Pascal Mayalla na Voices from within, Je ni utabiri au ndio ukweli halisi

seedfarm

JF-Expert Member
Feb 9, 2020
260
2,654
Maandiko mengi ya Pascal Mayalla anayoyaita voices from within mengi yamekuwa kweli isipokuwa lile alilosema Marehemu JPM yupo sehemu safi huko tusikojua kwa akili za Kawaida za kibinadamu hakuna anayejua mambo ya wafu na maisha baada ya kifo, Hii voices kuhusu JPM Marehemu iliniacha na mshangao mkubwa kuwa yupo sehemu safi huko aliko.

Pia kuna issues za Negativity juu ya Chadema na uchawa ili ateuliwe ccm huwa zina acha mshangao kwa wengi hapa JF na kumshushia heshima yake.

Voices from within za Pascal sio voices from within au inner feelings bali ni taarifa kamili na Tips za mipango ambazo kikundi fulani kinaratibu halafu Pascal Mayalla anatumika kuwakilisha kama Fasihi andishi.

Hakuna kitu cha bahati mbaya hapa duniani iwe vita ya Ukraine na Russia au Nani alitakiwa kuwa Rais wa Kenya kati ya Ruto na Odinga. Mingi ni mipango ya watu, Hata ukilazimisha kuongoza kwa nguvu kuna siku wapangaji watakamilisha mipango yao kwa kukuondoa.

Hii Dunia ina watu wengi lakini wanaotuongoza na wenye nguvu za ajabu ni wachache sana, Hawa ndio waleta korona na series zake, Hawa ndio watengenezaji wa vitu vya ajabu kwa malengo binafsi, Hawa ndio wanaimiliki hii dunia huku wakiwa na wawakilishi karibu kila nchi.

Kuna watu Wanatumika hapa Duniani bila wao kujijua, Yawezekana Pascal analetewa Tips akiwa bar na John walker mkononi halafu Yeye anaandika hapa JF bila kujua ni uhalisia utatokea.

Kuna issues kama za JPM kuwa Rais alizileta hapa 2014 na alitukanwa na kila mtu, Lakini JPM akawa Rais 2015.

Kuna issues za Samia kuwa Rais 2020 alizileta hapa mwaka 2017 lakini zikafanikiwa March 2021.

Kuna issues za Tulia Ackson kuwa Spika 2021 alizileta hapa 2020 na kumshauri Ndugai aache ikatokea 2022.

Mwaka huu anazidi tena kuota Husein Mwinyi kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano kuanzia 2025.

Hii ya Rais Mwinyi, La hasha sio voices from within, Kwa Trend ya wakati ule na sifa alizomwagiwa na JPM wengi walijua how the trend will be.

Kuhusu JPM kuwa ataondoka, Ushahidi huu hapa, Mchangiaji mmoja alimuonya kwa kauli aliyoisema "To be
honest I wish....... ili Samia awe Rais.

Screenshot_20220827_172722_com.quoord.jamiiforums.activity.jpg
 
Nimetoka kapa
Sio kila kitu kinachoandikwa au kusemwa hapa JF lazima ukielewe

Lazima ujifunze kusoma mambo between lines,

Unafahamu lengo la mleta uzi? Hawezi kukutafunia kama mtoto wa kindergatten


Wewe Itakuwa Umezoea umbea umbea, Watu wambea ni ngumu kuelewa mambo kwani mnasoma juu juu au kusikiliza juu ili upate umbea wa kusimulia

Sasa kama hujaelewa si ungeenda kulala kimya kimya
 
Maandiko mengi ya Pascal Mayalla anayoyaita voices from within mengi yamekuwa kweli isipokuwa lile alilosema Marehemu JPM yupo sehemu safi huko tusikojua kwa akili za Kawaida za kibinadamu hakuna anayejua mambo ya wafu na maisha baada ya kifo, Hii voices kuhusu JPM Marehemu iliniacha na mshangao mkubwa kuwa yupo sehemu safi huko aliko

