Katika hotuba yake ya kwanza amezungumzia Kilimo cha umwagiliaji kama ndio kipaumbele chake katika kutimiza majukumu yake katika wizara ya maji.
Swali langu, toka lini kipaumbele cha wizara ya maji ni kilimo cha umwagiliaji? Kilimo cha umwagiliaji ni kipaumbele cha wizara ya kilimo kimkakati.
Wizara ya maji tunahitaji utwambie tutapataje maji safi na salama . Kwani hujui ni kiwango gani cha wanchi hawana maji salama?
Hicho sio cheo cha kisiasa.