President Kikwete Heading to Italy

President Kikwete Heading to Italy

Rais wa Kusafiri ameamua kwenda hivyo hivyo na busha lake ili mradi overtime imeingia. Huyu hawezi kuacha safari hata kama yupo mahututi. Vasco Da Gama mwenyewe anasubiria kwa huyu Professor feki wa kichina.
we jamaa inaonekana we una chuki sana.una matatizo makubwa
 
Go go go go DR.Prof....go everywhere......just 13 months to go
 
Hahahahaha! Hapana hili litakua tatizo la ki saikolojia! Haiwezekani ni mzima huyu jamaa!
Kama jamaa hajui kuendesha ndege by now nitmwona....mzito sana!
 
Kapona bxxxxxxsxxha sasa kaanza kula mtaa. Duh, ila kama ni Rais.... kweli RAHISI tunaye!!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Anastaajabisha sana huyu jamaa, nchi iko katika sakata la wizi mkubwa, hazina hakuna pesa, mahospitalini hakuna madawa, badala ya kurudi kwanza nchini kushughulikia haya anachanja mbuga kuelekea Italy!! Rais kweli hatuna!!

Ukiona hivyo ujue huko kuna MWALI ANATOKA hivyo TIMU YAKE YA MDUNDIKO inaelekea Italy KUMTOA MWALI. Ila acheze salama NYUZI ZISIJEFUMKA ikawa balaa...
 
Hii akili au matope???Kweli tuna ongozwa na mazwazwa!!!
 
Ivi mnamchezea professor nyie ivi ni lini ilitokea ishu kubwa alikuwepo inchini ye. Atakuja mwishoni kufinalize chezea hii kitu wewe
 
East African Business Week (Kampala)


23 NOVEMBER 2014


Mwanza — Tanzania's gas discovery and oil exploration is placing the country as one of the key players in global industry.

Florence, Italy, would see the Tanzanian President Jakaya Kikwete giving a keynote address.


According to the Minister for Energy and Minerals, Prof Sospeter Muhongo, the decision to select President Kikwete to give a keynote address in a meeting to be attended by more than 1,000 delegates gives pride to the country.


This, Prof Muhongo said, "is an appreciation that Tanzania is an incoming major player in oil and gas economy."




"Participation of Tanzania in GE General Meeting and assigning it a key role is a testimony that we have built trust and respect internationally," Prof Muhongo said.


Mid last October, 2014 Prof Muhongo was in Italy and one of the area in the new envisaged economic partnership between Tanzania and Italy will see Italy reviving Tiper Refinery in Dar es Salaam and expand the oil storage.


Prof Muhongo attended the Ministerial Conference, "Italy-Africa, Working Together for a Sustainable Energy Future", from 13-14 October, 2014.


The GE meeting is an opportunity for delegates to join more than 1,000 industry leaders worldwide to share their vision of the macro trends impacting the oil and gas sector and the future of GE's evolving technology-intensive industry.




akitoka huko atarudi kuendelea na mapumziko USA my country Tanzania
 
Sidhani kama hii nchi itakuja kuongozwa na W.a.k.w.e.r.e tena.Jay Kei kawaharibia W.a.k.w.e.r.e,Wazaramo,Waluguru na Wandengereko kwakweli.Kweli rais tumepata safari hii!
 
Duh ,sasa naanza kuelewa ule usemi wa Mwalimu Nyerere kuwa wewe urasi bado sana, alikuwa hamaanishi kuwa umri bado,bali uraisi alikuwa bado saana.

hii ni sawa baba usikie mtoto ameungua moto alafu unapitia baa kujua deni lako ni kiasi gani..... vipaumbele tofauti @#$%^&
 
Angekuwa raisi makini,kuugua kwake ilikuwa ni "excuse" tosha ya yeye kutokwenda na badala yake angewakilishwa na makamu wake alafu yeye angerudi nyumbani ku-attend tatizo hili kubwa la ufisadi wa Escrow.

Maadamu maliasili tunayo,watakuja tu wenyewe hata pasipo yeye kuhudhuria.

JK, kumbuka nyumbani hali si shwari na wewe ndio baba hivyo achana na ushamba huo wa kuzunguka bila kutafakari.

Huenda kajiponesha ili ahudhurie huo mkutano
 

Attachments

  • 1416857470465.jpg
    1416857470465.jpg
    41.6 KB · Views: 680
Last edited by a moderator:
jamani achene kumdhihaki rais wetu na kipenzi cha Watanzania.
 
Mweeee huyu baba anashambuliwa kama kibaka dadekiiiii
 
Natamani habari hii isiwe ya kweli maana naona hata aibu kusikia mkuu wa kaya aliyekuwa mgonjwa, hata hajapona sawa Sawa na anajua nyumbani kunashida ya masuala ya wizi, ukosefu wa madawa hospitalini na wanafunzi wa elimu ya juu wengi wamekosa mikopo ya ada, bado anaenda kutoa keynote mahali!!!
Kweli lilifanyika kosa kubwa 2005. Watanzania, hili lisirudiwe.
 
Back
Top Bottom