President Obama's Trip to Ireland and England....

Naku-salute Ab-Titchaz!

Hizi picha zina mvuto asee. Michelle yu M-cute!
 
Hapa wanapata laga one for the road!!
 

Attachments

  • _52917108_1112222.jpg
    _52917108_1112222.jpg
    68 KB · Views: 19
Prince Wills and Cathy Duchess of Cambridge with Obama's
 

Attachments

  • _52936012_5555.jpg
    _52936012_5555.jpg
    113.7 KB · Views: 21
kwa kweli mama Obama anajua kuvaa vizuri mno hakuna first lady anaejua kupangilia nguo kama mama Obama na wengine waone mwenzao afanyavyo sio kukurupuka tu na mavitenge ya kariakoo
 
Michelle+Obama+President+Barack+Obama+Visits+FTMRIGVmLMfl.jpg

Huyu mama haangalii hata protoco ya wapi alipo bana...yeye anaendeleza penzi kwa mzee tu!
Ingekuwa wake zetu wa kibongo wako hivi, kambi ya Infidelities ingekosa ada za wanachama wake na hatimaye kufa kifo cha kawaida!
 
kwa kweli mama Obama anajua kuvaa vizuri mno hakuna first lady anaejua kupangilia nguo kama mama Obama na wengine waone mwenzao afanyavyo sio kukurupuka tu na mavitenge ya kariakoo

Ndugu;tatizo siyo kupangilia nguo kama mama Obama.Mama Obama ana mwili na shepu ya kupangilia hizo nguo.Wengine wakivaa kama yeye,inaweza kuwa kituko.Ni bora kuvaa kulingana na maumbile yako kuliko kuigaiga,halafu ukachekesha 'wazungu'!!
 
Michelle+Obama+President+Barack+Obama+Visits+FzzAG2Sdh64l.jpg


OBAMA DUNIAA!!!!!!!!!!!!!!! UNAKUBALIKA MKUU, WATAKE WASITAKE UKO JUU TU, AFRIKO UPO, ULAYA UPO NA MAREKANI NDO KWENYEWE, BIG UP.
AHSANTE AB, NILIKUWA NATAMANI KUONA HII ZIARA KATIKA PICHA.
 
Hii familia bado ina mvuto na nguvu sana!...Bila kupindisha, hawa watu wanapendana sana!..Si upendo wa kufoji!

Aaahaa hahaa ahaaaha JK na mkewe wana upendo wa kufoji, hata BWM naye alikuwa na upendo wa kufoji na mkewe Anna.
 
Michelle+Obama+President+Barack+Obama+Visits+15TdJYWc6-Bl.jpg


US First Lady Michelle Obama (R) and Camilla, Duchess of Cornwall speak as they leave Winfield House, the official residence of the US Ambassador, in Regent's Park on May 24, 2011 in London, England. The 44th President of the United States, Barack Obama, and his wife Michelle are in the UK for a two day State Visit at the invitation of HM Queen Elizabeth II. During the trip they will attend a state banquet at Buckingham Palace and the President will address both houses of parliament at Westminster Hall.



Hicho kikoti kinaitwa kibajaji
 
Halafu kamanda alichapia hapo, aliandika mwaka 2008. Pundits washaanza kuhangaika kucrack code kwa nini ameandika mwaka huo. Yale yale ya Osama ya ku-Authorize deal then akaenda kupiga mtaa Mississippi.
 
Michelle+Obama+President+Barack+Obama+Visits+FTMRIGVmLMfl.jpg

Huyu mama haangalii hata protoco ya wapi alipo bana...yeye anaendeleza penzi kwa mzee tu!
Ingekuwa wake zetu wa kibongo wako hivi, kambi ya Infidelities ingekosa ada za wanachama wake na hatimaye kufa kifo cha kawaida!
Halafu kamanda alichapia hapo, aliandika mwaka 2008. Pundits washaanza kuhangaika kucrack code kwa nini ameandika mwaka huo. Yale yale ya Osama ya ku-Authorize deal then akaenda kupiga mtaa Mississippi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom