Prof. Kitila Mkumbo, umeanza kwa kuchemka

Prof. Kitila Mkumbo, umeanza kwa kuchemka

Sasa wewe mleta Uzi unapingana na katibu mkuu wa wizara?? We unadhani idara ya Sera na mipango (policy & planning department) kazi yake ni ipi huko wizarani....kwahiyo usichanganye mambo, yote yanawezekana. Go......go...go re professeri Kitila Mkumbo
 
Katika hutuba yake ya kwanza amezungumzia Kilimo cha umwagiliaji kama ndio kipaumbele chake katika kutimiza majukumu yake katika wizara ya maji.

Swali langu, toka lini kipaumbele cha wizara ya maji ni kilimo cha umwagiliaji? Kilimo cha umwagiliaji ni kipaumbele cha wizara ya kilimo kimkakati.

Wizara ya maji tunahitaji utwambie tutapataje maji safi na salama . Kwani hujui ni kiwango gani cha wanchi hawana maji salama?

Hicho sio cheo cha kisiasa.

We ndo ufahamu kitu Kitengo cha Ujenzi wa Mabwawa na Skimu za Umwagiliaji zipo Chini ya Wizara ya Maji
 
Hayo mambo ndo kitaalamu yanaitwa "cross-sectional issue" yaani masuala mtambuka.

Hiz wizara 2 znafanya kaz kwa muingiliano mkubwa, kuingiliana kwa majukumu huku ndiko watu kunatuchanganya kimsingi Kitila yuko sahihi ila hawez kutimiza hicho kipaumbele chake bila ku consult wizara nyingne.
 
We ndo ufahamu kitu Kitengo cha Ujenzi wa Mabwawa na Skimu za Umwagiliaji zipo Chini ya Wizara ya Maji
Najua , lakini kipaumbele cha wizara ya maji sio umwagiliaji? elewa somo linalo endelea hapa.
 
Sasa wewe mleta Uzi unapingana na katibu mkuu wa wizara?? We unadhani idara ya Sera na mipango (policy & planning) kazi yake ni ipi huko wizarani....kwahiyo usichanganye mambo, yote yanawezekana. Go......go...go re professeri Kitila Mkumbo
unataka aannze kukimbizana na kumwagilia bangi wakati binadamu hawana maji safi na salama.
 
Kwa taarifa yako Wizara ya maji ndiyo wamiliki wa maji yote hapa nchini ,wizara ya kilimo haiwezi kuanzisha mradi wa umwagiliaji bila kibali cha wizara ya maji.
Halafu wizara yake inaitwa wizara ya maji na umwagiliaji unafikiri neno umwagiliaji limewekwa hapo kimakosa?

Ni sawa, ila priority haiwezi kuwa umwagiliaji, we must discuss the source kabla ya matumizi, the source ni upatikanaji wa maji, huwezi weka kipaumbele umwagiliaji wakati maji hayatoshi
 
Akimbizane nao niaje...wakatwajibu wa kukimbizana na walima bange ni kazi ya mkuu Mwigulu Nchemba na vijana wake wa kazi.(ref kazi ya aliyemtolea kipaja cha kukupa Nape).

By the way, nyinyi si ndo mnaongoza kwa Ku google "green house farming" kila siku, afu mkitaka kujibiwa kwa vitendo mnaanza kusema ooh katibu mkuu kushindwa wakat ana siku 2 tu ofisini.

unataka aannze kukimbizana na kumwagilia bangi wakati binadamu hawana maji safi na salama.
 
Katika hotuba yake ya kwanza amezungumzia Kilimo cha umwagiliaji kama ndio kipaumbele chake katika kutimiza majukumu yake katika wizara ya maji.

Swali langu, toka lini kipaumbele cha wizara ya maji ni kilimo cha umwagiliaji? Kilimo cha umwagiliaji ni kipaumbele cha wizara ya kilimo kimkakati.

Wizara ya maji tunahitaji utwambie tutapataje maji safi na salama . Kwani hujui ni kiwango gani cha wanchi hawana maji salama?

Hicho sio cheo cha kisiasa.
Ungekuwa wewe Kipaumbele chako ingekuwa nini? nafikiri ingekuwa bora tumuache afanye kazi mwisho ndiyo tuweze kujua kama kiongozi bora au sio kiongozi kutokana na utendaji wake wa kazi.
 
