Prof. Kabudi nachelea kukuamini kama kweli mlishinda kesi Afrika ya Kusini, tusipende kuona uongo kuwa sehemu kubwa ya siasa za Tanzania

Serikali iseme ukweli tu, walikubaliana nini na huyu mkulima kule SA.....

Haiwezekani huyu Mkulima Steyn apate uhalali wa kisheria kukamata mali ya serikali ya Tanzania kama hana support ya kisheria....

Na kukamata mali ya mdai, ni ujumbe wa kuitwa mahakamani mkayazungumze na kuyaweka sawa....

Nendeni Canada mkapambane na huyu ndugu na kama mlikubaliana kitu SA na mmepuuza kukitekeleza eti tu kwa sababu mliichukua ndege mikononi mwake, this time mtamlipa tu maana huko ni nje ya Africa....
 
Hivi S.A ata kesi ilisikilizwa si walipoenda mahakamani ikabainika hiyo nchi hawana jurisdiction ya kusikiliza kesi yenyewe na sinema ikaishia hapo hapo.
Wewe unaleta 'version' ambayo hata serikali wataipinga.
Serikali walisema "wameshinda kesi", wewe unakuja na swali la mahakama kutokuwa na 'jurisdiction' juu ya kesi hiyo! huoni kwamba unawapiga dongo serikali?
 
.... hiyo mikataba ya kimataifa itaendelea kutubana hata kama tutaacha kutengenezea ndege zetu Canada, tukihamia nchi nyingine kama nayo ili_sign hiyo mikataba bado tutaendelea kubanwa tu, issue kama tunajiamini huyo mkulima hana anachotudai, basi tumuache aendelee kubadilisha tu hizo mahakama aende kila nchi, kwani tutampiga tu!, but kama ni vinginevyo, bora kuongea nae tu, ili hizi vurugu za ndege kukamatwa mara huku mara kule ziishe.
Umetoa wazo zuri lililoshiba.
 
Mwanangu hii bonge la ndonga
Kumsummon Balozi wa Canada ni kutaka kumuonea tu. Wenzetu kule wanaheshimu mihimili yao. Kabudi anabwabwaja tu ili bosi wake aone kama hili "limemuudhi" na kwamba yupo "analifanyia kazi". I believe anajua kabisa kinachoendelea na uwaziri aliopeewa baada ya kuokotwa jalalani haujaformat ubongo wake na kudelete the little he knew about Laws.
 
hukumu haiwezi kukatiwa rufaa katika nchi nyingine hata kama rufaa take ilisikilizwa katika nchi nyingine?
Mbona unajichanganya? Ndio maana umeambiwa Canada kilichofunguliwa ni Excursion ya hukumu iliyopo sio kukatiwa rufaa. Na hukumu ni ileile iliyo amuliwa na mahakama yetu hapa kuwa tumlipe.
Afrika kusini kesi iliondolewa mahakamani kwa makosa ya kiufundi katika kufungua lakini sisi tukarudi na matambo tumeshinda kesi, mabingwa wetu wa ma PhD wamefanya yao na hata bungeni matamko ya kufa mtu yakamwagwa.
End of story, tukalala mradi tumemuona Rais kachekelea.
Mkulima yeye hajalala kaenda kuibukia Canada na angeweza kuibukia Mumbai.
Kabudi aache kumdanganya danganya Rais kwa vile anapenda sifa. Anapomdanganya hamdanganyi Magufuli bali anamdanganya Rais wa JMT hivyo anatudanya kama taifa na ni uhaini huo.
 
Tujiulize kwanza, je huyo mkulima ana tudai?
umesema mwenyewe kama kesi imefunguliwa upande mmoja Wa jumuiya ya madola inaweza kusikilizwa nchi nyingine ya jumuiya hiyo kama aliyefungua kesi kakata rufaa. sasa hapo tatizo liko wapi? kwani kesi ikiamriwa na nchi moja ya jumuiya ya madola, haiwezi kufunguliwa kwa nchi nyingine tena?

Kwani afrika kusini ,serikali haikushinda kweli? kama ni haki kukata rufaa nchi nyingine yoyote mwanachama Wa jumuiya, uongo Wa Kabudi unakujaje? Hivi kwa mawazo yako Canada itampatia tu hiyo ndege?

