Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Pamoja na yoote hayo mazuri anayoyasema Kabudi !!. Ni awamu ya tatu ya Ben iliyotuiingiza ktk matatizo makubwa na sasa kupitia kwa Mkulu ni kuwa hata majina yao tusiyataje!!. Halafu ndiyo mashujaa eti wamefanya makubwa!!! Bila kuwajibishana hakuna lolote hasa kwa watawala