Prof akiwa kwenye pila

Prof akiwa kwenye pila

Iko siku kitaeleweka katka hii nchi 15 years back haya mambo ya hivi hayakuwepo ,hii yaonesha kuna mwanga mbele ila ccm wamevaa miwani ya mbao hawasomi ramani kabisa
 
Kiukweli kwa hadhi ya prof lipumba sio mtu wa kukamatwa kama mwizi watambue huyo ni kiongozi wa ngazi ya juu ya chama je angekuwa ndugu yangu mpemba mwenzangu maalim seif ndio kinara wa hayo maandamano polisi wangesubutu kumkamata kama walimdhalilisha prof
 
Polisi walitakiwa watumie busara kuongea naye na sio kufanya walichofanya hata mhe rais nazani naye atakuwa amejisikia vibaya ila ndio vijana wake wametekeleza wajibu wa kazi
 
Huyu Mwanamke (aliyebeba gobori) mbona yuko "ki-shari" zaidi?
attachment.php
[/QU
OTE]


......huyo shorii kabeba kitu asichokijuwa
 
Mfamaji umenifurahisha kweli kweli! Hivi huoni huyu prof anatumia vibaya kipawa chake? Badala ya kufundisha watalaam yeye anajiunga na makundi ya waendesha majungu (wanasiasa)? Apigwe tu na tena wange mvunja miguu yote na mikono ajifunze!

....kumbe na wewe ni kopoolakugegedwa
 
Katika siku ambayo police wetu walinifurahisha ni kumpatia kichapo huyu prof
 
Afadhali wamkomoe tu huyo prof, wewe unaacha kufundisha unaenda kwenye kazi za porojo! Ngoja 2015 tumdisco tena kwa kura.

Mkuu kuna video imewekwa humu muda c mrefu inaonyesha hilo tukio kwa uref kidogo inasikitisha sana kwa kweli
 
Back
Top Bottom