seedfarm
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 260
- 2,654
Maandiko mengi ya Pascal Mayalla anayoyaita voices from within mengi yamekuwa kweli isipokuwa lile alilosema Marehemu JPM yupo sehemu safi huko tusikojua kwa akili za Kawaida za kibinadamu hakuna anayejua mambo ya wafu na maisha baada ya kifo, Hii voices kuhusu JPM Marehemu iliniacha na mshangao mkubwa kuwa yupo sehemu safi huko aliko.
Pia kuna issues za Negativity juu ya Chadema na uchawa ili ateuliwe ccm huwa zina acha mshangao kwa wengi hapa JF na kumshushia heshima yake.
Voices from within za Pascal sio voices from within au inner feelings bali ni taarifa kamili na Tips za mipango ambazo kikundi fulani kinaratibu halafu Pascal Mayalla anatumika kuwakilisha kama Fasihi andishi.
Hakuna kitu cha bahati mbaya hapa duniani iwe vita ya Ukraine na Russia au Nani alitakiwa kuwa Rais wa Kenya kati ya Ruto na Odinga. Mingi ni mipango ya watu, Hata ukilazimisha kuongoza kwa nguvu kuna siku wapangaji watakamilisha mipango yao kwa kukuondoa.
Hii Dunia ina watu wengi lakini wanaotuongoza na wenye nguvu za ajabu ni wachache sana, Hawa ndio waleta korona na series zake, Hawa ndio watengenezaji wa vitu vya ajabu kwa malengo binafsi, Hawa ndio wanaimiliki hii dunia huku wakiwa na wawakilishi karibu kila nchi.
Kuna watu Wanatumika hapa Duniani bila wao kujijua, Yawezekana Pascal analetewa Tips akiwa bar na John walker mkononi halafu Yeye anaandika hapa JF bila kujua ni uhalisia utatokea.
Kuna issues kama za JPM kuwa Rais alizileta hapa 2014 na alitukanwa na kila mtu, Lakini JPM akawa Rais 2015.
Kuna issues za Samia kuwa Rais 2020 alizileta hapa mwaka 2017 lakini zikafanikiwa March 2021.
Kuna issues za Tulia Ackson kuwa Spika 2021 alizileta hapa 2020 na kumshauri Ndugai aache ikatokea 2022.
Mwaka huu anazidi tena kuota Husein Mwinyi kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano kuanzia 2025.
Hii ya Rais Mwinyi, La hasha sio voices from within, Kwa Trend ya wakati ule na sifa alizomwagiwa na JPM wengi walijua how the trend will be.
Kuhusu JPM kuwa ataondoka, Ushahidi huu hapa, Mchangiaji mmoja alimuonya kwa kauli aliyoisema "To be
honest I wish....... ili Samia awe Rais.
Pia kuna issues za Negativity juu ya Chadema na uchawa ili ateuliwe ccm huwa zina acha mshangao kwa wengi hapa JF na kumshushia heshima yake.
Voices from within za Pascal sio voices from within au inner feelings bali ni taarifa kamili na Tips za mipango ambazo kikundi fulani kinaratibu halafu Pascal Mayalla anatumika kuwakilisha kama Fasihi andishi.
Hakuna kitu cha bahati mbaya hapa duniani iwe vita ya Ukraine na Russia au Nani alitakiwa kuwa Rais wa Kenya kati ya Ruto na Odinga. Mingi ni mipango ya watu, Hata ukilazimisha kuongoza kwa nguvu kuna siku wapangaji watakamilisha mipango yao kwa kukuondoa.
Hii Dunia ina watu wengi lakini wanaotuongoza na wenye nguvu za ajabu ni wachache sana, Hawa ndio waleta korona na series zake, Hawa ndio watengenezaji wa vitu vya ajabu kwa malengo binafsi, Hawa ndio wanaimiliki hii dunia huku wakiwa na wawakilishi karibu kila nchi.
Kuna watu Wanatumika hapa Duniani bila wao kujijua, Yawezekana Pascal analetewa Tips akiwa bar na John walker mkononi halafu Yeye anaandika hapa JF bila kujua ni uhalisia utatokea.
Kuna issues kama za JPM kuwa Rais alizileta hapa 2014 na alitukanwa na kila mtu, Lakini JPM akawa Rais 2015.
Kuna issues za Samia kuwa Rais 2020 alizileta hapa mwaka 2017 lakini zikafanikiwa March 2021.
Kuna issues za Tulia Ackson kuwa Spika 2021 alizileta hapa 2020 na kumshauri Ndugai aache ikatokea 2022.
Mwaka huu anazidi tena kuota Husein Mwinyi kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano kuanzia 2025.
Hii ya Rais Mwinyi, La hasha sio voices from within, Kwa Trend ya wakati ule na sifa alizomwagiwa na JPM wengi walijua how the trend will be.
Kuhusu JPM kuwa ataondoka, Ushahidi huu hapa, Mchangiaji mmoja alimuonya kwa kauli aliyoisema "To be
honest I wish....... ili Samia awe Rais.