usinisogeze
Senior Member
- May 6, 2017
- 195
- 119
Ndio Sheria inasema hivyo, unaweza kuwa mwanachama was chama chochote, isipokuwa kwa Askari yeyote haruhusiwi kuwa mwanachama was chama chochote mpaka atakapostaafu. Hivyo usiwe mbishi.Sheria ipi hiyo?