Prof akiwa kwenye pila

Prof akiwa kwenye pila

Huyo demu ukiangalia vizuri kamwonyesha kidole prof

hao mademu wanakuaga na kiherehere sana, utadhani sio wanaofanya mahaba hivi wakiwa kazini

majanga.jpg
 
Poor thinking.kwa hiyo Nyerere alipoingia katika siasa haikuwa sahihi ?.mbona mnamtukuza hadi leo ?

Twende taratiiibu, acha hasira, naona unaka uwezo kidogo, Nyerere aliajiriwa na wakoloni na nji ilikuwa inatawaliwa na wadhalimu so ilikuwa ni duty ya kila mwananchi kuikomboa nji yake. Mpendwa unaweza ukaniuliza swali lingine
 
Kweli sheria haina masihara...
View attachment 222279

Sasa imevuka mipaka kuna haja haja maandamano ya nguvu kuelekea central kushinikiza mkuu wa polisi temeke ajiuzulu.
Maandamano kuonesha kati ya raia na polisi nani ana nguvu
Maandamano ambayo yatabadilisha kabisa muelekeo wa tabia za polisi
Maandamano yatayo malizika kwa mazungumzo ya kywalazimisha polisi wawe kazi yao ni kulinda raia na sio kupiga.
Bila ya hivo virungu vita endelea kila uchaguzi ukikaribia
 
Yaani nimefurahiii kuchapwa huyu prof! Arudi chuoni kifundisha ndiyo fani yake!
 
Yaani nimefurahiii kuchapwa huyu prof! Arudi chuoni kifundisha ndiyo fani yake!
Unaweza ukawa ww ndie mpumbavu kuliko wapumbavu wote Tz. Ulichofurahia ni nini sasa. Pof. kupigwa au www kulalia chai na andazi. Nyambaf
 
Twende taratiiibu, acha hasira, naona unaka uwezo kidogo, Nyerere aliajiriwa na wakoloni na nji ilikuwa inatawaliwa na wadhalimu so ilikuwa ni duty ya kila mwananchi kuikomboa nji yake. Mpendwa unaweza ukaniuliza swali lingine

Tofauti ni rangi ya mkoloni, wakati wa Nyerere mkoloni alikuwa mzungu( mwingereza), sasa hivi mkoloni ni mweusi ( mtanzania)
 
Unaweza ukawa ww ndie mpumbavu kuliko wapumbavu wote Tz. Ulichofurahia ni nini sasa. Pof. kupigwa au www kulalia chai na andazi. Nyambaf
Mfamaji umenifurahisha kweli kweli! Hivi huoni huyu prof anatumia vibaya kipawa chake? Badala ya kufundisha watalaam yeye anajiunga na makundi ya waendesha majungu (wanasiasa)? Apigwe tu na tena wange mvunja miguu yote na mikono ajifunze!
 
Last edited by a moderator:
Utamsikia,"Shuzi lilipata mchambaji hawa jamaa waliponikamata".
 
Back
Top Bottom