MT KILIMANJARO
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 4,215
- 761
Hiki chama hakifiki hata Mwaka mmoja kitakuwa chali na baada ya 2015 lazima wagawane Mbao kwa Ugomvi wa Ruzuku.
Hyo ruzuku wataipata wapi kwan hawatakua na mbunge hata mmoja.
Hiki chama hakifiki hata Mwaka mmoja kitakuwa chali na baada ya 2015 lazima wagawane Mbao kwa Ugomvi wa Ruzuku.
Hyo ruzuku wataipata wapi kwan hawatakua na mbunge hata mmoja.
Watapata wapi Mbunge!? Labda mbunge wa jimbo la Msikiti wa UJIJI
Hiyo nafasi ya uwenyekiti unakaimu tuu au ni ya kudumu maana Zitto akija ataitaka kwa nguvu
Hyo ruzuku wataipata wapi kwan hawatakua na mbunge hata mmoja.
Kaingia vp wakati ndio Katibu wa ACT..Chuki yako haita kusaidia ss hapa mzee kaingia vipi
Tena CCM wameanzisha CCM "C" (ACT) baada ya CCM "B"(CUF) kuanguka vibaya na kushimdwa kuidhoofisha CDM.act ni kitengo cha ccm cha kuivuruga Chadema na shughuli zake zote zinagharamiwa toka Lumumba.
Na tayari kina mwenyekiti. Duhuyo mwenyekiti Limbu alikuwa CUF,akakimbilia ADC,nako tayari amehasi sasa ni ACT!kweli huu ni muungano wa waasi ambao utadumu tu iwapo jumapili mbili zitakuja kwa pamoja!
Umejuaje kuwa cdm hawaipendi act?Halafu ni kwa nini cdm hawakitaki hiki chama cha act kwani kimewashika wapi au kunasehemu kimewafungia njia wasipite? Jamani tujiulize kunani pale cdm na watu wao act ndiokinaanza wala hakina mbunge wala diwani au serkali za mitaa kwa nn ukisakame chama ambacho bado kinajitangaza kwa wa tz? Mm naona kunakitu wanakiofia act mpango mzima viva act viva
swahili,bt ni ukweli mchungu kwamba vyama hivyo havina nguvu ,havitoi ushindani uliokusudiwa na vingine vimekufa chali kifo cha mende pamoja na waasisi wao,naamaanisha vyama vyote vyenye majina ya kiingereza vimekufa na vingine ndo vinarushaa miguu vikimalizikia kukata roho,tofauti na baadhi ya vyama vyenye majina ya lugha yetu ya taifa kama vile CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA),na CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)Chagadema ishakufa mapema subiri matokeo kalenga muone na kule chalinze mshindi kashapatikana.