cacocaca
Senior Member
- Feb 13, 2015
- 171
- 99
Upo sawa mno kuna watu wanatoa comment kwa mihemko pasipo kufikirisha angalau kiasi kidogo kwenye ubongoWewe uwezo wako kifikra uko chini sana!
Mada zingine angalau uwe unakuwa msomaji tu lakini kwa sababu hujui kama uwezo wako ni kiduchu ndio maana unaandika vikomenti vyako vya kitoto kitoto kwenye mada hata ambazo zinahitaji tafakuri pana la watu wenye upeo mpana.
Ujinga ni mzigo katika jamii yenye uelewa mkubwa!
Ninashangaa kuona hata mazingira yameshindwa kukuelimisha!