Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,162
- 162,590
- Thread starter
- #41
Mkawadanganye wa vijijini.Hawa chadema akili zao ndogo sana. Wameamua kutumia hizi takwimu za asilimia 34% fedha ya maendeleo kuwa imetolewa mpaka sasa kuhadaa wananchi wajinga kama mleta mada. Pesa ya Miradi ya maendeleo hutolewa kwa awamu kadiri mkandarasi anapotoa taarifa ya kumaliza kazi na kukabidhi hati. Pia miradi mingine ipo ngazi ya zabuni, nyingine wakandarasi ndio wanapeleka vifaa kwenye eneo la kazi