Prof akiwa kwenye pila

Prof akiwa kwenye pila

Ahahahha!! Afu mama mlinzi pale ana gun kama anasema vile kwamba " prof ukitoka nakulipua!?"

Ahahaha! Utii wa sheria bila shuruti ni muhimu saana kutafuta huruma ya wananchi kama mtaji wa kisiasa kwa maandamano sio sawa!
 
Huyu Mwanamke (aliyebeba gobori) mbona yuko "ki-shari" zaidi?
attachment.php
 
huyo demu mzuri kweli namsubiria ageuke
 
Huyu dada wa jeshi la majini kafuata nini nchi kavu?
 
Huyu dada wa jeshi la majini kafuata nini nchi kavu?

Anamwambia Prof. 'mimi ni demu tena wa kidatocha nne nimekutiisha wewe dume profeseri wa kimataifa, na ukileta fyoko... uliza mke wa marehemu huko iringa kazi zetu...'
 
Back
Top Bottom