Exactly!!
Ndio maana mimi nikawa namwambia huyo mwamba aache kabisa mchezo wa kuomba uthibitisho. Kwa sababu hata huko kwenye sayansi yake anayoikomalia hakunaga kabisa kitu kinaitwa uthibitisho kamili🤕.
Na ulichosema kuhusu kuwepo uthibitisho kamili kiroho. Big Yes na unaona tayari imani ya muhusika inakuwa imeshahusika moja kwa moja! Imani ya muhusika huyo binafsi.
Kwa hiyo tukirudi kwa bwana
Infropreneur kama unataka uthibitisho ni lazima wewe binafsi uwe na imani na hicho kitu iwe ni cha kisayansi au cha kimungu ni lazima imani ihusike. Uziamini facts na uzikubali wewe rohoni mwako. Bisha kwamba uthibitisho hauhitaji imani. Bisha?