captain fododo
Member
- Oct 30, 2013
- 24
- 4
JK NYERERE.... Africa is of Interest when we are killing one another, if we want to appear in European News we can cause more trouble somewhere
Chama kipya
na nyota ya act ina represent nchi moja ya tanzania
Mkuu nakupa like ya nguvu. Hii ni moja ya maoni bora kabisa kwangu katika siku ya leo hapa JF. UBARIKIWE sana Mkuu.Karibu ACT, karibu kwenye mbio ndefu zenye kukatisha tamaa kutokana na ubabe wa CCM, kama umekuja kwa nia njema tunakuombea kheri kwani lengo ni moja tu,kumkomboa Mtanzania na kumfaidisha na rasilimali zilozopo tofauti na sasa zinapofaidiwa na wachache, lakini kama umekuja kukomoa chama fulani au watu fulani, nakushauri kajitafakari upya.
WATANZANIA WAMECHOKA WANATAKA MABADILIKO YA KWELI.
Tumeanzisha shirika la kidini toka kigoma linaitwa alliance for cowards and traitors. Nawasilisha
Kumbuka USA ni nchi alaf act ni chama ndo maana nilikwambia acha kufikiria kama ndege.Alf ile ni bendera ya nchi hii yenye nyota moja ni bendera ya chama narudia tena acha kufikiria kama ndege
Swali la msingi sana hili mkuu,na ningependa sana viongozi (nasisitiza hapa VIONGOZI na si waganga njaa wa mitandaoni) wa vyama tajwa (CDM na CCM) wangetueleza kuwa kwa nini wao wameshindwa kuwa tegemeo la mabadiliko ya maisha ya watanzania na kama wanaaamini kuwa wao wameshindwa na hivyo tunahitaji mbadala. Pia napenda viongozi wa ACT watuelimishe na kutuaminisha sisi watanzania kuwa wao ni kweli mbadala wa vyama tajwa hapo juu,na ni kwa nini tuwaamini wao.Nilisikia baadhi ya watu wakisema tunahitaji mbadala wa Chadema an Magamba... je huu ndio mbadala au tuendelee kusubiri?
Tumeanzisha shirika la kidini toka kigoma linaitwa alliance for cowards and traitors. Nawasilisha
Mkuu, acha hizo...kwa maana hiyo Pro CCM na wafia dini wake wanaposema Chadema ni chama cha kidini na wao ni wakweli? Au na wewe umeshaingizwa mkenge wa propaganda hizi? Sasa mtu kama wewe unatofautigani na watu kama Boko Haram,Ritz na THE BIG SHOW?
Pamoja na kuwa mimi ni mshabiki na mpenzi wa Chadema lakini napinga na kutamka kuwa ACT Tanzania siyo chama cha kidini.
Hivi huyu limbu si ndo aliondoka cuf na kuunda adc? Sasa nini kimemtoa huko? Mwenye jibu jamani
nilitoka kidogo JF, ile narudi tu kitu cha kwanza nakutana nacho.....hamadi.....ni fitina za DiniKoloniKristo NA DiniKoloniIslam. kama nilivokwishasema huko nyuma diniKoloni hazina lolote la maana la kumsaidia mwana wa Afrika zaidi ya chukizo, fitinisho, hasidisho, uuajisho, unafkisho nk nk. Ni jambo la kuchukiza na kuhusunisha sana kuona kwamba, kila mara waafrika watanzania wanapokuwa wanajadili jambo la msingi na maana kubwa kwa mustakabali wa TAIFA LA WATANZANIA na waafika kwa ujumla, inspirational point inayotumika ni DiniKoloni...kumbuka hizi ni dini zile zile zilizowabaka bibi zetu, zilizowaasi babu zetu, zilizowashika watumwa waafrika wenzetu, dini baguzi zilizoongoza, na bado zinaongoza, imani chukizo kuwa waafrika ni manyani yasiyostahili hata kuoana na mzungu wala mwarabu. Hadi leo wamiliki wa Dini Koloni wanawatupia waafrika maganda ya ndizi kaa nyani ili tuyarukie mithili ya tumbili. Lakini hatuoni haya yote, DiniKoloni zimetumika kuhalalisha mauaji ya waafrika huko Nigeria, huko Misri, huko Somalia, milipuko Huko Kenya, huku Dar, kumwagiwa tindikali huko zanzibar, Arusha nk nk. Leo hapa DiniKoloni zinatumiwa na kina Big Show na SimiyuYetu kama kete ya kutimiza malengo ovu ya kuwagawa maskini wa Tanzania kwa nia ya kuendelea kuwatawala kikoloni na kuwaibia hadi chupi zao za ndani. DiniKoloni ni Laana Kubwa kwa Mwana wa Afrika.
wewe unaonaje kama ikiwa hivyo??
sisi waislam tumewaambia hatutaki kabisa kutuchafulia dini yetu kwa kuihusisha na siasa zao,lakini si umeona wana chadema wanavyojaribu kuuhusiha uislam,na waislam na hicho chama cha act??
jiulize kwani hiko chama kimesema wao ni watu gani au wao ni wana ajenda za uislam??sasa kwanin chadema na vijana wao wanakuja kuuhusisha uislam wetu moja kwa moja na chama hiko??kama sio choko choko ni nin??
Thats why tunasema chadema wapambane na mahasimu wao,wasipambane na uislam wala waislam wanazid kujiua sana
Unauliza maswali mazuri sn!
Labda nikuulize kwani ulishawahi kusikia Cdm wakidai Kua na agenda ya ukristo? Au agenda ya ukabila?
Maana kuna baadhi ya watu humu hutangaza kwamba cdm Ni chama cha kikabila na cha kikristo! Wao wamepata wapi Hiyo agenda?
Na kwanini Pro-ccm hapa jf wanakitetea hicho chama kwa nguvu? Mimi Km raia Wa kawaida nieleweje?
Akili mbovu hiyo,
Wewe unasubiri watangaze tena?
Huo utitiri wa wachaga na mapadre humo ndani hauoni??
mwenye macho haambiwi tazama,thats why nakuambiaga uache kujitoa ufaham na kujiweka unafiki unafiki
wewe ni chadema unajifanya mtanzania wa kawaida,au unaogopa nawewe kuitwa mchaga?ooh yes hicho ni chama cha wachaga,kubali ama kataa,ila ukweli uko hivyo
Naona umeamua kuingia rasmi kukitetea chama chako, kwa kukusaidia takukumbusha mbunge wa Chadema Joshua Nassari, alishasema kuwa Chadema wakichukuwa nchi kitu cha kwanza ni kuanzisha taifa la kaskazini upo.Unauliza maswali mazuri sn!
Labda nikuulize kwani ulishawahi kusikia Cdm wakidai Kua na agenda ya ukristo? Au agenda ya ukabila?
Maana kuna baadhi ya watu humu hutangaza kwamba cdm Ni chama cha kikabila na cha kikristo! Wao wamepata wapi Hiyo agenda?
Na kwanini Pro-ccm hapa jf wanakitetea hicho chama kwa nguvu? Mimi Km raia Wa kawaida nieleweje?