Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,608
- 5,269
haya mambo inatakiwa kujpanga. Eleza hapa miad tufanye vip!
nakusikiliza wewe baby!
haya mambo inatakiwa kujpanga. Eleza hapa miad tufanye vip!
Tatizo sijazimikiwa humu sijui wanaogopa avitar yangu? Naomba msaada wako
Nitonye,
Wewe utakuwa una gundu kama mimi tu! :lol::lol::lol:
Mwenzako nilienda kuogelea Koko bichi nitoe gundu sasa nasikilizia kama nimepata kismati
gdlak ya nn wkt mm mtoto preta kanpata?
na jina la Mpolee umemuachia nani bibie?
li avata linachefua hilo! Bayaaaaaaaa! Lkn utam ndio uko hapo huyo mtu anambua. Utanpa sh ngap niksaidie.
mm penda ww!
I will give u anything u want, au nipige masoap soap nini?
GM naona tayari umeshadondoka kwa mtu
bado ninalo mm huon nilvo mpoleee? Tena upole wangu golden.
Nitonye,
Wewe utakuwa una gundu kama mimi tu! :lol::lol::lol:
Mwenzako nilienda kuogelea Koko bichi nitoe gundu sasa nasikilizia kama nimepata kismati
budget yako sh ngap baby?
mpole kwenye kitu gani hasa?
sidhani kama kuna mtu ana gundu kuliko mimi humu JF...
I bet!
Mi naomba woote muwe my Valentine.
I LOVE YOU ALL GUYS!
kuhusu budget usiwe na wasi baby! Ooh! Nimekumbuka kitu baby, leo mida ya 9:45 alasiri nitakuwa pale southern sun naangalia English premier league kati za Manchester United na Liverpool, tunaweza tukawa wote baby? Nadhani na wewe utakuwa upande wa united?