utukufu mwanjisi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 2,830
- 2,417
CCM naona kila siku inapokea watu na akili zao ambao wameamua kuachana na SACCOS zile
Mkuu wewe bwabwaja tu lakini NJAA haina mbabe hata uwe na degree 500!Acheni wivu wa kijinga.Uvivu tu..na ninyi ingieni darasani mpate hizo PhD kama ni rahisi. Kwani walio CDM ndiyo njaa haiwaumi?mnainanga CCM sababu ya njaa zenu na si vinginevyo. Hamna guts za kuendeleza nchi.Eti CCM haijafanya kitu kwa miaka 50 ya uhuru..!Ingekuwa haijafanya kitu leo ww ungekuwa ktk keyboard unapost uchafu dhidi ya Chama ambacho kimekutoa matongotongo?
Mkuu system ipi unaizungumzia? Unamfahamu Kitila Mkumbo? Kiufupi hakuwai kuwa nje ya hiyo unayoiita system.Siasa ni mchezo mchafu, Mkumbo sasa hivi yuko kwenye system, siku zote ukitaka kula vizuri lazima uwe kwenye system mazima. Mama Anna Mghwira naye siku si nyingi atahamia CCM.
Nimecheka sana hakuna kitu kibaya kama kuamua kuweka akili zako mfukoni,
Naona ameamua kubeba kichwa chake kichwani kama mzigo juu ya mabega
Le professeli kweli njaa ya kuanzia kichwani kuelekea tumboni ni mbaya sana, Njaa ingeanzia tumboni tungempa chakula
Maprofesa wa kitanzania ni majanga kama majanga mengine
Ni muhimu kubadili huu mfumo wetu wa elimu, watu hawajawahi fanya jambo la maana wanasoma tu makaratasi na kuitwa maprofesa
Shame On them
Sheria za utumishi wa umma kwa nafasi yake zinasemaje?
Alijenga chama juu ya topeSidhani kama Zito alitambua kuwa amezungukwa na viongozi wa namna hii.
Mwenyekiti wa Chama na mgombea urais wa Chama, katibu wa Chama, na mshauri mkuu wa Chama.
Wawili Wamehama, mwingine yuko na nafasi ya kiserikali.
Hawa ndio ilikuwa nguzo kuu ACT na waasisi wake.
Sasa ni kama wamemtelekeza nadhani angejua hili bora hata angebaki CHADEMA.
Je hao waliobaki wamemuzunguka wako salama?