Naamini katika uwezo Wa Kabudi na zaidi ya yote Nina imani na nia na dhumuni la Mhe.Rais ,ninaamini Tanzania tuna wanasheria wazalendo na waaminifu wenye uwezo Wa kusimamia kesi yoyote ya kizandiki, kilaghai na kizushi inayofunguliwa mahakama yoyote duniani kwa maslahi mapama ya taifa letu
 
Moja wapo ya ishara kwamba kesi hatukushinda huko Afrika Kusini ni "Kuzuia ndege zisiende huko."
Ile sababu ya 'vurugu' za wakati huo ilikuwa ni gheresha tu.
Kabisa mkuu, na uongo huo watu wakaumeza bila maji.
Hakika hawa waunga mkono na juhudi huu ugonjwa walio nao siku wakijitambua wanaweza kunywa sumu wafe kabisa.
Maana wengine wana elimu zao kabisa!
 

Hamna anayegoma nyie kushinda kesi, bali deni mtalipa ili mjue kutii sheria.
 
Kabudi anatulisha matango pori, huenda South tulishinda kesi ya kuzuiwa ndege tu na sio kuhusu deni, afu hii mikwara yao wawe wanapeleka kwa wajinga, nchi kama Canada wako mbali kwa kila kitu, wanaheshimu utawala wa sheria, hayo maneno aliyomwambia balozi nimepata mashaka na elimu yake. Na huenda hawa ndo wanampotosha rais kwenye ushauri
 
Tuache upofu na kuchekelea kukamatwa Ndege ya serikali.Kazi ya balozi ni kulinda maslahi ya nchi yake,kama kashindwa hilo,ameangukia puwa.
Mbona chanzo cha mgogoro sii Magufuli au Kabudi?
Je Nyerere alifanya makosa kuchukuwa ardhi aliokuwa anamiliki huyo mzungu aliyekuwa anajigamba kuwa ameiweka serikali ya Nyerere mfukoni? Mbona sheria yetu inasema ardhi ni mali ya taifa?
Sasa kama mabeberu nchini mlitengeza deal ili upate cha juu kama ilivyokuwa huko nyuma mkatufanya watu baki.Muda siyo rafiki.
Ni muda wa kujitambua kuwa ni maslahi ya taifa la Tanzania kwanza.
 
Wewe unaleta 'version' ambayo hata serikali wataipinga.
Serikali walisema "wameshinda kesi", wewe unakuja na swali la mahakama kutokuwa na 'jurisdiction' juu ya kesi hiyo! huoni kwamba unawapiga dongo serikali?
Swala sio serikari inasema nini bali facts ya kilichojiri mahakamani.


Mahakama ya huko aikuwa na jurisdiction ya kusikiliza kesi.
 
Kwanza naomba niombe radhi kwa balozi wa Canada nchini Tanzania kama kweli ulimuita na kumzungumzia yale uliyozungumza leo.

Pili siamini kama hujui kuwa kuna tofauti kubwa kati ya Marekani na Canada kwani Canada yupo jumuiya ya madola wakati Marekani haipo.

Sasa basi, tuje kwenye hoja ya mkulima kufungua kesi kule Afrika ya kusini na hatimaye akakamata ile Air bus. Sijui mawakili wako wa serikali walienda kule kuzungumza nini kwani inaonekana dhahiri kuwa mkulima huyu ana hoja kwenye madai yake ya USD 33 million. Na dalili za wazi zinaonyesha kuwa mkulima huyu alishinda kesi hiyo.

Ni kwa maana hiyo basi mkulima ametumia moja ya kipengele muhimu sana kwenye mkataba wa jumuiya ya madola ambacho kinatoa uhuru wa hukumu iliyoamuliwa na mahakama moja ya nchi mwanachama kutumika kwenye nchi yoyote ile mwanachama ndani ya jumuiya ya madola. Afrika kusini ni mwanachama wa jumuiya ya madola kama walivyo Tanzania na Canada. Sasa hoja ifuatayo inanifanya nimuone Kabudi kama muongo wa kutupwa na kweli nimeendelea kumshushia heshima kama ambavyo nimefanya hivyo hapo kabla.

1. Kama serikali kweli ilishinda kesi huko Afrika kusini, mkulima huyu ametumia hukumu ipi kwenda kuzuia ndege Canada? Ikumbukwe kuwa asingeweza kuzuia ndege pasipo hukumu halali ya kimahakama, hukumu ambayo mnadai mlimshinda na akakata rufaa mkamshinda tena.

