Prof. Haji Semboja umenishangaza

Prof. Haji Semboja umenishangaza

naona vikaragosi vya lumumba mmekuja kutetea ujinga wenu. nyie hamuoni walakini bajeti against mipango utekelezaji=34% hilo haliwasikitishi.
Miradi mingi ya goverment waga inaenda up to 3-5 yrs kwa hiyo financing yake si kwa bajeti moja tu.
Mbona waga mnapenda kusikia hbr mbaya tu.muda wwotevipi masikio yamejaa cerumen wax?
 
Mnyika ni form VI tu Hana profession yoyote. Hana academic authority yoyote. Amesema kama muuza mitumba fulani. Watu kama hao huwa sipoteza hata sekunde moja kuwasikiliza kwenye mambo ya kitaalam kama haya.Watu kama akina Mbowe. Ni kupoteza muda mtakatifu kuwasikiliza. They are laymen.
Absolutely!
 
Huyu Prof. amehojiwa kupitia ITV ili atoe maoni yake kuhusu serikali kutoa trilioni 3.1 mpaka sasa badala ya trilioni 11 za Bajeti na katika majibu yake ametetea kuwa hali hiyo imetokana na wafadhili kutotoa fedha walizoahidi bila kugusia fedha za ndani ambazo nazo zilipaswa kutolewa ili kuchangia Bajeti ya serikali ya mwaka wa fedha 2016/2017.

Prof. huyo wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam alihojiwa kutoa maoni yake baada ya Mh.Mnyika kuelezea mapungufu ya Bajeti hiyo akiwa mkoani Tanga.

Mliomsikia mtakuwa mashahidi.
Profesa njaa tu. Nchi ya kibashite hii.
 
Aliyewaita nyumbu.hakika anasitahili nobel prize ya ubunifu.
Yaani alicheza mulemule.
Yaani unabishana na proffesor kwa mambo ya taaluma yake.kwa utashi wa kisiasa ambayo hata wewe mwenyewe huijui?
 
Kuweka mihemuko ya kisiasa pembeni, Daktari Haji Semboja ameongea professionally. Sasa anayekubali akubali na anayekataa hoja zake afanye hivyo. Alichokiongea Daktari Semboja ni sahihi kabisa kwa wale wanaojua nchi inakoelekea. Pili, acheneni na mehemuko ya kisiasa. Unawezaje kumlinganisha mtu mwenye PhD na ni Mwl.(mhadhiri) anafundisha Chuo Kikuu, na form six leaver, Mnyika ambaye hana utaalam wowote, isipokuwa ubunge na uenezi na mawasiliano ndani ya Chadema (siyo vyama vya Siasa maana hivyo kuna wataalam wake akina Bana, Mukandala, Makulilo na wengineo). Mtu anayeidharau elimu namna hiyo, kiasi cha kumlinganisha msomi wa kiwango cha PhD na mhadhiri anayefundisha Chuo Kikuu na form vi leaver, basi ujue hata mtoto wake hawezi kumpeleka kusoma shule inayotoa elimu bora licha kuwa na uwezo wa kulipia elimu ya mwanae. Hawezi kuona tatizo kumpeleka mtoto wake shule za akina kayumba. Tuwe makini tafadhali.
 
Katika nchi ambayo kila mtu anajifanya ni mchambuzi wa uchumi, kumuelewa Prof ni vigumu sana. Lakini alichosema miradi mingi ya serikali ina hatua, Serikali hutoa pesa kwa awamu kulingana na hatua inayofikiwa, haiwezi ukatoa pesa zote za mradi kwenye hatua moja mf. Upembuzi. Na wafadhiri wanatoa pesa baada ya kukagua utekelezaji wa kila hatua;;
Sasa jeuri ya kwamba nchi hii ni tajiri hatuhitaji misaada iko wapi?
 
Huyu Prof. amehojiwa kupitia ITV ili atoe maoni yake kuhusu serikali kutoa trilioni 3.1 mpaka sasa badala ya trilioni 11 za Bajeti na katika majibu yake ametetea kuwa hali hiyo imetokana na wafadhili kutotoa fedha walizoahidi bila kugusia fedha za ndani ambazo nazo zilipaswa kutolewa ili kuchangia Bajeti ya serikali ya mwaka wa fedha 2016/2017.

Prof. huyo wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam alihojiwa kutoa maoni yake baada ya Mh.Mnyika kuelezea mapungufu ya Bajeti hiyo akiwa mkoani Tanga.

Mliomsikia mtakuwa mashahidi.
Kwa kweli prof. Kaongea utadhani sio mchumi. Budget huwa ni ya miezi 12 yeye anaongelea at huu ni mwanzo wa miradi pesa ingine itatolewa baadae how? Bora asingeongea kabisa
 
Wooooote hakuna profesa ila woga na proppesa. labda atakumbukwa maana profesa wanachaguliwa sana

Huyu profesa ni mchumia tumbo anaependa sana kuuza sura kwenye vyombo vya habari!! Hizi ni enzi za Ngosha hapendi wanaojipendekeza kama walivyozoea enzi za babu wa Msoga!!
 
Ma-CCM majinga sana!!! Eti hata hili la bajeti ya maenedeleo kutolewa only 34% hadi sasa nalo wanalitetea huku yakisahau na yenyewe ni waathirika wa mipango isiyotekelezwa kama sio isiyotekelezeka!
 
Back
Top Bottom