Hujui lolote wewe kibaraka.Msiwe wajinga. US haijawahi kukopeshwa na China. China huwa inanunua treasury bonds za Serikali ya Marekani ili kutengeneza faida. Watu wenye akili ndogo huwa wanadhani ni mikopo kama hii tunayoichukua sisi.
Kama una hela, hata wewe unaweza kununua treasury bonds za Serikali ya Marekani. Baada ya hapo, kwa ujinga kabisa na meno nje utaweza kutamka kuwa umeikopesha US?
Sent using Jamii Forums mobile app