tutaiva kwel? Niko arsenal
duh! Lakini usijali baby, inabidi muda mwingine upunguze stress baada ya mechi nafikiri itafuata mechi kati ya Sunderland na Arsenal saa 12:00 jioni nadhani tutaingalia pia, nitakutunuku na jezi ya united.
ndallo, nakukabidhi jirani yangu Preta utoke naye siku ya valentine kwa ridhaa yake mwenyewe.
Tabasamu basi nione ka mwanya kako ka uchochoro.
nimekubal baby ila nina alergy na united ctak kuona alama yao yyte.
mbona washamba hivo gundu nayo sifa?
washamba kabila lako!
Kwani nani kasema kuwa ni sifa, it is just a fact.
Mwanaasha mkubwa we...
Mamito nimekumisije.....Preta unaitajuika huku uvae ile pedo nyekundu sl atakuazima kibanio
ukweli unauma eeeh? Ww c ndio ulsema una gundu? Unaeleza fact? No wanda una gundu kweli sbb umekumbatia gundu! Mizengo kuburi wweeee!
wala hakuna kilichoniuma nyama wewe!
Kule kwenye valentine bid nakaribia kuopoa mzigo wako, ndo utajua kama nimekumbatia gundu au la. Tena nitakuuliza hilo swali wakati kisu kikiwa kwenye ala yake, kama hujabaki kuchekacheka.
Blandina Nyoni @MHSW mkubwa weeee...
bi kiroboto ww nana kakwamnbia mm kimeniuma. Tena dau langu usha likubal nina ham na ww **** ww nautapokua unakula kitumbua changu utasahau had jna lako ww nitahakksha tunachkua vdeo tukiangalia tuone nan zaid. Bladfackenjairolutepambafu! @**#@!!
unasemaje wewe kivuli cha Haji Mponda?
Mtaani kwetu wananiita 'bolotango', sifa zangu zimesambaa kutoka Afisi za TANESCO Kinondoni North mpaka King'oko kwa kina Langa Kileo, lazima uombe re-match mwenyewe.
Lusindewassirostamkullo mkubwa wewe!
Preta unaitajuika huku uvae ile pedo nyekundu sl atakuazima kibanio
Najua Preta tuko mji mmoja hapa Arusha! Kindly am asking you if will you be my Valantine wangu siku ya tarehe 14/02/2012 tafadhali? Nitakuandalia bonge la suprise! Nijibu tafadhali nijibu nikuambie ni zawadi gani.
Najua Preta tuko mji mmoja hapa Arusha! Kindly am asking you if will you be my Valantine wangu siku ya tarehe 14/02/2012 tafadhali? Nitakuandalia bonge la suprise! Nijibu tafadhali nijibu nikuambie ni zawadi gani.