sasa chadema kife mara ngapi??
mnawabagua hata ambao sio wakatoliki??
dhambi ya ubaguz mbaya sana,yani wenyewe kwa wenyewe mnabaguana??
bora mfe tuh
bendera ina nyota kama ya msikiti
Unaposema "kufa" una maana gani. Nijuavyo kufa ni kitendo cha kutokuendelea kuwepo. Mtu akifa ina maana hatuwezi kumuona tena. Chama kikifa ina maana kitakuwa hakipo. CDM ina madiwani karibu 500 nchi nzima. Ina viongozi wa vitongoji kibao. Kukosa kushinda kalenga hakukiui Chama. Kujenga chama hadi kushinda chaguzi sio kazi nyepesi. Inawezekana kwa nchi ambazo zimeamka. Tanzania bado watu wake wamepumbazwa na mfumo dume wa CCM na wasiojua haki zao. Itachukua muda. Hadi vijana watakapochukua jukumu la kupiga kura na kuwaacha wazee kutuchagulia viongozi
Wataalamu wa dini, naomba kuuliza hii nyota ya magharibi inaashiria nini?? Nini maana yake??
Mmmm? SijakuelewaKwli hii ni Alliance for Crimianals and Traitors
bendera ina nyota kama ya msikiti
Nani waanzilishi wa hiki Chama wadau?
Viongozi wake wa juu ni akina nani?watanzania wazalendo
Chadema buriani, kwaheri ya kuonana tuliwapenda lakini ubaguzi na ubinafsi umewapenda zaidi.
CHADEHMA siku ikifa nenda ccm....Chagadema ishakufa mapema subiri matokeo kalenga muone na kule chalinze mshindi kashapatikana.
Viongozi wake wa juu ni akina nani?
mwigamba,zitto,kitilya
lucas limbu
Well,,, 😛layball:
bendera ina nyota kama ya msikiti
Chadema buriani, kwaheri ya kuonana tuliwapenda lakini ubaguzi na ubinafsi umewapenda zaidi.