Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,299
- 43,518
Ndugu zangu Waislam hawa ndiyo Chadema wanataka muwaunge mkono wachukue dola, wasomeni wenyewe wanavyotoa kashfa kwenu.Nyota ya kwenye bendera ya ADC ni nyota ya kupigia Ramli kwa waislam Magaidi
Ndugu zangu Waislam hawa ndiyo Chadema wanataka muwaunge mkono wachukue dola, wasomeni wenyewe wanavyotoa kashfa kwenu.Nyota ya kwenye bendera ya ADC ni nyota ya kupigia Ramli kwa waislam Magaidi
wewe unaonaje kama ikiwa hivyo??
sisi waislam tumewaambia hatutaki kabisa kutuchafulia dini yetu kwa kuihusisha na siasa zao,lakini si umeona wana chadema wanavyojaribu kuuhusiha uislam,na waislam na hicho chama cha act??
jiulize kwani hiko chama kimesema wao ni watu gani au wao ni wana ajenda za uislam??sasa kwanin chadema na vijana wao wanakuja kuuhusisha uislam wetu moja kwa moja na chama hiko??kama sio choko choko ni nin??
Thats why tunasema chadema wapambane na mahasimu wao,wasipambane na uislam wala waislam wanazid kujiua sana
Naona umeamua kuingia rasmi kukitetea chama chako, kwa kukusaidia takukumbusha mbunge wa Chadema Joshua Nassari, alishasema kuwa Chadema wakichukuwa nchi kitu cha kwanza ni kuanzisha taifa la kaskazini upo.
Unaweza ukajiuliza ACT kinapambana na ccm au cdm?
Na kwanini baadhi ya watu humu wenye mlengo Fulani Wa kiiman wanaonekana kukitetea sn hicho chama?
Kwahiyo hapa twaweza sema Act wafuasi wake Ni Kundi hili na la Imani hii. Na cdm wafuasi wake Ni Kundi hili na la Imani hii!
Kwahiyo hapa ccm itabaki bila Kundi! Itabiki kuvuna kura kutoka pande zote! Wakati huo cdm na act wanasuguana kutokana na misuguano ya kimatabaka na kiiman!
Ntuzu,Unaweza ukajiuliza ACT kinapambana na ccm au cdm?
Na kwanini baadhi ya watu humu wenye mlengo Fulani Wa kiiman wanaonekana kukitetea sn hicho chama?
Kwahiyo hapa twaweza sema Act wafuasi wake Ni Kundi hili na la Imani hii. Na cdm wafuasi wake Ni Kundi hili na la Imani hii!
Kwahiyo hapa ccm itabaki bila Kundi! Itabiki kuvuna kura kutoka pande zote! Wakati huo cdm na act wanasuguana kutokana na misuguano ya kimatabaka na kiiman!
Ndugu zangu Waislam hawa ndiyo Chadema wanataka muwaunge mkono wachukue dola, wasomeni wenyewe wanavyotoa kashfa kwenu.
Tufahamishe huo ufafanuzi basi alioutoa Nassari.Kumbe ume hariri post yako? Ok Joshua Nassari aliwahi kutoa fafanuzi juu ya kauli zake! Ingawa sikumbuke vzr alisema nini lkn naweza sema upotoshaji umekua mkubwa kutokana na ile kauli yake!
Maoni yangu Chadema watatuletea vitu na kuharibu umoja wetu Watanzania, wanataka kutugawa waanzishe taifa la kaskazini.Mkuu mi siwezi kumzuia mtu kuongea juu ya vyama kwasababu Ni haki yake!
Nikuombe tu maoni yako tunapoelekea kwenye uchaguzi 2015! Nini maoni yako kutokana na hivi vyama?
Mbowe, kakanusha wapi wakat yeye ndiyo alimtuma aseme.Pimbi Joshua Nasari eti anasema chadema ikiuchukua nchi wataanzisha taifa lao la kaskazi,
Hawa jamaa ni disgrace sana,
Nakumbuka mbowe kaja kukanusha lakni wapi vitendo vinaongea zaid ya maneno,dogo nasari naona kavujisha siri za ndan,si bado hajakua kisiasa?
Maoni yangu Chadema watatuletea vitu na kuharibu umoja wetu Watanzania, wanataka kutugawa waanzishe taifa la kaskazini.
Kamanda njaa mwenzao Mohamedi Mtoi huwezi kumuona kwenye mijadala kama hii
Lakin iguse chadema uone hadi aya atamwaga hapo,njaa mbaya sana
hatimaye chama cha alliance for cowards and traitors kimenyimwa usajili source daraja newspaper
ACT-Tanzania (Alliance for change and Transparency) hichi hakijanyimwa usajili hicho ulichosema labda...