Pia kuna issues za Negativity juu ya Chadema na uchawa ili ateuliwe ccm huwa zina acha mshangao kwa wengi hapa JF na kumshushia heshima yake

Voices from within za Pascal sio voices from within au inner feelings bali ni taarifa kamili na Tips za mipango ambazo kikundi fulani kinaratibu halafu Pascal Mayalla anatumika kuwakilisha kama Fasihi andishi

Hakuna kitu cha bahati mbaya hapa duniani iwe vita ya Ukraine na Russia au Nani alitakiwa kuwa Rais wa Kenya kati ya Ruto na Odinga. Mingi ni mipango ya watu, Hata ukilazimisha kuongoza kwa nguvu kuna siku wapangaji watakamilisha mipango yao kwa kukuondoa

Hii Dunia ina watu wengi lakini wanaotuongoza na wenye nguvu za ajabu ni wachache sana, Hawa ndio waleta korona na series zake, Hawa ndio watengenezaji wa vitu vya ajabu kwa malengo binafsi, Hawa ndio wanaimiliki hii dunia huku wakiwa na wawakilishi karibu kila nchi

Kuna watu Wanatumika hapa Duniani bila wao kujijua, Yawezekana Pascal analetewa Tips akiwa bar na John walker mkononi halafu Yeye anaandika hapa JF bila kujua ni uhalisia utatokea


Kuna issues kama za JPM kuwa Rais alizileta hapa 2014 na alitukanwa na kila mtu, Lakini JPM akawa Rais 2015

Kuna issues za Samia kuwa Rais 2020 alizileta hapa mwaka 2017 lakini zikafanikiwa March 2021

Kuna issues za Tulia Ackson kuwa Spika 2021 alizileta hapa 2020 na kumshauri Ndugai aache ikatokea 2022

Mwaka huu anazidi tena kuota Husein Mwinyi kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano kuanzia 2025,

Hii ya Rais Mwinyi, La hasha sio voices from within, Kwa Trend ya wakati ule na sifa alizomwagiwa na JPM wengi walijua how the trend will be

Kuhusu JPM kuwa ataondoka, Ushahidi huu hapa, Mchangiaji mmoja alimuonya kwa kauli aliyoisema "To be honest I wish....... ili Samia awe RaisView attachment 2336503
Mkuu Shamba la Mbegu, seedfarm , kwanza asante kunianzishia thread, nina jambo langu leo
Tumuombee mwanaJF Pascal Mayalla apitishwe

Wote tuseme Amen!
Mkuu Yahana Mbatizaji, johnthebaptist , amen, amen!.
Hili jambo nimelianzia hapa Wana JF, niko mbele yenu kwa unyenyekevu kuomba baraka zenu & moral support yenu jambo langu hili liwe! Mniombee Mungu asaidie, awezeshe liwe!
Nikakumbana na Kikwazo cha kwanza hapa Licha ya vikwazo kadhaa, hatimaye nimefanikiwa kuianza ile safari. Asanteni kwa sala zenu zimesaidia ila bado zinahitajika sana! Mungu nisaidie
Nikatoa ushauri kwa chama changu kuhusu EALA Ubunge EALA, Wito Kwa CCM, Msiangalie Ukwasi, Tuteulieni, Wazalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Wenye Uwezo na Uzoefu wa Kimataifa Kutuwakilisha Ipasavyo
Kazi ya Uelimishaji Umma kuhusu EAC inaendelea Ijue Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Fursa za Mtangamano
Tukaitwa Dodoma kuhojiwa, huko nikakutana na A shock of my life, furaha yageuka shubiri. Be good to people on your way up, you might meet them on your way down, mwenzenu leo yamenikuta!
Sasa leo ndio kikao cha CC kuchuja majina, hivyo sala zenu zinahitajika sana kuliko wakati mwingine wowote!.
Mungu Nisaidie!.
P
 
Back
Top Bottom