Safi sana, CCM Oyeeeeee.
Una ushahidi wa kisayansi wa haya uliyosema?. Kila mtu hapa duniani yupo kwanza kwa maslahi binafsi kwa kati 50% hadi 75%, halafu maslahi ya wengine.
kiona mbaliJimbo aliloachia nyarandu linaviziwa nn?
Hapo hata mimi huwa siwaelewiSheria za utumishi wa umma kwa nafasi yake zinasemaje?
Siasa ni mchezo mchafu, Mkumbo sasa hivi yuko kwenye system, siku zote ukitaka kula vizuri lazima uwe kwenye system mazima.
Mama Anna Mghwira naye siku si nyingi atahamia CCM.
katibu mkuu ni mtumishi wa umma sidhani kama sheria inaruhusuSheria za utumishi wa umma kwa nafasi yake zinasemaje?
Hahahahahahahaha......mkuu hivi Kama angehamia Chadema au Chama chochote cha upinzani...ungeyaandika haya uliyoyaandika? Au ungekuwa na maoni tofauti?
Maana ume investigate, uka prosecute na kutoa hukumu!
Kwetu wakirud tunakuwa tumekata mikia ko hata akirud anajulikana tu. ..mana wanaondoka wenyew wanarud wenyew chama kubwaNi kweli ni SACCOS za watu, ukileta fyoko unafungashiwa virago vyako. Ogopa chama kinacholamba matapishi yake ni hatari sana, wenye uelewa wanatafakari na kujiondoa haraka "MASHA".
Kama ni kweli sasa ataweza kutimiza majukumu yake bila kuzingirwa na jinamizi la upinzani uchwara usio na nia ya kushika dola!
Tangu lini alikuwa mpinzani?Siasa ni mchezo mchafu, Mkumbo sasa hivi yuko kwenye system, siku zote ukitaka kula vizuri lazima uwe kwenye system mazima.
Mama Anna Mghwira naye siku si nyingi atahamia CCM.
Ahsante MKUU hii njaa inatufanya tupoteze ni jinsi gani tulivyo.Anajiunga ccm Mara mbili?
Ama kweli
"Huwezi kushinda vita ukiwa Na njaa"