Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,515
- 6,489
Hili si onyo la kwanza ila msisitizo.
(1) Ni marufuku kugeuza au kupotosha mtiririko wa thread na kugeuza kuwa chumba cha kusalimiana au kupiga soga(chat room) sisizohusiana na hoja ya thread, unaruhusiwa kusalimia mara moja tu na sio kuendelea kuchat for some pages. Atakaekiuka onyo hili atakuwa ametenda kosa la jinai. Sio kosa la jinai kuchati kwa PM
(A) Adhabu/sentence; Kupigwa ban siku saba au faini ya $ 9.5 kwa kila thread iliyo nje ya mada inayozidi kiwango kinachobalika, yaani thread moja tu kusalimiana,
(B) Ukirudia kosa, faini ya $ 10.5 kwa kila thread inayozidi moja iliyo nje ya mada pamoja na ban ya siku 14
Note; The amount of fine is subject to change without prior notice( the notice may be available threreafter).
Isued by Chapa Nalo Jr
Mods-Kivuli
Signed; 3th Feb 2011.
(1) Ni marufuku kugeuza au kupotosha mtiririko wa thread na kugeuza kuwa chumba cha kusalimiana au kupiga soga(chat room) sisizohusiana na hoja ya thread, unaruhusiwa kusalimia mara moja tu na sio kuendelea kuchat for some pages. Atakaekiuka onyo hili atakuwa ametenda kosa la jinai. Sio kosa la jinai kuchati kwa PM
(A) Adhabu/sentence; Kupigwa ban siku saba au faini ya $ 9.5 kwa kila thread iliyo nje ya mada inayozidi kiwango kinachobalika, yaani thread moja tu kusalimiana,
(B) Ukirudia kosa, faini ya $ 10.5 kwa kila thread inayozidi moja iliyo nje ya mada pamoja na ban ya siku 14
Note; The amount of fine is subject to change without prior notice( the notice may be available threreafter).
Isued by Chapa Nalo Jr
Mods-Kivuli
Signed; 3th Feb 2011.