Ninaamini kuwa kwa Canada mkulima huyu anaenda kupata haki yake pasipo ubabaishaji wowote ule. Naipongeza Canada kwa kufuata kikamilifu mkataba wa jumuiya ya madola. Kupitia nchi za aina hii wengi wetu tunapona dhidi ya ukandamizaji wa mabeberu weusi ambao wanaua mamlaka zingine ili wasisumbuke.

Aidha Tundu Lissu alishatushauri kama kweli tunataka kuwa kama tunavyotaka basi tujiondoe kwenye mikataba yote ya kimataifa ikiwemo jumuiya ya madola. Otherwise tutaendelea kunyolewa. Na naamini tukijiondoa basi tutaumia zaidi.
Nilikuwa sijawaza kuwa na roho mbaya zidi ya watanzania wanao wata kutuhujumu, kwa haya ya leo nimetamani Rais Wetu kuwa dekteta kweli. Hiyo ni huruma yake Rais Magufuli ndiyo inayo msuta.

Naomba hao wahaini watakapo julikana ni kuwafanyika kimoja tu, Process fupi! Kuwakamata na kuwaua mara moja bila kupoteza mda wa kuwafubgulia mashtaka.

Nina uhakika yule mzee mkulima hana lengo la kuihujumu Tanzania, wata kuwa hao hao wana sheria wetu na baadhi ya watumishi wa serikali ndiyo wanao kazania kuturudisha nyuma kama kisasi cha kushindwa kutuibia kama walivyo zoea kama zamani.

Rais Magufuli hauko salama wewe. Kwa hali hii utakuwa umezungukwa na watu ambao mda wowote wakitaka wanaweza waka kudhuru. Una walea wewe mwenyewe!

Huruma yako ya kutaka kupendwa na kila mtanzania ndiyo inayo kusuta. Baadhi yetu hawatakupenda hata mara moja. Na ndiyo hao kama waziri Proff. Kabudi alivyo sema; "hawalali wana kesha kutafuta njia za kuturudisha nyuma". Nina uhakika watu hawa wakishindwa kabisa. Wanaweza wakabaki na Option moja tu, nayo ni kusaka uhai wako!!

Acheni huruma za kitanzania hazita saidia kitu. Hao watu ni kuwamaliza tu punde mnapo wabaini. Hao sio binadam wenzetu ni wanyama. Na kwa wanyama lazima tutumie "methodes of the jungle" kuwadhibiti!

Mimi sioni shida watu kama akina Lissu, Mange Kimabi na wengineo ambao wako nje kuwateketeza. Wasifikiri kwamba wana ulinzi mzuri, mbona ni kitu rahisi sana kuwadhuru!
Angekuwa Rais Putin hapo mbona wange kuwa wamesha ondoka zamani sana.

Zitto Kabwe na watu kama akina Maria Sarungi na wengineo mara kwa mara wanapata mialiko ya kwenda kukutana na viongozi wa vyama Ujerumani na baadhi ya nchi za Ulaya, wanaenda kufanya nini? Na kama nani wao wapewe mialiko hiyo?

Muwe mnamsikiliza sana kauli zake. "Eti tusilaumiane". Mzalendo wa kweli anayeipenda nchi yake anasema kauli kama hizo?

Rais Magufuli nakuomba watumishi wote wa serikali na wanachama wa vyama ambao wanashirikiana na NGOs kuwatupia macho ili kubaini nini kinaendelea. Tuna maadui wengi sana miongoni mwetu.
 
Swala sio serikari inasema nini bali facts ya kilichojiri mahakamani.


Mahakama ya huko aikuwa na jurisdiction ya kusikiliza kesi.

Hii habari inaonyesha kesi iliyotupiliwa mbali (ambayo tunaaminishwa tulishinda) ni ya kukamata ndege, ila sio kezi ya kudaiwa. Kesi ya deni la dola 33,000,000 iko pale pale na nadhani ndio hiyo inatuendesha sasa pale Canada.
 
Nilikuwa sijawaza kuwa na roho mbaya zidi ya watanzania wanao wata kutuhujumu, kwa haya ya leo nimetamani Rais Wetu kuwa dekteta kweli. Hiyo ni huruma yake Rais Magufuli ndiyo inayo msuta.