I dont know what kind of DINI KOLONI are you talking about,
But to us,islam is not dini koloni,kama kuna sehemu yeyote una ushahid kwamba uislam ulishawahi kuwafanya watu wawe watumwa kwa kutumiam vifungu vya maandiko matakatifu you bring it to me,
May be unaconfuse between waislam na waarabu,kwetu sisi qur an iliposhuka imeshuka na kukataza moja kwa moja utumwa tena kwa vifungu vya maandiko.
Je unajua kwamba meli ya kwanza kuchukua watumwa na wazee wetu kule ghana kupeleka ughaibuni iliitwa kwa jina "JESUS'?? na ipo hadi leo kule kama kumbu kumbu??
Sasa hilo usiniulize mimi,kama dini yako ni dini koloni its your bzness
i AM talking from a point of view of a brain-emancipatated African son (and not a brainwashed Indian imitating, Chinese imitating neither European-imitating-useless chap) to say that kwa mwafrika yoyote ambaye hayupo mentally enslaved hawezi ku-claim kuwa u-confucianism au u-hindu au u-taoismi au u-budha, and the like, ni dini yake yeye mwafrika. Hata kama imetokea kuwa kajikuta kwenye moja ya dini hizo sababu ya kihistoria ama ya utumwa ama ya vizazi vyake kuingizwa huko mwenye hizo dini huko zamani, basi leo baada ya kwenda shule na kujitambua lazima mwafrika huyo ajue yupo humo si kwa sababu dini hiyo ni ya mwafrika ila yumo humo kwa sababu tu za ki-His Toria. Vinginevyo hizo zote ni dini za kutoka nje ya Afrika na nyingi zilikuja kueneza utumwa dhidi ya mwafrika na kufanya biashara(kama zinavyofanya leo). dini zote ambazo asili yake si Afrika na zinashadidiwa na wamatumbi ni dini zilizoletwa na wakoloni kutoka nje hence DINIKOLONI. Inaweza kuwa DiniKoloni-Hindu, DiniKoloni-Taoisms nk nk, almradi si dini asili ya mwafrika basi hiyo ni DiniKoloni. na hivyo ni ufala tu kwa waafrika kujenga misingi ya ya migawanyiko, chuki, fitna kuuana kwa misingi ya dini hizi ambazo to begin with hata siyo dini za waafrika any way. kwa nini tunauana kwa misingi ya dini za wanaume wengine? kama ni lazima kuwa ili malengo yetu ya kisiasa yafanikiwe ni lazima tutumie gia za udini kwa nini basi kama waafrika tusibuni na sisi dini zetu (kama vile wahindi, wachina, wazungu, waarabu nk walivobuni za kwao) na tuzitumie hizo kujenga hiyo migawanyiko tunayoitaka kwa malengo yetu ya kisiasa na kiuchumi? ni lazima sisi kama waafrika tutumie dini za wanaume wengine kujenga hoja zetu sisi waafrika? tumelaaniwa au? hata ubunifu mdogo tu wa kubuni dini zetu unatushinda hadi tung'ang'anie hizi za wazungu na waarabu zilizotumika kama gia ya kutuingiza utumwani na katika minyonyoro ya ukoloni mkongwe, ukoloni mamboleo na hata ukoloni wa mkoloni mweusi?
BTW, nipo kwenye utafiti wa kutaka kujua hivi kuna wamatumbi wangapi amabao ni confucianists, wangapi ni hinduists,taoists na ni wangapi ni budhaists? kama hawapo ni kwa nini? au ni kwa vile Taoists hawakufanya biashara ya kuasi pum.u za babu zake big show kama walivyofanya wale wengine? ni kwa nini dini za waarabu tu (islam) na wazungu tu (christian) ndizo zilizukumizwa kwa wamatumbi? je hizo nyingine siyo dini? ni kwa nini mchina ana dini yake, mjapan anayo, mhindi anayo nk nk lakini waafrika wamebakia kumwagiana tindikali wenyewe kwa wemyewe kwa ajili ya dini za wengine? mwafrika ni mlaaniwa au? mwafrika kama mtwana hakuwa na dini mpaka atumie hizo za mabwana zake? kwa nini maadui za waafrika, wakiwemo waafrika wenyewe, wanafanikiwa sana kutumia DiniKoloni kuwachonganisha na kuwapumbaza waafrika ili washindwe kufikiri na kuamua sawasawa kwa maslah mapema ya waafrika na badala yake kubakia kuamua kwa misingi ya DiniKoloni, na mara nyingi ni hii DiniKoloniArabu na hii DiniKoloniMzungu? mbona hatuwasikii confucianists au hinduists wakiwalipua au kumwagia waafrika tindikali kwa misingi ya dini zao? au wao hawataki kwenda mbinguni kurithi vigoli?
kama meli ya kwanza kusafirisha watumwa waafrika iliitwa jesus, je, kuna namna ambavyo hilo linasaidia kuzifanya DiniKoloni zisiwe laana kwa Mwaafrika kama ilivyo sasa? big show embu tueleweshe.