beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Waziri wa Katiba na Sheria, Prof. Palamagamba Kabudi amesema Wizara nyingine pamoja na Taasisi zinaendelea na zoezi la kutafsiri Sheria zinazosimamia ili ifikapo Desemba 2021 Sheria zote ziwe zimetafsiriwa kwa Kiswahili.
Amesema Mahakama ipo katika hatua za mwisho kutafsiri Kanuni zaidi ya 50 zilizotayarishwa na Jaji Mkuu. Kwa upande wa Bunge, tayari imetafsiri Sheria inazosimamia.
Amewataka wale ambao bado hawajaanza zoezi hilo kufanya hivyo mara moja ili kuendana na Mpango Kazi na kumaliza kazi hiyo kwa wakati.
Amesema Mahakama ipo katika hatua za mwisho kutafsiri Kanuni zaidi ya 50 zilizotayarishwa na Jaji Mkuu. Kwa upande wa Bunge, tayari imetafsiri Sheria inazosimamia.
Amewataka wale ambao bado hawajaanza zoezi hilo kufanya hivyo mara moja ili kuendana na Mpango Kazi na kumaliza kazi hiyo kwa wakati.