President Kikwete Heading to Italy

President Kikwete Heading to Italy

Kutokana na kuruhusu wizi wa Escrow, sina imani kabisa na Kikwete na Muhongo. Hawa ni sehemu ya wezi wakubwa.

Ndg haya ndio majambazi namba moja,ni heri ht wale wazee wa kazi kuliko haya.
 
Professor Haumwi lolote anazuga tu Escrow ipite ale bata hospital then hotel in I.
As I know Mtoto wa kiswahili always hayuko serious

Na ni kweli huyu jamaa atakuwa haumwi ila anasubiri upepo upite arudi nyumbani.
 
jamani achene kumdhihaki rais wetu na kipenzi cha Watanzania.

Wewe utakuwa na mtindio wa kufikiri. U.pumba.vu wa "rais wako" sio wa kunyanaziwa hata kidogo. Nchi iko katika hali mbaya wakati yeye anatembea tu huko, kwanza si anatoka kufanyiwa upasuaji wa busha? Si angerudi nyumbani kwanza...hatuna kiongozi hapa..!
 
Rais wa Kusafiri ameamua kwenda hivyo hivyo na busha lake ili mradi overtime imeingia. Huyu hawezi kuacha safari hata kama yupo mahututi. Vasco Da Gama mwenyewe anasubiria kwa huyu Professor feki wa kichina.

Babuni lisiloondolewa go.vi huyo mtu! Siamini kapeleka go.vi aahh sorry busha lake Italy da jamaa noma hakiyamungu kaah! Hivi jamani eehhh wataalam wa aviation naomba kujua hivi kuna madhara kutumia gulf stream muda mwingi?
 
Aksante Mungu kwa kutupa kiongozi huyu kama kweli ni chaguo lako mwambie huko aliko Muhimbili na Bugando hakuna dawa na pia Chenge,Pinda,MUONGO,Tibaijika wako hatarini bungeni awahi kuja kuokoa serikali yake.
 
Inachekesha sana.Hiyo gas inasaidia nini wakati hospitali hazina dawa,watoto shuleni hawana madawati,akina mama wanakufa kwa kukosa huduma na hawana vifaa vya kujifungulia,wazee wanakosa huduma muafaka nk.nk.

....ndugu yangu atajali nini yanayojiri huko vijijini wakati yeye akiugua hata tezi dume analipeleka Marekani kutibiwa!!...hawa viongozi wetu ni majanga haswa....
 
Hii habari mbona nakuwa na masjhaka nayo!
...sasa akimaliza huo mkutano anarudi sieta/kitandani Baltimore au anakuja nyumbani!?
 
Rais wa Kusafiri ameamua kwenda hivyo hivyo na busha lake ili mradi overtime imeingia. Huyu hawezi kuacha safari hata kama yupo mahututi. Vasco Da Gama mwenyewe anasubiria kwa huyu Professor feki wa kichina.

Mumeishiwa kifikra hamta ona lolote la heri kwa nci yetu
 
Jamaa anaweza kuwa na flying hours nyingi kuliko Captain Mazula rubani mzoefu hapa nchini. Mwenye kujua log book yake inasoma nini atushtue hapa.

takwimu za safari zake zilizomo jf mpaka mwaka jana zilikuwa zinaonyesha kwamba mtu pekee aliye juu yake kwa safari alikuwa hillary clinton ( ambaye analindwa na sera za US ZINAZOMTAKA WAZIRI WA MAMBO YA NJE AWEPO KILA PENYE MASILAHI YA NCHI YAKE ) , SINA UHAKIKA KWA MWAKA HUU NANI YUKO JUU , MAANA CLINTON KISHASTAAFU .
 
Mumeishiwa kifikra hamta ona lolote la heri kwa nci yetu

nani kakuambia nchi ikionngozwa na serikali hii ys magamba ina heri.....imejaa dhuluma uwizi ujambazi
hata shetani mwenyewe anawaogopa serikali hii na viongozi wake
 
Hii ziara ni muhimu kwa taifa tuachani ushabiki usio na mantiki!
 
Kama kawa likibuka jambo zito nchi mkuu lazima akwae Pipa.
 
Back
Top Bottom