Naomba hao wahaini watakapo julikana ni kuwafanyika kimoja tu, Process fupi! Kuwakamata na kuwaua mara moja bila kupoteza mda wa kuwafubgulia mashtaka.

Nina uhakika yule mzee mkulima hana lengo la kuihujumu Tanzania, wata kuwa hao hao wana sheria wetu na baadhi ya watumishi wa serikali ndiyo wanao kazania kuturudisha nyuma kama kisasi cha kushindwa kutuibia kama walivyo zoea kama zamani.

Rais Magufuli hauko salama wewe. Kwa hali hii utakuwa umezungukwa na watu ambao mda wowote wakitaka wanaweza waka kudhuru. Una walea wewe mwenyewe!

Huruma yako ya kutaka kupendwa na kila mtanzania ndiyo inayo kusuta. Baadhi yetu hawatakupenda hata mara moja. Na ndiyo hao kama waziri Proff. Kabudi alivyo sema; "hawalali wana kesha kutafuta njia za kuturudisha nyuma". Nina uhakika watu hawa wakishindwa kabisa. Wanaweza wakabaki na Option moja tu, nayo ni kusaka uhai wako!!

Acheni huruma za kitanzania hazita saidia kitu. Hao watu ni kuwamaliza tu punde mnapo wabaini. Hao sio binadam wenzetu ni wanyama. Na kwa wanyama lazima tutumie "methodes of the jungle" kuwadhibiti!

Mimi sioni shida watu kama akina Lissu, Mange Kimabi na wengineo ambao wako nje kuwateketeza. Wasifikiri kwamba wana ulinzi mzuri, mbona ni kitu rahisi sana kuwadhuru!
Angekuwa Rais Putin hapo mbona wange kuwa wamesha ondoka zamani sana.

Zitto Kabwe na watu kama akina Maria Sarungi na wengineo mara kwa mara wanapata mialiko ya kwenda kukutana na viongozi wa vyama Ujerumani na baadhi ya nchi za Ulaya, wanaenda kufanya nini? Na kama nani wao wapewe mialiko hiyo?

Muwe mnamsikiliza sana kauli zake. "Eti tusilaumiane". Mzalendo wa kweli anayeipenda nchi yake anasema kauli kama hizo?

Rais Magufuli nakuomba watumishi wote wa serikali na wanachama wa vyama ambao wanashirikiana na NGOs kuwatupia macho ili kubaini nini kinaendelea. Tuna maadui wengi sana miongoni mwetu.
Kabla hatujafika huko kote mkuu hebu tuambie kwanza,
MKULIMA ANATUDAI AU HATUDAI...??
Ili kama tunakasirika tujue tunakasirika kwa ishu yenye mashiko.
 
Ujinga wa watanzania ndio mtaji wa wanasiasa waliposema tumeshinda kesi hakuna mtu hata mmoja aliyehoji hati ya hukumu hii inaonyesha jins gani tumegeuzwa nchi ya wapumbavu.

FB_IMG_1562268661779.jpg
 
Hii habari inaonyesha kesi iliyotupiliwa mbali (ambayo tunaaminishwa tulishinda) ni ya kukamata ndege, ila sio kezi ya kudaiwa. Kesi ya deni la dola 33,000,000 iko pale pale na nadhani ndio hiyo inatuendesha sasa pale Canada.
Kesi ya kukatamata ndege ndio hiyo hiyo ya madai ya hela. Ndege inazuiwa kwa misingi ya ‘lien’ maana yake plaintiff anataka mali yako ikamatwe mpaka utakapo mlipa.

Mahakama ya S.A ilikuwa aina jurisdiction ya kusikiliza kesi kwa sababu atuna makubaliano nayo ya aina hiyo.

Ata hii ya Canada they shouldn’t lose japo huko kuna jurisdiction ya kusikiliza baadhi ya kesi hila sio zote kwa mujibu wa sheria zetu kesi zingine ni domestic especially za ardhi.

Bila ya kuacha kuna mtiririko wa mambo kadhaa ya kisheria yanayotaka kumshirikisha defendant before such actions.

Ni hivi hawa watu washaona serikarini wanasheria maswala ya kibiashara yanawapiga chenga hila hizi kesi za bombardier zote mbili ilikuwa za kushinda na kulipwa sisi fidia that is my take.
 
Back
Top Bottom