Prof. Kabudi: Watanzania tuache uoga, hakuna atakayeshitakiwa na ACACIA

Upo sawa mno kuna watu wanatoa comment kwa mihemko pasipo kufikirisha angalau kiasi kidogo kwenye ubongo
 
acacia akashitaki nini wakati the new law does not apply kwa mikataba ya zamani?
 

Nalielewa sana hilo.

Nilikuwa tu nampa rejea huyo jamaa lakini kumbe jamaa mwenyewe hata kusoma na kuelewa alichokisoma ni mgogoro.

Ananiambia kuwa eti uzi ni wa 2006. Yaani miaka 11 ilopita.

Wakati uzi ni wa mwaka jana tu.

Na huyo jamaa ndo sampuli ya watu tunaobishana nao humu [wasio hata na attention to detail].

Ni shida.
 
PART I
PRELIMINARY PROVISIONS
Short title and
commencement
1.-(1) This Act may be cited as the Natural
Wealth and Resources Contracts (Review and Re-
negotiation of Unconscionable Terms) Act, 2017.
(2) The Act shall come into operation on such
date as the Minister may, by notice published in the Gazette, appoint.
 
Dah!

Uzi ni wa 2006?

Kumbe mtu mwenyewe hata kusoma vizuri na kuelewa ulichokisoma ni shida!

Kumbe ndo maana!

Jumapili njema.

Bwaaaahaaaaaa bwaaahaaaaaa, bonge la aibu imekupata. We chapa mwendo huna jipya, na kuanzia sasa hicho kuherehere kitakuisha.
 
Huyu Professor nae anatetea kaugali kake tu. Nani kamwambia tunaogopa kushtakiwa? Tunachomwambia watumie akili kwa kubadilisha sheria kwanza kabla ya kuparamia Makinikia ambayo kisheria ni mali ya mwekezaji. Hizo akili zingegundua hilo tungeshukuru.
Hivyo viswanglish vyake vya nn wakati tunasisitiza Kiswahili kitumike zaidi?
 
Bwaaaahaaaaaa bwaaahaaaaaa, bonge la aibu imekupata. We chapa mwendo huna, na kuanzia sasa hicho kuherehere kitakuisha.

Hiyo aibu ni ubunifu wa mawazo yako.

Hakuna cha aibu wala haiba hapa.
 
Kwa hiyo hapa unataka kusema nini?

Nisaidie mimi ambaye sijui kiingereza!
 
bunge la sasa sioni umuhimu wake tena hasa hasa kwa uyu job ndugai kupitia wabunge wake wa ccm!!sioni tena check&balance maana limekuwa msemaji wa serikali badala ya kuwa kuisimamia serikali!!yani juzi nimeshuhudia mbunge mmoja ambaye sio waziri wala nini anadiriki mpk kusema sisi kama serikali!!!yni kashindwa kujitambua kabisa yy ni nani!!cthani kama hata hii miswada itaenda kutendewa haki uko bungenu kwa hii trend iliyopo sasa!!nchi imekuwa na utawala wa absolute monarchy.,mtu mmoja anakuwa kama mungu mtu!!thanks to judiciary kidogo linajitambua
 
Nenda nao tu polepole, hii ndiyo Tanzania yenye watu wanadhani wanajua wakati hawajui.

Unakuta mjinga fulani anasema Prof, Kabudi hajui sheria wakati huyo anayesema, hata ukimuuliza nini maana ya sheria hawezi kukupa jibu sahihi.

Hii nchi ina matatizo zaidi ya tudhaniavyo!
 
Aliendelea kusema‘’Hatuwezi kuwa na wawekezaji ambao hatufaidiki nao nani bora madini tuyaache badala ya kuyachimba ili tusubiri hao kizazi kijacho watakaokuwa na busara na akili kwa sababu sisi tumeshindwa. Madini huwa hayaozi

=======
Hapa ni kama ametukana wale wote waliotukifisha hapa katika suala la madini.
Kimsingi Proff amewatukana Ma SISIEM wote kwa ujumla waliokuwepo chamani na Serikalini tokea tunaingia hiyo Mikataba
 
Nmesoma thread na comments zake Ila nmefika hapa ikanibidi kuandika. Hii ndiyo Tanzania tuitakayo, watanzania wasimamia ukweli bila kujali vyama. Wengi wetu tunashabikia hadi uozo kisa tu umetoka kweny chama chetu. Wewe ni Mzalendo, Hakika big up
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…