<!-- google_ad_section_start(weight=ignore) -->Ab-Titchaz<!-- google_ad_section_end --> aksante kwa hii pichaUingereza hamjambo?....
kwa kweli mama Obama anajua kuvaa vizuri mno hakuna first lady anaejua kupangilia nguo kama mama Obama na wengine waone mwenzao afanyavyo sio kukurupuka tu na mavitenge ya kariakoo
Hii familia bado ina mvuto na nguvu sana!...Bila kupindisha, hawa watu wanapendana sana!..Si upendo wa kufoji!
Hicho kikoti kinaitwa kibajaji
US First Lady Michelle Obama (R) and Camilla, Duchess of Cornwall speak as they leave Winfield House, the official residence of the US Ambassador, in Regent's Park on May 24, 2011 in London, England. The 44th President of the United States, Barack Obama, and his wife Michelle are in the UK for a two day State Visit at the invitation of HM Queen Elizabeth II. During the trip they will attend a state banquet at Buckingham Palace and the President will address both houses of parliament at Westminster Hall.
Mkuu Chamoto,
alimaindi lakini nd'o hivyo tena...ilibidi akubali tu maana yote ni kwa roho safi...:biggrin1:
Umeuona wa mama wa kwetu lakini??....:biggrin1: Na sie pia tunajidai na TZ11 yetu.Mmmh Mama wa Kwanza ana transpoo.
Halafu kamanda alichapia hapo, aliandika mwaka 2008. Pundits washaanza kuhangaika kucrack code kwa nini ameandika mwaka huo. Yale yale ya Osama ya ku-Authorize deal then akaenda kupiga mtaa Mississippi.
Huyu mama haangalii hata protoco ya wapi alipo bana...yeye anaendeleza penzi kwa mzee tu!
Ingekuwa wake zetu wa kibongo wako hivi, kambi ya Infidelities ingekosa ada za wanachama wake na hatimaye kufa kifo cha kawaida!