kbosho
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 13,073
- 6,639
walisema nchi kwanza ,then wameanzisha chama,niwakumbushe tu kwa watu msiomjua Zitto Kabwe vizuri,huyo jamaa kwa kujenga hoja zenye mashiko kwa taifa yupo vizuri na elimu yupo vizuri bt kibaya zaidi hata kwenye unafiki yupo fizuri zaidi,mjifunze kwa yaliyowakuta wazee kwa vijana waliokuwa wanamwamini Zitto Kabwe,vijana kma Juliana ShonzaMtela MwampambaChagulani AdamsGrayson Veronica NyakarunguMwl Deo KisanduHabib Mchange,wakalishana yamini na kuchanjwa chale kwa kina Kalumanzira ili wasisalitiane, na wengine hawa kwa miaka mingi wameaminishwa na wakaamini kwamba Zitto ndo kiongozi bora na mzalendo bt waulize yalipowakuta ya kuwakuta Kina mtela na Shonza na story zao za Zitto kutaka kunyweshwa sumu aliwakana akadai hawajui wala hajawahi kukutana nao mahala popote pale,kwenye kufukuzwa CDM ndo alikuwa anaongoza wafukuzwe,so nikagundua lengo la Zitto ni kuvuruga CDM na si kuijenga,akishaona kijana flani walau anauwezo mkubwa wa kujenga hoja atamwandama na kutafta urafiki nae then anammezesha sumu kwamba chama ni cha ukanda ,udini na nk,then kijana bila kutafakari anakuwa loud speaker ya Zitto then wakimtimua ndo amekwisha hivyo kisiasa na kukiyumbisha chama
great words mkuu....hata wazungu wamasema If you dont build your
dream, someone else will hire
you to help them build theirs...