Hivi nyie wana jf mna shule kweli,kwanini mtumishi wa umma hasiwe mwanachama wa chama cha siasa,Kwa hiyo mwanachama ni wakulima na wafanyabiashara tu?Mtumishi wa UMMA ni kosa kuwa mwanachama wa chama fulani. Shame CCM
Siyo anaandaliwa kugombea jimbo aliloliacha Nyalandu kweli!Hilo lilisha jukikana mapema na 2020 atapambanishwa kumtoa mwigulu ndio mpango uko hivyo
sheria haikatazi mtumishi kuwa mwanachama wa chama cha siasa. Ila inamkataza asijihusishe na masuala ya siasa mahala pa kazi.katibu mkuu ni mtumishi wa umma sidhani kama sheria inaruhusu
mfano ,akitaka kugombea ubunge au nafasi yoyote ya kisiasa itabidi ajiuzulu au mpaka ashinde ndio anajiuzulu?sheria haikatazi mtumishi kuwa mwanachama wa chama cha siasa. Ila inamkataza asijihusishe na masuala ya siasa mahala pa kazi.
Hiyo sheria ilipitishwa na wabunge wa CCM yenu.Hivi nyie wana jf mna shule kweli,kwanini mtumishi wa umma hasiwe mwanachama wa chama cha siasa,Kwa hiyo mwanachama ni wakulima na wafanyabiashara tu?
Watumishi pekee wasioruhusiwa ni watumishi kwenye majeshi ya ulinzi na usalama,hapo ndipo mnapochanganya.Hiyo sheria ilipitishwa na wabunge wa CCM yenu.
Ukitaka kugombea nafasi ya uongozi katika vyama vya siasa katika kura za unaomba likizo, then ukishapitishwa kuwa mgombea wao rasmi wa kwenmda kushindana na vyama vingine ndo unatakiwa kuacha kazi. au ukichaguliwa kuwa kiongozi wa chama cha siasa ndani ya chama pia unapaswa kuacha kazi. Ila kuwa mwanachama Watanzania wote wakulima na wafanyakazi wanaruhusiwa kuwa wanachama. Ndo maana katika ile benderra ya chama ambacho vijana wengi kwa sasa wanaichukia (CCM) kuna alama ya Nyundo na Jembe kuonesha kuwa ni chama cha wakulima na wafanyakazi isipokuwa waliopo katika vyombo vya ulinzi na usalama.mfano ,akitaka kugombea ubunge au nafasi yoyote ya kisiasa itabidi ajiuzulu au mpaka ashinde ndio anajiuzulu?
Sheria ipi hiyo?Watumishi pekee wasioruhusiwa ni watumishi kwenye majeshi ya ulinzi na usalama,hapo ndipo mnapochanganya.
Wanajeshi na askari na usalama wa taifa ndio hawaruhusiwi.
Ila walimu,madaktari,etc wanaruhusiwa
Hahahahahahahaha......mkuu hivi Kama angehamia Chadema au Chama chochote cha upinzani...ungeyaandika haya uliyoyaandika? Au ungekuwa na maoni tofauti?
Maana ume investigate, uka prosecute na kutoa hukumu!
Haaahaaaa hawana guts umewajaribu?? ccm Imefanya nni nipe hata kimoja walichofanikiwa ndani ya miaka 50!!! Narudia tena Kma unafaham hta kitu kimoja walichofanikiwa ccm Kwa hii miaka 50 tuambieAcheni wivu wa kijinga.Uvivu tu..na ninyi ingieni darasani mpate hizo PhD kama ni rahisi. Kwani walio CDM ndiyo njaa haiwaumi?mnainanga CCM sababu ya njaa zenu na si vinginevyo. Hamna guts za kuendeleza nchi.Eti CCM haijafanya kitu kwa miaka 50 ya uhuru..!Ingekuwa haijafanya kitu leo ww ungekuwa ktk keyboard unapost uchafu dhidi ya Chama ambacho kimekutoa matongotongo?
Mbona mwaka huu akihojiwa clouds FM alidai ccm imechoka ipishe??? Kivp leo aione inafaa hta Miezi kumi haijaishaMwache tu aje, maana amepima, akaona nchi hii upinzani umepoteza welekeo.
Hahahahahahahaha......mkuu hivi Kama angehamia Chadema au Chama chochote cha upinzani...ungeyaandika haya uliyoyaandika? Au ungekuwa na maoni tofauti?
Maana ume investigate, uka prosecute na kutoa hukumu!