Nani amekudanganyaPaschal alijijengea heshima kubwa sn pale Ikulu 2016 ndiyo alisababisha mi nikawa active member wa JF kabla ya hapo nilikuwa hata sijui nilijiungaje JF, tamaa zake zimemfanya aonekane ni kituko. Yupo CCM kulinda maslahi yake lakini system haimtaki hata kidogo
Kuhusu nini?Nani amekudanganya
Kwamba system haimtakiKuhusu nini?
Tangu ameanza kuisifia CCM 2017 mpaka leo amepata nini au kupewa kipindi Channel 10 ndiyo mafanikio yake ya kusifia? ajifunze kwa Bon yaiKwamba system haimtaki
Fafanua?Tangu ameanza kuisifia CCM 2017 mpaka leo amepata nini au kupewa kipindi Channel 10 ndiyo mafanikio yake ya kusifia? ajifunze kwa Bon yai
Kuhusu nini?Fafanua?
Tunamdhihaki kvp wkt ninyi ccm ndo mnadhihaki kwa kumnyima uteuzi?? Yaani anaipambania ccm lkn kikifika kipindi cha uteuzi mnamdhihaki kwamba ni sukuma gang hafai kuwa kiongoziKwamba pamoja na maandiko yake yenye akili yaliyoenda shule na ambayo huwa ni msaada mkubwa kwa serikali. Bado huwa hateuliwi.
Lakini cha ajabu member wengi wa JF ambao ni pro Chadema huwa wanamdhihaki na kumnyodoa . Why?
Mnataka nini?
Kwani hao chadema ndo wanaoteua???Kwamba pamoja na maandiko yake yenye akili yaliyoenda shule na ambayo huwa ni msaada mkubwa kwa serikali. Bado huwa hateuliwi.
Lakini cha ajabu member wengi wa JF ambao ni pro Chadema huwa wanamdhihaki na kumnyodoa . Why?
Mnataka nini?
Unajua Ndani ya Yai kilichomo?😂Tangu ameanza kuisifia CCM 2017 mpaka leo amepata nini au kupewa kipindi Channel 10 ndiyo mafanikio yake ya kusifia? ajifunze kwa Bon yai
Achana na imani za kishirikina kama za wakinga wenzakoUnajua Ndani ya Yai kilichomo?😂
Siyo wanaChadema tuu wanaofurahi, hata CCM wenzake hufurahi sana akikosa teuzi.Kwamba pamoja na maandiko yake yenye akili yaliyoenda shule na ambayo huwa ni msaada mkubwa kwa serikali. Bado huwa hateuliwi.
Lakini cha ajabu member wengi wa JF ambao ni pro Chadema huwa wanamdhihaki na kumnyodoa . Why?
Mnataka nini?
Kimataifa zaidi 😄Achana na imani za kishirikina kama za wakinga wenzako
Tulia upate somo kutoka KilimanjaroKimataifa zaidi 😄