Prof. Haji Semboja umenishangaza

Prof. Haji Semboja umenishangaza

Ukistaajabu ya Prof .semboje utayaona ya Prof. Lipumba

Huku kwetu Profesa ni jina tu kama majina mengine ndio maana kuna Profesa J, Profesa Maji Marefu, Profesa Semboje, nk. Ndio maana wengine hutania kuwa hawa wetu ni Propesa.
 
Kwa kweli prof. Kaongea utadhani sio mchumi. Budget huwa ni ya miezi 12 yeye anaongelea at huu ni mwanzo wa miradi pesa ingine itatolewa baadae how? Bora asingeongea kabisa
Chukua mfano flyover ya Ubungo inajengwa jwa miaka miwili na nusu, utatoa hela yote sasa sababu ipo kwenye bajeti ya 2016/17?!
 
Ma-CCM majinga sana!!! Eti hata hili la bajeti ya maenedeleo kutolewa only 34% hadi sasa nalo wanalitetea huku yakisahau na yenyewe ni waathirika wa mipango isiyotekelezwa kama sio isiyotekelezeka!
zamani nilijua una akili kumbe mpuuzi tu acha kujidhalilisha
 
Mnyika chuo kimemshinda alidisco leo anajifanya kuzungumzia bajeti hopeless kabisa
 
maoni ya profesa wangu huyu nayashangaa, na juzi juzi nilisoma kwenye gazeti kuhusu maoni yake kuhusu utata wa majina ya mkuu wa mkoa wa DSM nilishangaa maoni yake.
He is compromised, kumbukeni alitumbuliwa TCRA, atasema nini kwani pamoja na uprofessor wao wameshindwa ku break through
 
Profesa njaa huyo anabembelezea uteuzi!
Awe sawa asiwe sawa shida ni pale nchi iliyojaa watu wanaowachukia wafadhili eti ni wakoloni ma wezi wakati huo watu hao hao wanakuja kulalama kuwa wafadhili hawakuchangia sasa hii ni nchi kweli au ya kufikirika? Tuna Gas, mafuta, madini ya kila aina na bado tunasubiri wafadhiri mpaka bunge letu linafadhiliwa kiasi kikubwa na serikali ya Uingereza??? Halafu tunakuja humu mitandaoni tunawatukana? Wanajijua watoa povu la matusi kwa wafadhili. Mtajiju wangu wameshamaliza vyuo.
 
Maelezo yake yana mantiki, ila kwa waliojipanga kuanzisha 'visred' vya kukosoa au kuchagua maneno watajifanya vipofu.
Kasema kwamba nchi imeanzisha miradi mikubwa mipya, na wafadhili siyo kwamba wamegoma sababu wameshatoa fedha za mobilization. Hivyo tutegemee fedha za miradi husika kuja hata kama ni kwa kuchelewa tofauti na vile tulivyotaka.
Duh, yaani kuna watu wanakesha kuiombea mabaya Tz, kisa mh Rais aonekane kushindwa!
Mbona kajifanya kama vile hajui kuwa katika hizo trilioni 11 kuna fedha za ndani pia?Kwanini kahusisha kukwama huko kwa Bajeti na kukosekana kwa fedha za kutoka nje ya nchi tu bila kuongelea na kukwama kwa fedha za ndani?Anafichi nini?
 
Kwa kweli prof. Kaongea utadhani sio mchumi. Budget huwa ni ya miezi 12 yeye anaongelea at huu ni mwanzo wa miradi pesa ingine itatolewa baadae how? Bora asingeongea kabisa
Yaani kaongea kwa style ya funika kombe mwanaharamu apite.
 
Huyu si professor bali ni Dr Haji Semboja. Isitoshe alitumbuliwa na Magu kutoka uenyekiti wa bodi ya TCRA mwaka jana kwa hiyo anajikomba ili arudi serikalini. Ni mwalimu wangu namjua A to Z.
Kumbeee! Ndiyo maana.
Amesoma mchezo na kugundua kuwa ukitumbuliwa Kisha ukajinyenyekeza kwa Rais even to the extent of seeming like a nobody, unakumbukwa tena kama Prof. Mgaya wa TCU (sasa NIMR).

Nadhani ndicho anajaribu ku-achieve huyu pia.
 
Nimemuona akiongea kwa umakini sana na maneno yake, nikatamani kupata tafsiri ya kina ya alichokisema kuliko kukimbilia kulaumu...
Haya, tutafsirie sasa Hicho alichoongea maana naamini umeshaipata tafsiri kwa sasa.
 
Watanzania tukiacha unafiki wakutetea matumbo yetu tutafika mbali sana...!
 
Huyu Prof. amehojiwa kupitia ITV ili atoe maoni yake kuhusu serikali kutoa trilioni 3.1 mpaka sasa badala ya trilioni 11 za Bajeti na katika majibu yake ametetea kuwa hali hiyo imetokana na wafadhili kutotoa fedha walizoahidi bila kugusia fedha za ndani ambazo nazo zilipaswa kutolewa ili kuchangia Bajeti ya serikali ya mwaka wa fedha 2016/2017.

Prof. huyo wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam alihojiwa kutoa maoni yake baada ya Mh.Mnyika kuelezea mapungufu ya Bajeti hiyo akiwa mkoani Tanga.

Mliomsikia mtakuwa mashahidi.

Anapalilia uteuzi na yeye! Jamaa si ameamua kubana watumishi, wanajipendekeza waingie siasa tu!!!
 
Una husda na UDSM. Wasikilize basi maulamaa wa Muslim University of Morogoro.
 
Tangu lipumba aanze sarakasi zake na mkulu vurugu zake niliacha kuwaamini siku nyingi maprofesa na madkt!
 
Amenishangaza saana mwalimu wangu huyu wa uchumi dah......
kumbe ni mwalimu wa uchumi.

Ni ajabu manake juzi kati aliitwa TBC kuchambua uchakataji wa michanga ya Magufuli na vinu vya moto vinavyohitajika kutenganisha shaba, dhahabu, zebaki, chuma na mengineyo.

Kumbe ITV kaenda kushuka ma equation ya uchumi... duuuh!
 
Back
Top Bottom