Prof. Kabudi nachelea kukuamini kama kweli mlishinda kesi Afrika ya Kusini, tusipende kuona uongo kuwa sehemu kubwa ya siasa za Tanzania

Kilatha,

Yetu macho mkuu ngoja tuone mambo yatakavyokua. Maana na mimi nilikua najiuliza, kama huyu jamaa tulimshinda kule SA kwanini tusimfungulie sisi mashtaka ili atulipe fidia walau turudishe gharama za wanasheria wetu walioenda sauzi?
 
Yetu macho mkuu ngoja tuone mambo yatakavyokua. Maana na mimi nilikua najiuliza, kama huyu jamaa tulimshinda kule SA kwanini tusimfungulie sisi mashtaka ili atulipe fidia walau turudishe gharama za wanasheria wetu walioenda sauzi..?
Sio tu yeye na mahakama ya S.A ilikuwa ina bear strict liability kwa kutoa amri ya kuzuia ndege ya nchi ambayo wanajua kisheria hawana jurisdiction ya kusikiliza kesi wote wawili una changanya S.A justice department na huyo mkulima wakulipe faida na hasara za loss of income hili wengine wafikirie mara mbili kabla ya ku mess na Tanzania property.

Ata huko bombardier kwa kanuni na taratibu za manunuzi mkataba unatakiwa ukamilike ndege ikitua kipawa vinginevyo ikichukuliwa juu kwa juu nakudai.

Anyway kama ulivyosema wana taratibu zao za ufahamu wa kisheria na kutatua mambo serikarini ngoja tuone itaishia vipi kwa approach zao.
 
Hakuna mtu alietaifishwa mali mkulima anadai compensation baada ya ardhi yake kuchukuliwa kwa taratibu za Tanzania.
Acha ujinga..mkulima anadai mpaka ndege zake zilizotaifishwa na serikali achilia mbali vitu vingine!
 
G Sam, Aidha Tundu Lissu alishatushauri kama kweli tunataka kuwa kama tunavyotaka basi tujiondoe kwenye mikataba yote ya kimataifa ikiwemo jumuiya ya madola. Otherwise tutaendelea kunyolewa. Na naamini tukijiondoa basi tutaumia zaidi.
 
Acha ujinga..mkulima anadai mpaka ndege zake zilizotaifishwa na serikali achilia mbali vitu vingine!
Hivi mtu ulieanzisha thread ya upotoshaji toka mwanzo kweli nikuamini.

Mkulima aliridhia serikari kuchukua hiyo ardhi na walikubaliana watalipana. Akalipwa baadae tena wakaibuka watu na revaluation of the asset tofauti na makubaliano ya awali.

Hayo makubaliano mapya (ufisadi) tofauti na ya awali yakaendelewa kulipwa mpaka Magu alipioingia nakuambiwa huu ufisadi ndio malipo yakasimama.

Ushawahi kusikia dhana ya ‘double jeorpardy’ uwezi mshitaki mtu kwa kosa lilelile mara mbili.
 
G Sam, di ni tapeli anayetumikia tumbo lake. Ameamua kusaliti taaluma yake na weledi ili tu aendelee kuwa waziri kwenye kabinet ya Jiwe.

South Africa hatukushinda bali ni siasa tu zilutumika kupitia Cyril Ramaphosa. Haiwezekani mtu ambaye anakudai na Mahakama zako zimekubali kuwa unastahili kumplipa, ila wewe kwa kiburi humlipi na unamfukuza nchini mwako. Hakuna Mahakama itakayokataa kumpa ushindi Mkulima.
 
Hivi mtu ulieanzisha thread ya upotoshaji toka mwanzo kweli nikuamini.

Mkulima aliridhia serikari kuchukua hiyo ardhi na walikubaliana watalipana. Akalipwa baadae tena wakaibuka watu na revaluation of the asset tofauti na makubaliano ya awali.

Hayo makubaliano mapya (ufisadi) tofauti na ya awali yakaendelewa kulipwa mpaka Magu alipioingia nakuambiwa huu ufisadi ndio malipo yakasimama.

Ushawahi kusikia dhana ya ‘double jeorpardy’ uwezi mshitaki mtu kwa kosa lilelile mara mbili.
This is rubbish and it belongs to a dustbin. Kama mambo hamuyajui kaeni kimya siyo lazima kila mmoja aandike.
 
This is rubbish and it belongs to a dustbin. Kama mambo hamuyajui kaeni kimya siyo lazima kila mmoja aandike.
Ngoja sasa mimi nikudhihirishie wewe ulivyo jinga.

1.Leta ushahidi wowote unaosema TZ na S.A zina bilateral agreement ya kusikiliza kesi ya aina yoyote

2.Leta ushahidi wa huyo mtu kupokonywa mali na historia ya kesi iliyo tofauti na nilichoandika

Vinginevyo tafadhali nimevuka umri wa kuropoka maneno yasiyo na staha.
 
