Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,826
Huju nadhani anaweza akapewa ukatibu mkuu wa CCM
Nimemquote Mh Lawrence Masha, alisema anawatoto, acha aangalie mbele. Ndiyo maana akaondoka Chadema.Kwamba kwa level ya profesa huwezi kufanya maisha nje ya siasa?! Hii nchi ya ajabu kama tutakua tumefikia huko
Chadema itajiua yenyewe kwa usajili mbovu wa mafisadi. You can fool some of the people for sometimes,but you can't fool all the people all the time!Baada ya kushindwa kwa mission yake ya kuiua CHADEMA ameamua kurejea alikotoka.
Kila la heri lakini ukumbuke kila kazi ina malipo yake
Mbona una hasira sana?Nimecheka sana hakuna kitu kibaya kama kuamua kuweka akili zako mfukoni,
Naona ameamua kubeba kichwa chake kichwani kama mzigo juu ya mabega.
Le professeli kweli njaa ya kuanzia kichwani kuelekea tumboni ni mbaya sana, Njaa ingeanzia tumboni tungempa chakula.
Maprofesa wa kitanzania ni majanga kama majanga mengine. Ni muhimu kubadili huu mfumo wetu wa elimu, watu hawajawahi fanya jambo la maana wanasoma tu makaratasi na kuitwa maprofesa.
Shame On them
Hizi lugha ziandikeni kule wakasome kina Al-Watan na wenzake!! Sasa hapo kwa kiswahili ndiyo unamaansha nini?Nani anawahitaji hawa social scientists hadi tuwape mikataba post their retirement limits?!
Tumbo mwanaharam shehee.'tumbo' hili jamani...!
nahodha mahiri hufa na chombo chake.Sidhani kama Zito alitambua kuwa amezungukwa na viongozi wa namna hii.
Mwenyekiti wa Chama na mgombea urais wa Chama, katibu wa Chama, na mshauri mkuu wa Chama.
Wawili Wamehama, mwingine yuko na nafasi ya kiserikali.
Hawa ndio ilikuwa nguzo kuu ACT na waasisi wake.
Sasa ni kama wamemtelekeza nadhani angejua hili bora hata angebaki CHADEMA.
Je hao waliobaki wamemuzunguka wako salama?
Namaanisha kwamba you're irrelevant....
Sasa hapo kwa kiswahili ndiyo unamaansha nini?
Yani kasingeshtukiwa haka kangepata madaraka CHADEMA ingekuwa imepoteaSafi sanaZitto Kabwe na kale katimu kao
Singida imerudi tena sisiemu baada ya Myalandu kusema singida imeondoka nae.
Au afanye "ONE MAN SHOW", kama mshikajiNamwonea huruma Zito anatakiwa na yeye afanye maamuzi magumu.