Prof. Janabi: 90% ya Wagonjwa wa Figo wanaosafisha Damu Muhimbili ni kutokana na Kisukari na Shinikizo la Juu la Damu

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,517
8,447
Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili na Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo, Prof. Mohamed Janabi amesema kila siku takriban Wagonjwa 150 wa Figo wanasafishwa Damu hospitalini hapo na 90% wamegundulika kuwa na Kisukari na Shinikizo la Damu

Amesema kama watu wasipochukua hatua za kubadili mtindo wa maisha, hali itakuwa mbaya zaidi kwa kuathiri uchumi wa mtu mmoja mmoja pamoja na taifa kwa ujumla.

 
Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili na Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo, Prof. Mohamed Janabi amesema kila siku takriban Wagonjwa 150 wa Figo wanasafishwa Damu hospitalini hapo na 90% wamegundulika kuwa na Kisukari na Shinikizo la Damu

Amesema kama watu wasipochukua hatua za kubadili mtindo wa maisha, hali itakuwa mbaya zaidi kwa kuathiri uchumi wa mtu mmoja mmoja pamoja na taifa kwa ujumla.

View attachment 2995104
Hio iko wazi dunia nzima
 
Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili na Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo, Prof. Mohamed Janabi amesema kila siku takriban Wagonjwa 150 wa Figo wanasafishwa Damu hospitalini hapo na 90% wamegundulika kuwa na Kisukari na Shinikizo la Damu

Amesema kama watu wasipochukua hatua za kubadili mtindo wa maisha, hali itakuwa mbaya zaidi kwa kuathiri uchumi wa mtu mmoja mmoja pamoja na taifa kwa ujumla.

View attachment 2995104
Hv hana mazuri ya kuelezea?
 
Ukiona hivi vizee vya mjini vyenye visukari vinachukua totos kwenda lodge, ujue hapo Ni mwendo wa kushikwa shikwa, chumvini kwa Sanaa halafu wanawakatia pochi ndefu kutunza Siri
Hiyo nayo ni starehe pia
 
Tusile milo mitano
Nani anakula milo mitano ?

Tusinywe pombe zaidi ya chupa mbili kwa siku...

Chupa ya Dodoma wine, mnazi, konyagi, beer can, John Walker au kichupa cha shot moja ?

Angiography ni milioni 2 ambayo ni dola 800...

Kwa nini dollars ? Nani analipa kwa dola ?

Tutembee hatua 10,000 kwa siku.
Unapimaje hatua 10,000? Kina nani hao Tanzania wana iphone za kuhesabu hatua elfu kumi ?

-----------------------

Viongozi wa third world nadhani huwa wanaona aibu kujitambulisha au kujinasibisha, kuji associate, na background ya umaskini wanakotokea....

Dk Janabi labda alienda shule bila viatu, matako nje, sasa akikumbuka ile image inamsumbua mno, anajaribu kui block kichwani mwake na ku act kama hiyo dunia haipo Tanzania.

Tunatia huruma Afrika na hawa viongozi wetu.
 
Back
Top Bottom