Juzi kati nimesoma kitabu chake cha 'Nagona'. Ni kitabu ambacho kimebeba lugha nzito na yenye picha. Huwezi kuelewa kama umetokea shule zetu pendwa za (kata?)....
Zama hizi zimeishiwa watu wa aina yake, naungana na wewe kwamba angekuwepo nchini angeweza kurithisha ujuzi wake kwa kizazi za leo.
Mkuu naomba unitumie hicho kitabu cha Nagona hata kwa pesa nitakinunua. Usisahau pia kama una riwaya yake ya Mzingile