- Thread starter
- #321
Hakuna chama bora kama chadema Tanzania hii na ukibisha hili ujue ni mchawi tu.
act ndio chama bora kwa sasa
Hakuna chama bora kama chadema Tanzania hii na ukibisha hili ujue ni mchawi tu.
na bendera ya marekani ina alama ya nyota. nyota ni ishara ya maendeleo
Utaendelea kupata tetesi kila siku ndio maana unaamini CCJ na CCK ni vya 6 lakini mpaka leo anadunda CCM.
Hatari....maagent wa kuharibu upinzani hao.
Alliance for Coward and Traitor..
Boko haramu hao...
Wataalamu wa dini, naomba kuuliza hii nyota ya magharibi inaashiria nini?? Nini maana yake??
act ilikuwepo toka mwaka jana mkuu, act ni chama makini sana .
Uzuri wake hata nyie mnajua ukiacha CCM chama kingine ni Chadema tu ndio maana husikii Cuf sijui ACT au kakaye ADC maana hivi kiongozi wake ni mmoja.Chagadema ishakufa mapema subiri matokeo kalenga muone na kule chalinze mshindi kashapatikana.
Kweli kabisa kwasababu kimejumuisha wasaliti wote toka vyama vingine. Lakini kubwa kuliko yote Kiongozi wake anamiliki chama kingine ADC.act ndio chama bora kwa sasa
Kweli kabisa kwasababu kimejumuisha wasaliti wote toka vyama vingine. Lakini kubwa kuliko yote Kiongozi wake anamiliki chama kingine ADC.
Alliance for Coward and Traitors...
Sisi kama ACT chama cha upinzani adui sio chadema adui yetu ni sisiemu na serikali yote iliyopo madarakani watanzania wamechoshwa na ufedhuli wa ma sisiemu uliowakandamiza kwa miaka 50 na ushee
Hizi nguvu unazo tumia hapa kuitukana chadema, kama opposition zielekeze ccm
Nimependa uchambuzi wako,short but clear.Kila mwenye akili ya kutambua anajua fika kuwa ACT imeanzishwa si kwa ajili ya kutoa upinzani kwa serikali bali kwa ajili ya kupunguza nguvu za upinzani hasahasa CHADEMA wakati wa uchaguzi mkuu,pia kumsaidia ZZK asikose chama cha kutumia kutimiza ndoto zake za kugombea uraisi wa Tanzania hapo 2015,Japo kuna uwezekano wa chama hicho kupata ufadhili wa chama tawala katika uchaguzi ujao,lakini impression ya jamii ni kuwa hicho ni chama cha wasaliti.Hiyo alama ya nyota pia ni tatizo,kwani aina tofauti na nyota ya mzee wa upako,ni nyota ya zionism,ukiwauliza Wapalestina watakuambia vizuri jinsi wanavyoteswa na nyota hiyoCHUKUA UKWELI HUU
Kwa sasa Tanzania inavyama zaidi ya ishilini vilivyosajiliwa rasmi na vingine bado havijapata usajili wa kudumu,miongoni mwa vyama hivyo ,vipo ambavyo vinamajina ya kiingereza na waasisi wake wamejaribu mara kadhaa kutohoa maana halisi ya majina yake na vifupi vyao kwa ki
View attachment 142799View attachment 142800View attachment 142801swahili,bt ni ukweli mchungu kwamba vyama hivyo havina nguvu ,havitoi ushindani uliokusudiwa na vingine vimekufa chali kifo cha mende pamoja na waasisi wao,naamaanisha vyama vyote vyenye majina ya kiingereza vimekufa na vingine ndo vinarushaa miguu vikimalizikia kukata roho,tofauti na baadhi ya vyama vyenye majina ya lugha yetu ya taifa kama vile CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA),na CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
kwa leo nitavitaja vyama vichache vinavyotumia majina hayo ya kigeni kwa ajili kukumbushia bt hata wewe waweza kuongezea,
1:NCCR..
2:UDP..
3:TLP..Tanzania Labour Party
4:CUF..Civil United Front
5:ADC.. Alliance for Democratic Change
6:ACT..Alliance for Change and Transparency
Naweza nisiwe sahihi sana katika utabiri wangu huu bt pia unaweza usiwafurahishe baadhi ya watu,nauona mwisho mbaya wa kisiasa wa chama kipya cha ACT chama cha WAHA wenzangu wa Kigoma pamoja na waasisi wake na watakaojiunga nao,usiniulize sababu we refer sababu za vyama tajwa hapo juu then tuviombee amani ,kwani waliosema taifa kwanza chama baadae ndo hao hao walioanzisha chama hicho,sasa imekuwa kinyume chake imekuwa chama kwanza Tanzania kaskazini baadae,
nimalizie kwa kuwapa taarifa nilikuwa mtu wa kwanza kufatwa hapa SAUT nijiunge nacho,nikawaambia kwangu Mimi hakuna mbadala sahihi wa CCM zaidi ya CDM,walipoulizia habari zangu zaidi wakambiwa "jamaa japo muha bt ni CDM damu hamuwezi kumbadilisha "wakaachana na mimi,alama ya Nyota nayo iliyopo kwenye bendela yao ni tatizo kwani wajuzi wa dini wanasema ni alama ya NYOTA MAGHARIBI.
Halafu munasema Chadema sio chama cha kidini!
siku zingine ushike adabu zako
na uache kabisa kuugusa gusa uislam na kuhusisha na mambo yenu ya siasa uchwara,ukiugusa tuh inakugharimu wewe na jamaa zako,hatujali wewe ni sisiem,wewe ni chadema,wewe ni cuf,wewe ni act au yyte yule,ukiugusa tuh ujue una case ya kujibu
nafuatilia nyendo zako hatua kwa hatua,nitakubaini tuh
Kweli kabisa kwasababu kimejumuisha wasaliti wote toka vyama vingine. Lakini kubwa kuliko yote Kiongozi wake anamiliki chama kingine ADC.
lazimam umtaje ili upate mlodr slaa anamiliki kadi mbili za ccm na chadema
Wataalamu wa dini, naomba kuuliza hii nyota ya magharibi inaashiria nini?? Nini maana yake??
Nyota inaashiria udini tena uislamu