Mkuu, chadema alipigwa chini baada ya kutangaza nia ya kugombea uenyekiti wa chama: hiyo ilikuwa ni kuhatarisha nafasi ya mfalme wa chama.Sidhani kama Zito alitambua kuwa amezungukwa na viongozi wa namna hii.
Mwenyekiti wa Chama na mgombea urais wa Chama, katibu wa Chama, na mshauri mkuu wa Chama.
Wawili Wamehama, mwingine yuko na nafasi ya kiserikali.
Hawa ndio ilikuwa nguzo kuu ACT na waasisi wake.
Sasa ni kama wamemtelekeza nadhani angejua hili bora hata angebaki CHADEMA.
Je hao waliobaki wamemuzunguka wako salama?
Kwamba kwa level ya profesa huwezi kufanya maisha nje ya siasa?! Hii nchi ya ajabu kama tutakua tumefikia hukoAnawatoto nayeye, ameangalia mstakabari wake wa maisha ya hapo mbele.
Nami nina shaka juu ya utumishi wa ngazi ile kama anaruhusiwa kujiunga na chama cha siasa na hasa kwa hadhara kiasi kile.-Sheria za utumishi wa umma kwa nafasi yake zinasemaje?
Sheria za utumishi wa umma kwa nafasi yake zinasemaje?
Namwonea huruma Zito anatakiwa na yeye afanye maamuzi magumu.Alijenga chama juu ya tope
Hata wakimpa somo zuri wao watapewa somo baya. Siwezi kumtangaza mgombea wa chadema hata akishinda maana nalipwa na serikali ya CCM.Akijaribu kuthubutu wanyaturu watampa somo zuri sana, mtakuwa mashuhuda.