Privacy Law: Mwanaasha J. Kikwete kuwashitaki NECTA?

Hata hivyo, kuanika majina ya watoto ktk magazeti, mtandao na kadhalika ni kuvunja haki na Uhuru wa mtoto huyo ambaye bahati mbaya sheria haikumtazama yeye. Unapokwenda ktk gazeti na kutafuta majina ya waototo majirani au marafiki inakusaidia nini wewe msomaji?.. Hii inaonyesha wazi jinsi tulivyokuwa wadaku na tabia za kishenzi hadi ktk sheria zetu kutaka kujua mambo ya watu wengine wakati yetu wenyewe yametushinda.

Tena hawa wanafunzi bado ni watoto. Wengi ni under 18.
 
Ukisikia Mazuzu, wewe ni mmojawapo!

Kwa kuwa tu ni mtoto wa Rais, basi, ndio matokeo yake yasionekane? Mbona hao wengine miaka nenda matokeo yao yamechapishwa hadharani HUKUSEMA?

Umetumwa au unatafuta sifa, upate U-DC au Ubalozi?

Wewe si Kupeng'e, wewe ni KUPE!

It is sad to concede that in NECTA there is no comprehensive privacy legislation. To disclose the names and results of students NECTA go against the constitution of URT . It brings bad picture to see results of other students and a daughter of President of URT being disclosed without approval from a person concern.

Of course this does not mean that right to privacy is not recognized in Tanzania. The United Republic of Tanzania (URT) Constitution of 1977 as amended form time to times defines privacy as follows:

‘…Every person is entitled to respect and protection of his person, the privacy of his own person, his family and of his matrimonial life, and respect and protection of his residence and private communications…’

Article 16(2) goes further stipulating that:
‘…For the purpose of preserving the person’s right in accordance with this Article, the state authority shall lay down legal procedures regarding the circumstances, manner and extent to which the right to privacy, security of his person, his property and residence may be encroached upon without prejudice to the provisions of this Article…’

Article 16(1) and (2) of United Republic of Tanzania Constitution of 1977 as amended from time to time provides for right to privacy. Article 16(2) of URT constitution provides for possibility of other laws to encroach the right to privacy. The said article stipulates clearly that the law maker will enact law to stipulate how privacy right may be protected, pursued or encroached by government agents.

Mytake; Mwanaasha atashitaki Necta?
:nerd:
Nawakilisha

 
Mkuu tunarudi pale pale
Sheria inayosimamia bank inasema wazi kuwa mambo yote yanayohusiana na account za mteja ni siri ya bank na mteja na hairuhusiwi kutolewa kwa mtu wa tatu ila kwa kibali cha mahakama
Sheria iliyoanzisha NECTA haijasema hayo wala hakuna kipengele kinachosema kuwa matokeo ya mitihani ni siri ya NECTA na mwanafunzi na hairuhusiwi kuyatoa
may be ipigwe kelele kuweka kipengele kuwa baraza haliruhusiwi kutangaza matokeo ya mtu yoyote bila ridhaa yake

Mkuu tofautisha confidentiality na privacy. Nafikiri ni vitu viwili tofauti. Kwa uelewa wangu the banker's duty of confidentiality to the customer is an implied term of the contract between customers and their banks that the banks will keep their customers’ information confidential. Lakini privacy is an inherent human right.

In other words, privacy control over the extent, timing and circumstances of sharing oneself (physically, behaviorally, or intellectually) with others. Confidentiality pertains to the treatment of information that an individual has disclosed in a relationship of trust and with the expectation that it will not be divulged to others in ways that are inconsistent with the understanding of the original disclosure, without permission.

Kwa kifupi, privacy relates to a person him/herself whilst confidentiality relates to information/data about a person.
 
Mking'ang'ana matokeo ya mitihani yafanywe siri mtaona watakaojiunga na A-LEVEL na hatimae VYUO VYA ELIMU YA JUU ni akina nani. Mimi nataka uwazi zaidi hata kwenye SIASA. "Private lives" za wanaotaka kuwa VIONGOZI wetu zianikwe hadharani.

Utamjuaje mtoto aliyemaliza form four mwaka jana kama anataka kuwa mwanasiasa ili tuweze kufuatilia matokeo yake? Why don't we address the root cause of the problem badala ya kuzawazisha juu kwa juu?
 
Mking'ang'ana matokeo ya mitihani yafanywe siri mtaona watakaojiunga na A-LEVEL na hatimae VYUO VYA ELIMU YA JUU ni akina nani. Mimi nataka uwazi zaidi hata kwenye SIASA. "Private lives" za wanaotaka kuwa VIONGOZI wetu zianikwe hadharani.
Mkuu hivi unapolisoma jina la mtu akapata div 1 au div 4 ktk gazeti kuna uwazi gani unaopata?. Kama ni kuopanga matokeo inafanyika kabla hayajatangazwa. Uwazi unatakiwa kule kwenye kusahihisha mitahani na majibu yenyewe maana unachosema wewe ni bora tutangaziwe ushindi wa Mbunge pasipo kujua ameshinda shinda vipi.

