Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,034
- 144,387
Umeelewa hapo?Ni mtu kaandika hiyo tweet kisha akaweka na clip ya Prof.Assad.Nimejaribu kui-copy imenigomea/sijafanikiwa.Assad Hana account twitter, hiyo itakuwa parody
Hata kama hana acc ila aliongea kwenye mkutano leo na kasema ATCL inabidi ifutwe kabisa na midege iuzwe yote.Assad Hana account twitter, hiyo itakuwa parody
duuh ..! SalaryslipUmeelewa hapo?Ni mtu kaandika hiyo tweet kisha akaweka na clip ya Prof.Assad.Nimejaribu kui-copy imenigomea/sijafanikiwa.
Hata kama hana acc ila aliongea kwenye mkutano leo na kasema ATCL inabidi ifutwe kabisa na midege iuzwe yote.
Wapi Marehemu katukanwa? Hujaelewa nini hapo na umeshaambiwa hakuna anayenunua ndege cash labda awe mjingaKwanini anamtukana merehemu.. Elimu bado haija msaidia kutumia lugha nzuri
Kwanini anamtukana merehemu.. Elimu bado haija msaidia kutumia lugha nzuri
Nani kasema Ana account ?Assad Hana account twitter, hiyo itakuwa parody
Hujaelewa somo.Assad Hana account twitter, hiyo itakuwa parody
tuseme target ilikua ni yeye au sioTokea MwendaZake aende naye, kumepungua kabisa TANZIA za viongozi kuvuta.
Au nasema uongo ndugu yangu.
Hiyo clip ipo hajataja mtu,Kwanini anamtukana merehemu.. Elimu bado haija msaidia kutumia lugha nzuri