Prof. Haji Semboja umenishangaza

Prof. Haji Semboja umenishangaza

Nimesikia profesa yuko sahihi kabisa Ila usipende kusikia kinachokufurahisha tu...Pendant kusikia vitu vya kweli..Profesa yuko sawa kabisa kiuchumi lakini
Maprofesa wamekuwa watu wa kujidhalilisha sana huyo amejitoa ufahamu anataka kuteuliwa nae huoni Profesa Lipumba analala kazini buguruni
 
Huyu Prof. amehojiwa kupitia ITV ili atoe maoni yake kuhusu serikali kutoa trilioni 3.1 mpaka sasa badala ya trilioni 11 za Bajeti na katika majibu yake ametetea kuwa hali hiyo imetokana na wafadhili kutotoa fedha walizoahidi bila kugusia fedha za ndani ambazo nazo zilipaswa kutolewa ili kuchangia Bajeti ya serikali ya mwaka wa fedha 2016/2017.

Prof. huyo wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam alihojiwa kutoa maoni yake baada ya Mh.Mnyika kuelezea mapungufu ya Bajeti hiyo akiwa mkoani Tanga.

Mliomsikia mtakuwa mashahidi.
Mkuu Salary Slip, mimi ni miongoni mwa tuliomsikia Semboja na alichosema ndio ukweli halisi wa kiuchumi, ila uelewa wa Watanzania wengi kwa hoja za kiuchumi, ndio uelewa kama huu wa kwako.

Alichosema ni miradi ya maendeleo inatelelezwa kwa kipindi kirefu kama a 5-Year Plan.

Bajeti inayopitishwa leo ya utekelezaji miradi hiyo hupitishwa bajeti yote ya miaka 5 at a go, ila utekelezaji hupangwa kwa awamu, hivyo fedha hutolewa kwa awamu, na akasema ni kawaida kwa utekelezaji wa miradi mingi kuanza very slow kwa muda mrefu kutumika kwa mobilization hivyo it's normal kutolewa fedha kidogo.

Semboja akasema we are on the right direction kwa hicho kidogo kilichotolewa, hivyo akasema wafadhili wame hold ahadi zao mwanzoni tuu lakini wakiona tunachotoa na tunachokifanya kwa kidogo chetu, then watanitokeza na kutupatia hicho kikubwa walichoahidi.

Paskali
 
Me nilimshangaa na sikuamin km anaeongea ni prof ndo mana hii nchi itaendelea kuwa maskini km wasomi wetu tunaotegemea wawashauri viongozi wetu ndo hawa masuala mhm ndo hawa mbele giza
 
Nawe toa maoni yako, sio unaponda maoni ya mwenzio.
Kwahiyo ulitaka watanzania wote tuwe na mawazo sawa.
 
nilimsikia huyo prof uchwara ni mzigo kweli kweli naona anataka ateuliwe na JPM ni aibu sijui aliupataje huo u Pro.
 
Maprofessor wetu wananipa shaka kufikiria kusoma PhD kama nitakujakufikiria kama wao bora nisipoteze muda wangu

Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
Agili vilaza kama wewe huwa zinafurahi pale yanayosemwa ni yale akili hizo hudhania kuwa kweli. Ndiyo maana huyo ni prof. Na wewe ni kilaza
 
Uoga umewajaa sana hawa maprofesa yaani hawana hata ushujaa wa kutetea elimu yao wamebaki kufuata matakwa ya mtu mwingine, hapa anabembeleza uteuzi maana awamu hii ni yao.
 
Mkuu Salary Slip, mimi ni miongoni mwa tuliomsikia Semboja na alichosema ndio ukweli halisi wa kiuchumi, ila uelewa wa Watanzania wengi kwa hoja za kiuchumi, ndio uelewa kama huu wa kwako.

Alichosema ni miradi ya maendeleo inatelelezwa kwa kipindi kirefu kama a 5-Year Plan.

Bajeti inayopitishwa leo ya utekelezaji miradi hiyo hupitishwa bajeti yote ya miaka 5 at a go, ila utekelezaji hupangwa kwa awamu, hivyo fedha hutolewa kwa awamu, na akasema ni kawaida kwa utekelezaji wa miradi mingi kuanza very slow kwa muda mrefu kutumika kwa mobilization hivyo it's normal kutolewa fedha kidogo.

Semboja akasema we are on the right direction kwa hicho kidogo kilichotolewa, hivyo akasema wafadhili wame hold ahadi zao mwanzoni tuu lakini wakiona tunachotoa na tunachokifanya kwa kidogo chetu, then watanitokeza na kutupatia hicho kikubwa walichoahidi.

Paskali
Hoja ni kwanini hajaongelea kukwama kwa fedha za ndani?

Swali halikuhusu miradi tu bali kiujumla alitakiwa aeleze sababu hasa za kutofikia malengo ya makusanyo ya hiyo trilioni 11.

Au hiyo trillioni 11 na point kadhaa yote inatolewa na Wafadhili?

Hii ndio hoja yangu.
 
Katika nchi ambayo kila mtu anajifanya ni mchambuzi wa uchumi, kumuelewa Prof ni vigumu sana. Lakini alichosema miradi mingi ya serikali ina hatua, Serikali hutoa pesa kwa awamu kulingana na hatua inayofikiwa, haiwezi ukatoa pesa zote za mradi kwenye hatua moja mf. Upembuzi. Na wafadhiri wanatoa pesa baada ya kukagua utekelezaji wa kila hatua;;
Kwsni kuna mtu ambaye halijui hilo? Hoja hapa je kweli hiyo pesa ya maendelea bilioni 11 iliyopitishwa mwaka jana hadi sasa imetoka bilioni 3!na mwaka ndio unamalizika hivyo ni sahihi?! Na hata waziri husika amesema kuna ukosefu wa pesa serikalini ndio maana wameshindwa kuitoa pesa inayotakiwa!! Na huyo prof. Angetakiwa kusema ni kwanini wafadhiri wamegoma kutoa hiyo pesa!! Ndio unaonekana unatendea vema usomi wako ila kwakuwa ni kujipendekeza labda nitapata cheo chochote mbeleni lazima nijipendekeze!!
 
Uprofeseri na udaktari utakosa mvuto kabisa awamu hii,mana wengi wameamua kutumikia matumbo yao
 
Mbona kajifanya kama vile hajui kuwa katika hizo trilioni 11 kuna fedha za ndani pia?Kwanini kahusisha kukwama huko kwa Bajeti na kukosekana kwa fedha za kutoka nje ya nchi tu bila kuongelea na kukwama kwa fedha za ndani?Anafichi nini?
wakina Mbowe wanakwepa kulipa kodi unategemea hizo fedha za ndani zitatosha kweli?
 
...kozi mwanamandanda kulala na njaa kupenda ... siku hizi prof hawana tofauti na wehu wengine ... njaa mbaya sana
 
kumbe ni mwalimu wa uchumi.

Ni ajabu manake juzi kati aliitwa TBC kuchambua uchakataji wa michanga ya Magufuli na vinu vya moto vinavyohitajika kutenganisha shaba, dhahabu, zebaki, chuma na mengineyo.

Kumbe ITV kaenda kushuka ma equation ya uchumi... duuuh!
Yeah mwalimu wa uchumi chuo kikuu cha dar es salaam

Hawa maprofesa wanajua kufundisha tuu
 
Back
Top Bottom