Tafadhari hili Shirika limezidi mno kila mara kuahirisha na ndege zao kuchelewa kuondoka bila kutoa sababu za msingi.
Leo reporting time saa 10 alfajiri, kuondoka kuelekea Dodoma saa 11:50 asubuhi. Lakini mpaka muda huu hakuna ndege, kila baada ya nusu saa abiria wakiuliza wanasogeza mbele nusu saa.
Muda ukifika kimya, abiria wakienda kulalamika wanasogeza tena mbele nusu saa. Muda ukifika hakuna, saa hizi wamepeleka mpaka saa 2 asubuhi.
Ebu fikiria mtu mpaka anakata ticket ya ndege kwa gharama kubwa ina maana ana haraka na jambo la muhimu au dharura ikiwemo wagonjwa.
Fikiria abiria waliopo Dodoma Airport na wanasubiri tu, wengine wana safari za nje wanatakiwa kuunganisha flight inakuwaje?
Kuna wageni hapa kutoka nje ya nchi wanalalamika mno bila kupewa maelezi yeyote. Badilikeni hiyo ni kampuni binafsi haitakiwi kuwa kama Shirika la Umma.
Nimeleta hapa Ili ujumbe uwafikie wahusika haraka. Sijui namna ambayo nitawafikishia ujumbe kwa haraka waone ni hasara na athari kiasi Gani abiria wanapitia.
Wahudumu wanajibu tuu kutokana na sababu za kiuendeshaji mwisho wamemaliza.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Leo reporting time saa 10 alfajiri, kuondoka kuelekea Dodoma saa 11:50 asubuhi. Lakini mpaka muda huu hakuna ndege, kila baada ya nusu saa abiria wakiuliza wanasogeza mbele nusu saa.
Muda ukifika kimya, abiria wakienda kulalamika wanasogeza tena mbele nusu saa. Muda ukifika hakuna, saa hizi wamepeleka mpaka saa 2 asubuhi.
Ebu fikiria mtu mpaka anakata ticket ya ndege kwa gharama kubwa ina maana ana haraka na jambo la muhimu au dharura ikiwemo wagonjwa.
Fikiria abiria waliopo Dodoma Airport na wanasubiri tu, wengine wana safari za nje wanatakiwa kuunganisha flight inakuwaje?
Kuna wageni hapa kutoka nje ya nchi wanalalamika mno bila kupewa maelezi yeyote. Badilikeni hiyo ni kampuni binafsi haitakiwi kuwa kama Shirika la Umma.
Nimeleta hapa Ili ujumbe uwafikie wahusika haraka. Sijui namna ambayo nitawafikishia ujumbe kwa haraka waone ni hasara na athari kiasi Gani abiria wanapitia.
Wahudumu wanajibu tuu kutokana na sababu za kiuendeshaji mwisho wamemaliza.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app