Prof. Kikwete aenda Marekani

Prof. Kikwete aenda Marekani

Mapinduzi yangetokea. Washauri wake au hata mkewe wanafanya nini. Siku 20 kwa rais wa nchi ni nyingi sana
 
OBAMA mwenyewe nchi imemshinda wapinzani wameshinda sasa huyu atashauriwa nini? prof ukirudi kichapo kikopalepale
UKAWA DAIMA.
 
Ingekuwa ni mchezaji wa timu fulani ya mpira wa miguu basi tungempeleka kwa mkopo timu nyingine maana daah...!
 
Anaenda kutafuta soko la mananasi akimaliza mda wake amesema atakuwa mkulima wa zao la mananasi
 
Daah....huyo Jamaa Meneja Wa Emirates huyoooo.....Mjomba #Pdidy njoooo
 
Anapanda Emirates wakati kampuni ya ndege ya taifa ATCL kaamua kuicha hoi!!
 
Nasikia baada ya kwenda china,,marekani wamezingua! Kwa hiyo mkuu anakwenda weka mambo sana na kuwapa mashavu ya rasilimali.
 
Nasikia huwa anaenda kisafisha damu,nasikia tu mtaani!
 
Mtakumbuka mwaka jana Mida kama hii alikuja kwa Safari iliyoitwa ya mapumziko na kucheck afya yake, na mwaka huu tena katika tarehe Zile Zile anakuja bila kubainisha anachokuja kufanya, kwa ufupi nyakati hizi ndio ambazo ibada za kifreemason huchanganya !!! Na ibada hizo huzidi baada ya sherehe kubwa ya kipagani(kishetani) ya Halloween kuwa imesherekewa ijumaa iliyopita, hivyo kuufanya mwezi mzima kuwa wa makafara na waabudu shetani kushika kasi


Naweza kukubaliana nawewe kwasababu hata mkewe sijaona wakiongozana
 
Na ili mpasuke zaidi akitoka marekani ni UK.
 
China wamempa uprofesa kwa sbb chini ya utawala wake wameingiza madeal mengi ya kuchukua rasiliimalli za tanzania na kuijenga china.Ndiyo maana walimpa mapokez makubwa.Hiyo ni heshima kwake kwa kuwezesha madeal.
 
Daaaah…shikamoo Proffessor……………..!!!

Umepublish pembe zetu za ndovu..ukapata promotion..!!

Hongera sana mjomba niko chini ya miguu yako!
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Back
Top Bottom