Prof. Kabudi aieleza Jumuiya ya Kimataifa kuwa Tanzania haijawahi kushindwa vita ya aina yoyote

Utu wa kuuwa watanzania wenzenu??? Utu upi mnaousema labda???

Kuna unyama mwingi sana umefanyika, ila mnajivisha upofu na ukiziwi,,shauri zenu wote mnaounga mkono ukatili dhidi ya binadamu wenzenu chini ya mwavuli wa uzalendo feki.
Tatizo lako ni moja....

Unataka niwasikilize wabunge wa EU na kuwaelewa kama unavyotaka wewe.

Nimsikilize Kabudi kisha nimwelewe kama unabyotaka wewe. Demokrasia ipi mnahubiri mkuu?

Bado naenda na msimamo wa waziri...utu wa taifa langu unakuja kwanza..
 
Bwana weee nimeshangaa kwelikweli yaani mshkaji kashupaza shingo kabisa eti dah..... Hivi hawa wenzetu ni hawajui, hawaoni, au hawasikiii au vipi... Au ndo mambo ya maslahi kusifia mpaka paliharibika!??
Wewe jamaa hovyo sana. Kwa hiyo serikalii iendelee kuumiza raia wake na isikemewe? Haya sawa mkuu.
 
Utu wa kuuwa watanzania wenzenu??? Utu upi mnaousema labda???

Kuna unyama mwingi sana umefanyika, ila mnajivisha upofu na ukiziwi,,shauri zenu wote mnaounga mkono ukatili dhidi ya binadamu wenzenu chini ya mwavuli wa uzalendo feki.

Kuua watanzania sio utu mkuu....

Hayo yote unayoyandika nayajua na kuyaelewa....

Ila at the end of the day.... my country comes first. Watu wachache wanataka nchi iendeshwe kama wanavyotaka...

Hapana.
 
Sawa, lakini inapofika swala la kukemea uovu wa nchi yenu mkemee msiwe wanafiki, kwa niliyoshudia kwa macho, naweza kusema nitamshangaa kila aymtakae simama na kutetea unyama dhidi ya binadamu wenzake,.... Jioni njema.
Kuuwa watanzania sio utu mkuu....

Hayo yote unayoyandika nayajua na kuyaelewa....

Ila at the end of the day.... my country comes first. Watu wachache wanataka nchi iendeshwe kama wanavyotaka...

Hapana.
 
Sawa, lakini inapofika swala la kukemea uovu wa nchi yenu mkemee msiwe wanafiki, kwa niliyoshudia kwa macho, naweza kusema nitamshangaa kila aymtakae simama na kutetea unyama dhidi ya binadamu wenzake,.... Jioni njema.
Hali hugeuka hivyo pale inapotokea wachache kujiona wao tu ndiyo wapo sahihi. Lazima migogoro itokee...

Na ikitokea wanajifanya victims.
 
Hapana sivyo, Kuna kitu kipo tofauti na unavyowaza.... Ila any way kila mmoja Mungu atamlipa juu ya matendo yake anayoyatenda.
Hali hugeuka hivyo pale inapotokea wachache kujiona wao tu ndiyo wapo sahihi. Lazima migogoro itokee...

Na ikitokea wanajifanya victims.
 

20 November 2020​

NEC:"UCHAGUZI 2020 KULIKUWA NA CHANGAMOTO


Tume ya Uchaguzi ya Taifa NEC yatoa tathimini juu ya uchaguzi uliokamilika 28 October 2020 na kuzungumzia changamoto .
 
Hafai kua waziri wa mambo ya nnje huyu angefaakua katibu mwenezi ccm
FB_IMG_16060735438169836.jpg
 
Huyu jamaa alinifanya nihairishe kusomea PHD pamoja na kuchaguliwa kusomea kozi hiyo Mlimani.

Yaani ukimuangalia unaona kabisa anaongea aliyotumwa akaseme Prof mzima unalazimishwa kuongea pumba kwa ajili ya kulinda nafasi yako

Who cares about you? na kaongea kweli, hii africa ishukuru tz katika kupigania uhuru
 
Wakati propesa akiongea hayo alikuwa anatoa macho au alitoa pesa za watu?kwani wenye pesa wanataka pesa zao sio macho(nimewakilisha)
 
Back
Top Bottom