Ngoja sasa mimi nikudhihirishie wewe ulivyo jinga.

1.Leta ushahidi wowote unaosema TZ na S.A zina bilateral agreement ya kusikiliza kesi ya aina yoyote

2.Leta ushahidi wa huyo mtu kupokonywa mali na historia ya kesi iliyo tofauti na nilichoandika

Vinginevyo tafadhali nimevuka umri wa kuropoka maneno yasiyo na staha.
Kuna Foreign Judgement Act ya 2017 kwa nchi za Commonwealth. The Model Law was considered and endorsed by Commonwealth Law Ministers at their meeting of 16-19 October 2017, held in Nassau,
 
G Sam,

Ndege iliposhikiliwa South Africa mlituaminisha kuwa tunaenda kushindwa kwenye Kesi maana mahakama na majaji wa South Africa si
Kama mahakama na majaji
Wa hapa kwetu nyumbani.Yale yote yaliyo tokea katika kesi hiyo sitaki kuyarudia kila mtu ni shahid.sasa mnakuja na hoja na Jumuiya ya Madola utadhani South Africa isn't a member wa Commonwealth.subiri mkulima atapigwa tena kwa nock out na atakuwa mvuvi na sijui mtasemaje? au mtamshauri akafungue kesi tena UN
 
Sio tu yeye na mahakama ya S.A ilikuwa ina bear strict liability kwa kutoa amri ya kuzuia ndege ya nchi ambayo wanajua kisheria hawana jurisdiction ya kusikiliza kesi wote wawili una changanya S.A justice department na huyo mkulima wakulipe faida na hasara za loss of income hili wengine wafikirie mara mbili kabla ya ku mess na Tanzania property.

Ata huko bombardier kwa kanuni na taratibu za manunuzi mkataba unatakiwa ukamilike ndege ikitua kipawa vinginevyo ikichukuliwa juu kwa juu nakudai.

Anyway kama ulivyosema wana taratibu zao za ufahamu wa kisheria na kutatua mambo serikarini ngoja tuone itaishia vipi kwa approach zao.
Tatizo umelipa cash, unategemea nini hapo, na kuna watu wanakuja canada kuja kuichukua, maana delivery tayari imeshafanyika huko Canada na sio hapa bongo.
 
Kuna Foreign Judgement Act ya 2017 kwa nchi za Commonwealth. The Model Law was considered and endorsed by Commonwealth Law Ministers at their meeting of 16-19 October 2017, held in Nassau,
You can’t even differenciate between an Act, Directive and Regulation; yet you want to discuss legal matters which involve voluntary participation of nations.

Nilijua labda utakuja na moja ya international arbitration agreement ambazo kuna bilateral kati ya Tanzania na S.A unakuja sijui na kitu gani.

Kukusaidia tu S.A ni moja ya nchi chache sana duniani ambazo azija sign bilateral agreement nyingi za arbitration ndio maana ile kesi aikuwa kwenye jurisdiction zao.

Commonwealth is not a intergovernmental union ndio maana Tanzania hatuna hiyo sheria sijui ya nchi ambayo hata link hakuna.

Anyway usiku mwema nikiendelea na wewe naona hata basic knowledge ya international politics inakupiga chenga.
 
Swala sio serikari inasema nini bali facts ya kilichojiri mahakamani


Mahakama ya huko aikuwa na jurisdiction ya kusikiliza kesi.
Sasa kwa nini ijiaibishe na kujivunjia heshima kwa wananchi wake? Hili ndilo swali la msingi.

Hivi kweli hawa watu wanawaona waTanzania kuwa mazuzu kabisa wasioelewa kitu?

Mwisho wao wa kutueleza uongo katika swala lolote ni upi? Kwa nini serikali ijitambulishe kuwa waongo kiasi hiki cha waziwazi kwa wananchi wake? Inawasaidia kitu gani hasa, kutuambia uongo ulio wazi, na wakijua uongo huo tutaugundua!
 
Sasa kwa nini ijiaibishe na kujivunjia heshima kwa wananchi wake? Hili ndilo swali la msingi.

Hivi kweli hawa watu wanawaona waTanzania kuwa mazuzu kabisa wasioelewa kitu?

Mwisho wao wa kutueleza uongo katika swala lolote ni upi? Kwa nini serikali ijitambulishe kuwa waongo kiasi hiki cha waziwazi kwa wananchi wake? Inawasaidia kitu gani hasa, kutuambia uongo ulio wazi, na wakijua uongo huo tutaugundua!
Kila kitu kilikuwa wazi siku ndege imeachiwa mahakama ya S.A ilisema hawana jurisdiction. Sasa kama hiyo ndio tafsiri ya kushinda hilo ni swala lingine.
 
Back
Top Bottom