THINKINGBEING
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 2,779
- 1,304
Anamuitaje mwanaume mwenzie?Ameitwa na Obama.
Anamuitaje mwanaume mwenzie?Ameitwa na Obama.
Ndio yale mapumziko ya siku 20?
Mtakumbuka mwaka jana Mida kama hii alikuja kwa Safari iliyoitwa ya mapumziko na kucheck afya yake, na mwaka huu tena katika tarehe Zile Zile anakuja bila kubainisha anachokuja kufanya, kwa ufupi nyakati hizi ndio ambazo ibada za kifreemason huchanganya !!! Na ibada hizo huzidi baada ya sherehe kubwa ya kipagani(kishetani) ya Halloween kuwa imesherekewa ijumaa iliyopita, hivyo kuufanya mwezi mzima kuwa wa makafara na waabudu shetani kushika kasi
Ameitwa na Obama.