Swala hapa ni hatua ya mwisho ya kutangaza matokeo ambao haiathiri jambo lolote la lazima ktk marekebisho bali kulinda haki na Uhuru wa mtoto ambaye wewe unaona hana haki hiyo.

Halafu mkuu wangu nadhani mnachanganya vitu hapa, mtu anapoomba Ubunge au ajira hapo anawajibika yeye kutoa taarifa ambazo zinatakiwa ikiwa ni pamoja na elimu yake afya yake na pengine hata private life (ameoa ana wake wangapi n.k) ikiwa ndio kigezo cha ajira husika. Kama hataki basi hataweza kuomba Ubunge au ajira lakini sio huyu mtoto ambaye hana hila ni lazima jina lake liwekwe utafikiri mnada wa binadamu..Hivi tunapotangaza majina yao tunaonyesha UWAZI upi?

Maswala ya mikataba yanawahusu wenye mali, wewe kama mTanzania una haki ya kujua mkataba kwa sababu inakuhusu. Hiyo private mnayozungumzia haihusu kabisa maana unafichwa wewe mwenyewe!. Haya ni makosa ya kiutawala na Ufisadi ndio yamepelekea usiri wa mikataba japokuwa mhusika ni wewe mwananchi. Ni sawa na Daktari alokufanyia uchunguzi akakuta una Cancer akaamua kukuficha iwe kwa faida yako au hasara yako lakini wewe kaa mgonjwa unayo haki kabisa ya kudai matokeo ya uchunguzi huo.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Siku zote mlikua wapi msilione na kulilalamikia hili? Mmeanza kulalamika baada ya mwanaasha kuumbuliwa! Mi nasema hivi sheria ni msumeno inakata pande zote si matokeo ya watoto wakina yakhe yakianikwa mnachukulia poa ila ya watoto wa vigogo mnang'aka! Matokeo yawekwe hadharani ili kesho na kesho kutwa MWANAASHA AKIWA MENEJA WA BOT TUWEZE KUMNG'OA KIRAHISI kwa historia ya elimu yake,

Angel,

Hili suala halikuanza kujadiliwa hapa leo. Hili suala limeshajadiliwa sana Jukwaa la Mambo ya Kikubwa ambapo watu sijui wanachukua picha za wapenzi wa zamani wakiwa uchi halafu wanazipost kule bila hata consent za wenye picha. This is also violation of their privacy. Ngoja ziku ziwekwe picha zako kule ndio utajua tunachoongelea hapa ni nini.
 
Angel,

Hili suala halikuanza kujadiliwa hapa leo. Hili suala limeshajadiliwa sana Jukwaa la Mambo ya Kikubwa ambapo watu sijui wanachukua picha za wapenzi wa zamani wakiwa uchi halafu wanazipost kule bila hata consent za wenye picha. This is also violation of their privacy. Ngoja ziku ziwekwe picha zako kule ndio utajua tunachoongelea hapa ni nini.

Hata enzi za ZeUtamu watu walilijadili sana
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Mkuu tunarudi pale pale
Sheria inayosimamia bank inasema wazi kuwa mambo yote yanayohusiana na account za mteja ni siri ya bank na mteja na hairuhusiwi kutolewa kwa mtu wa tatu ila kwa kibali cha mahakama
Sheria iliyoanzisha NECTA haijasema hayo wala hakuna kipengele kinachosema kuwa matokeo ya mitihani ni siri ya NECTA na mwanafunzi na hairuhusiwi kuyatoa
may be ipigwe kelele kuweka kipengele kuwa baraza haliruhusiwi kutangaza matokeo ya mtu yoyote bila ridhaa yake

Mkuu,

Haki ya faragha za information zina-cover identity ya mtu katika vyombo vyote na sio mabenki tu. Information yoyote ambayo inabainisha identity ya mtu na ambayo inaweza kuwa na negativi impact ni lazima ilindwe kisheria.
 
Kama kweli una nia njema naomba unitajie wanafunzi wengine japo 10 tu ambao wamepata zero na unawaonea huruma kwa matokeo yao kuanikwa hadharani

Na siku picha zako za faragha zikichukuliwa na kuwekwa kwenye jukwaa la kikubwa don't come here complaining that your privacy has been violated. Sidhani kama utapenda tukuambie na wewe ututajie watu wengine japo 10 ambao picha zao za faragha zimewekwa jukwaa la kikubwa ili tukuonee huruma. Common sense is the most important skill to have.
 
Any way, matokeo kuonekana hadharani siyo tatizo, maana necta hawapaswi kujua kuwa nani ni mtoto wa nani, kwa maana hiyo hata uchaguzi unapofanyika matokeo yatangazwe ya mshindi tu ili kutoonyesha matokeo ya washindwa maana wengine huwa wanapata zero.
 
