Angekuwa raisi makini,kuugua kwake ilikuwa ni "excuse" tosha ya yeye kutokwenda na badala yake angewakilishwa na makamu wake alafu yeye angerudi nyumbani ku-attend tatizo hili kubwa la ufisadi wa Escrow.
Maadamu maliasili tunayo,watakuja tu wenyewe hata pasipo yeye kuhudhuria.
JK, kumbuka nyumbani hali si shwari na wewe ndio baba hivyo achana na ushamba huo wa kuzunguka bila kutafakari.
Kwani Tanzania hakuna waziri wa mambo ya nje??? Kwa nini jakaya anafanya kazi zisizo zake?
Duh. ..
Badala ya kuja home kuangalia wananchi wake wanavyopambana na Escrow anaenda Italy. .
Basi Sawa. ...
Duh. ..
Badala ya kuja home kuangalia wananchi wake wanavyopambana na Escrow anaenda Italy. .
Basi Sawa. ...
Duh. ..
Badala ya kuja home kuangalia wananchi wake wanavyopambana na Escrow anaenda Italy. .
Basi Sawa. ...
Anastaajabisha sana huyu jamaa, nchi iko katika sakata la wizi mkubwa, hazina hakuna pesa, mahospitalini hakuna madawa, badala ya kurudi kwanza nchini kushughulikia haya anachanja mbuga kuelekea Italy!! Rais kweli hatuna!!
Daaaah,me nabak kucheka tu,
Duh. ..
Badala ya kuja home kuangalia wananchi wake wanavyopambana na Escrow anaenda Italy. .
Basi Sawa. ...