Stop this nonsense..Hao wanasayansi ambao wamejazana serikalini wametufanyia nini mpaka sasa hivi? Last time I checked...most of key departments serikalini zimeshikiliwa na the so called wanasayansi. What have they got to show for it? Zaidi ya wao kulia lia njaa tuu na kujipendekeza kwa wakubwa.......

Agghhhhh......Post nyingine mpaka zinatia mpaka ukakasi kuzisoma!
Mfano Wizara ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi
 
Ungekuwa wewe Kipaumbele chako ingekuwa nini? nafikiri ingekuwa bora tumuache afanye kazi mwisho ndiyo tuweze kujua kama kiongozi bora au sio kiongozi kutokana na utendaji wake wa kazi.
kipaumbele kinaeleweka ni maji safi na salama. Dar yenyewe maji shida kisha MTU anakuja na umwagiliaji kama kipaumbele..
 
Tume ya Umwagiliaji ipo wiazara ya maji hivyo kitila alikuwa sawa kusemea kilimo cha umwagiliaji. jamani Mvuvi sio lazima akavue
 
Stop this nonsense..Hao wanasayansi ambao wamejazana serikalini wametufanyia nini mpaka sasa hivi? Last time I checked...most of key departments serikalini zimeshikiliwa na the so called wanasayansi. What have they got to show for it? Zaidi ya wao kulia lia njaa tuu na kujipendekeza kwa wakubwa.......

Agghhhhh......Post nyingine mpaka zinatia mpaka ukakasi kuzisoma!
We pia ni nguin, at any level, huwezi ukamchukua political scientist kuwa daktari bingwa wa upasuaji! That stands unchallenged, ingawa daktari bingwa anaweza akakosea, sometimes!
 
Vision yake binafsi au ya wizara na waziri na "chama chake"?

Jamani uongozi ni coordination na hakuna jingine, sitaki kukubaliana kwamba tunataka Kitila akashike pipe rangers!
Kwanza Tushukuru ameweza hata kutamka "vision" yake ya umwagiliaji, inatakiwa sasa tusubiri/ tufuatilie tuone ni kwa namna gani atafikia hio ndoto yake kwa kipindi atakachokuwa hapo wizarani kama mratibu wa hio Wizara.
 
Tume ya Umwagiliaji ipo wiazara ya maji hivyo kitila alikuwa sawa kusemea kilimo cha umwagiliaji. jamani Mvuvi sio lazima akavue
sawa lakini hicho sio kipaumbele, au kwa kuwa tunajali Faru John kuliko Watu wanaokufa hata hatuna habari nao.

Wizara ya maji in a support wizara ya kilimo kwa kuwa yenyewe ndio yenye maji, lakini kipaumbele ni maji safi na salama kwa watanzania.
 
Tatizo la wachangiaji wa JF ni wivu. Mlianza kusema oooh angekataa post eti kwa vile alikosoaga uteuzi wa wasomi zamani. saizi ohh kipaumbele sijui nii. Ujinga wenu. yote ni wivu tu.
 
Tatizo la wachangiaji wa JF ni wivu. Mlianza kusema oooh angekataa post eti kwa vile alikosoaga uteuzi wa wasomi zamani. saizi ohh kipaumbele sijui nii. Ujinga wenu. yote ni wivu tu.
soma Uzi kabla ya kukurupuka kuchangia..
 
NADHANI HUAJELEWA HATA MAANA YA WIZARA YA"MAJI NA UMWAGILIAJI" UNADHANI KATIKA UMWAGILIAJI WANAMWAGILIA LENTA ZA MAGHOROFA?
 
kipaumbele kinaeleweka ni maji safi na salama. Dar yenyewe maji shida kisha MTU anakuja na umwagiliaji kama kipaumbele..
Kama unafatilia wakandarasi sehemu nyingi nchini kwa sasa wanashughulikia ujenzi wa miundombinu ya maji safi na salama, vizuri na yeye akija na kipaumbele cha umwagiliaji, ingawa anatakiwa kuendeleza miradi ya maji safi na salama.
 
sawa lakini hicho sio kipaumbele, au kwa kuwa tunajali Faru John kuliko Watu wanaokufa hata hatuna habari nao.

Wizara ya maji in a support wizara ya kilimo kwa kuwa yenyewe ndio yenye maji, lakini kipaumbele ni maji safi na salama kwa watanzania.
Nikuulize hukumsikia Kitila aliposema anajua tatizo namba moja kwa watanzania ni Maji au ulikuwa unavusha? ulitaka arudierudie?Hujuwi au hiyo alimaanisha hajuwi watza wanahitaji maji?
 
Back
Top Bottom