Unayoyaeleza hapa ni mambo ambayo yanatoka ndani ya mtu. Hayo kwa kweli yanahitaji usiri wa kutosha. Mitihani, interview za ajira, kufunga ndoa, kugombea UONGOZI, ... Haya hayahitaji usiri wowote hasa kwa Tanzania hii ambayo usiri kidogo tu mambo yanapindishwa kwelikweli!

Mkuu unarudia kosa lile lile. Kuna tofauti kati ya usiri na faragha. Hapa hatuongelei usiri. Tunaongelea faragha.
 
Utamjuaje mtoto aliyemaliza form four mwaka jana kama anataka kuwa mwanasiasa ili tuweze kufuatilia matokeo yake? Why don't we address the root cause of the problem badala ya kuzawazisha juu kwa juu?

Na nani amesema kuwa ku-reveal private information solves the problem?
 
I am in favor ya kutumia namba kuwakilisha majina kuliko ilivyo sasa.

Hakuna bwana, watoto wenyewe bongo flava hawa wanadanganya wazazi wao, mzazi anapewa namba ya mwanafunzi mwingine aliye na nafuu ya matokeo. Unasubiri mwendelezo miezi inapita hakuna kitu, kuja kustuka olaaaa, mpaka aende shule kujua ukweli!!! Matokeo yaje hivyo hivyo live bila zengwe bora tu mzazi ajue jina la shule yatosha.
 
Hata kama disclosure ya majina isingekuwa wazi, huyo mtoto alikuwa anasoma pekee darasani? Hapana!! Basi hao wanafunzi wenzie wangeyajua matokeo yake, na kwa sababu ni mtoto wa MKULU, habari ya UFAULU wake ingesambaa kama moto wa nyika. Jamani tuwe wakweli, mimi mwenyewe mwanangu kapata Div IV ya pt.31 sasa niende mahakamani kwa sababu matokeo yake yamebandikwa mtandaoni?? Hapana. KILA MTU ATAVUNA ALICHOPANDA!! Awe mtoto wa Mkulu ama wangu mimi, awe kasoma FEDHA (Sorry FEZA) ama Nsyasya (kama huyu wa kwangu). Tafakari, Chukua Hatua!!

Inaonyesha wewe ni moja ya wale Watanzania ambao hawajui kabisa haki zao. Ulivyosema ni sawa na daktari amwue ndugu yako kwa kumpa dawa ambayo siyo, halafu useme hakuna haja ya kumshtaki huyo daktari au hosipitali husika kwa sababu ndugu yako tayari ameshakufa.

Inasikitisha. Tena sana. Lakini sikulaumu maana nimekutana na issues nyingi sana kama hizo
 
It is sad to concede that in NECTA there is no comprehensive privacy legislation. To disclose the names and results of students NECTA go against the constitution of URT . It brings bad picture to see results of other students and a daughter of President of URT being disclosed without approval from a person concern.

Of course this does not mean that right to privacy is not recognized in Tanzania. The United Republic of Tanzania (URT) Constitution of 1977 as amended form time to times defines privacy as follows:

‘…Every person is entitled to respect and protection of his person, the privacy of his own person, his family and of his matrimonial life, and respect and protection of his residence and private communications…’

Article 16(2) goes further stipulating that:
‘…For the purpose of preserving the person’s right in accordance with this Article, the state authority shall lay down legal procedures regarding the circumstances, manner and extent to which the right to privacy, security of his person, his property and residence may be encroached upon without prejudice to the provisions of this Article…’

Article 16(1) and (2) of United Republic of Tanzania Constitution of 1977 as amended from time to time provides for right to privacy. Article 16(2) of URT constitution provides for possibility of other laws to encroach the right to privacy. The said article stipulates clearly that the law maker will enact law to stipulate how privacy right may be protected, pursued or encroached by government agents.

Mytake; Mwanaasha atashitaki Necta?
:nerd:
Nawakilisha

Kipeng'e, hongera, kumbe na wewe you belong to the learned bothers and sisters!.

Very unfortunately "the right to privacy" doesnt apply in this scenario simply because the names, grades and exam results are not covered, they are public afairs and the right to privacy only covers her biometric datas and family afairs.

Kama wange disclose her registration details wangekuwa liable!. Not a bad start, first family have regognized you subiria tuu asante yako!.
 
Tukubaliane kutokubaliana tu. Matokeo ya mitihani yote hadi chuo kikuu yatangazwe hadharani kwa TANZANIA hii.

Mkuu inapofikia mpaka stage ya ku-betray your own dignity, then safari tunayo.
 
Nyie watu mmenichekesha nawaza unajua kama Mwanaasha angefaulu kwa Div 1 . 17 bado kuna watu wangekuja na kuclaim kuwa kapendelewa kwa kuwa ni mtoto wa Mkuu?!
 
Back
Top Bottom