MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,976
- Thread starter
- #41
Mkuu;Kwa akili yako unaamini kwamba kesi ya masamaki taifa lilishindwa??? Hakuna hukumu ya kwamba taifa lilishindwa kesi hiyo ila ni watu tu waliamua kupiga dili na watuhumiwa
Usipoteze sana muda wako kujenga hoja na watu ambao ni akili kiazi!
Hao watafundishwa na mazingira!