Precision air hii kitu vipi bhana...?!

...
Hii inaonyesha jinsi gani ambavyo wa watanzania pengine tusivyo makini hata katika mambo yanayohitaji umakini kama kujitangaza kibiashara.
Watanzania au Wakenya? Ha ha haa, natania tu.
 
Nyie ndio wale mnaoenda kuomba kupigia picha kwa jirani ili kuficha mazingira duni ya kwenu...... sasa wangeenda kupigia wapi wakati hiyo ndio chemba pekee inayofaa?? sioni tatiozo ka hiyo picha kibongo bongo.
 
Jamani,
Nyie vipi?
Hii ni picha tu, nani aliyewaeleza kuwa ni maalum kutangazia biashara?
Usikute Ngoshwe ulipewa kama zawadi na mmojawapo hapo, kisha umeibandika huku!

Mkuu, PJ, pata Jarida lao la April - Jun kwenye Flight , check ukurasa wa 77 utakutana na hilo tangazo la Kimagagamba limetundikwa na wanajigamba hizo jezi zimegharimu shirika kiasi cha US.Dollars 170, 0000. Sina hakika kama Makamba amepitia huko kwenda kuwaandalia Makao watu wake...najua Mrambaramba ni shareholder may be amewashawishi kuleta hii kitu...
 

Sasa wamefanya market research ipi wakati wanaozikandya hizo rangi na background ndio market yenyewe? Labda walifanyia mwezini
 

Mmh sina comment maana kiswahili kwenye mtihani wa mwisho O-Level nilijitahidi na kupata G...teh..teeeh....teeeh.
 
Fire designer Magamba Kampuni, wameua shirika letu la Twiga Mnyonge **** magamba wametuzunguka mlango wa nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…