Prof. Kikwete aenda Marekani

Baba utunusuru na hili janga. Alizaliwa TZ, clinic kapelekwa hko hko kijijin kwao cjui chalinze!, alikuwa akitibiwa hospital za hapa hapa bongo mpaka kafikisha umri wa utu uzima, hata alipokuwa jeshin alipata matibabu hapa hapa, leo hii kuukwaa uongozi akiwa ni kijana mzee eti anaenda matibabu marekani???!! Nimegundua kwa nini wakilazagwa hko nje tunarudishiwa maiti huku kwetu. Na mifano ya viongozi wengi wa bara hili ambao leo hii ni historia na kumbukumbu zao ndo zimebakia baada ya kwenda kutibiwa nje.
 
Prof wa China anakwenda US kwa matibabu. Hapo juu ni shimo la Dari ya VIP lounge airport. Na kuzurura kote hakuna alichowahi kujifunza. Airport yetu chafu na mbeya kuliko zote duniani, inavuja mpaka aibu rangi zimefubaa utafikiri unaingia jikoni.
 
Watu wa usalama hili hawalioni! Ebu angalieni hiyo dari juu ya kichwa cha prof dr!
 
Ile safari ya kwenda US ni ndefu kweli kweli hata kama huko kwenye 1st class...sijui huyu kwa nini haichoki...kwa mwaka lazima azipige kama 10 hivi za US
 
Aiseee noma kwer sasa ndege ya Rais inafanya nn mpaka apande emirate?
 
Ila siku nyingine ukisafiri usisimame karibu na hilo dari lililotoboka! Unaweza angukiwa na panya au mbao zilizooza tutakupoteza rais wetu kipenzi. Nisalimie kale katoto kakubwa ka Obama. Safari njema.
 
Hivi katiba pendekezwa ina kifungu kinachozuia safari za viongozi wakubwa kama Rais? This is too much, Rais huwezi kufanya safari za namna hii. Ni hatari kwa kweli
 

Kwani anaekwenda hospitali anajua majaliwa ya kurudi kwake?
 
Mkuu Mzito K, angalia usije kuiponza jf, mkuu wa nchi kasafiri kwa safari muhimu ya kitaifa yenye maslahi kwa nchi yetu, wewe unamsingizia, amesafiri ili tuu, kwenda kupata huduma za kijamii?!. Tujuavyo sisi anaye mmoja tuu na ndiye anayetambulika officially, kitendo cha kumsingizia hayo mkuu wetu wa nchi, ni kumdhalilisha, kumvunjia heshima na kumshushia hadhi yake mbele ya jamii ya jf, kuonyeshea, kuwa japo zamani alikuwa ni "muzeiye wa michepuko!", unamaanisha hata baada ya kuingia pale "mahali patakatifu", bado anaiendeleza michepuko yake, ila kuepuka kupanajisi patakatifu pale, hiyo michepuko yake sasa ndio anaiendeshea kwa Obama?!.Oh Please tafadhali!.Pasco
 
Last edited by a moderator:

Huko kucheki afya ...mama kumuacha bongo !
 

Slaa kwenye kampeni za 2010 alisema tukiruhusu maccm warudi madarakani ni janga la taifa nauliza hill so zaidi ya janga la taifa bohari ya dawa wemesema hawana dawa kabisa mhimbili wame wamepandisha garama za uduma watu wana kufa bila msaada wowote ukiongea ukioji wanakuambia unatakafunja amani na kundoa mshika mano serekali hats kulipa mishahara wanalasimika
Kukopa benk nakuakikishia mwaka huu mmoja uliobakia kabla ya uchaguzi tushudia mambo mengi tuombe uzima
 
Ni moja kati ya laana za Mwl. Nyerere. Mtu kagombania Tanzania iwe huru mpaka akafungwa na wakoloni, leo hii anakuja msanii kuwa rais unafikiri Nyerere huko aliko ana Raha?

Nyerere mwenyewe ana laana na sasa yuko jehannam.

Ana jeuri ya kumlaani nani yule mchonga meno?

Laaana hiii unayoiona ndani ya taifa hili chanzo ni nyerere.

Simple logic ni kwamba.

Bila laana ya nyerere isingewepo ccm.

Na bila ccm asingewepo kikwete kama rais leo hii.

Hence proved that source ya laana ndani ya taifa hili ni Nyerere.
 
Duh! Na wewe siku hizi umekuwa mshauri? Yani mimi na akili zangu nifuate ushauri wako? Haki ya nani kama kuna watu huwa wanakusikiliza unapowapa ushauri basi akili zao zitakuwa ni makamasi kama wewe ulivyo kamasi.
Sasa kwa akili yako ndiyo unafikiri Tanzania siku moja itaongozwa na Chadema na Padre Dr.Slaa labda raia wote wafe
.
 
Mbowe yeye hana tatizo akitaka kusafiri anakamata mbunge wa viti maalum tu anakwenda kumjaza mimba.
 
Last edited by a moderator:
wagonjwa wanakufa kwakukosa dawa MSD hawajalipwa afu mkubwa nduki...kweli hii ndo TZ!!
 

Nyerere yupo jehanam?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…