Prayer is an act of doubt, not faith

Prayer is an act of doubt, not faith

Lakini ninakubaliana na mtoa mada kwa habari ya mtu kuomba sana na kukazia kwa makelele kuwa ni imani iliyo kiwango cha chini ukilinganisha na yule anayewish tu rohoni halafu akaamini ameshasikiwa akaendelea.

Ambacho sikubaliani nacho tu ni hayo mahitimisho ya kwamba kwanza Mungu mwenyewe hayupo. Hayo ndio hayana mantiki na kichwa cha somo.
 
Mungu ametuumba kwa Jinsiya ajabu ndo maana tuna kitu ambacho wengine hawana nacho ni hali na uweza wa kuchagua.
 
If you really thought your God was watching over everything and you genuinely trusted in his "Plan"
You wouldn't be praying in the first place.

A person who prays is the one who thinks that God has arranged matters all wrong, Also who thinks that he can instruct God how to put them right.

This means that,

Human beings created God through assumptions, Based on things beyond their imaginations.
There is always a price tag to everything and hence according to God's own standards, there is no free lunch

In that respect, you have to pay such prices as of ASKING before you are GIVEN, of FINDING before you are SHOWN, of KNOCKING before the doors get OPENED for you

God doesn't give anything for free but everything for a moderate PRICE which is only THE WORDS that has taught you to use them in place of a PAYING PRICE

On the other hand however, you are right in your assertion that you SOMETIMES, have to be in a DOUBTFUL situation before you PRAY.

Sometimes people play WHILE are in a DOUBTFUL SITUATION; and ALWAYS pray when they are in a DOUBTFUL situation
 
Lakini ninakubaliana na mtoa mada kwa habari ya mtu kuomba sana na kukazia kwa makelele kuwa ni imani iliyo kiwango cha chini ukilinganisha na yule anayewish tu rohoni halafu akaamini ameshasikiwa akaendelea.

Ambacho sikubaliani nacho tu ni hayo mahitimisho ya kwamba kwanza Mungu mwenyewe hayupo. Hayo ndio hayana mantiki na kichwa cha somo.
Si lazima ukabaliane na mimi.

Huwezi kahalalisha imani yako ya uwepo wa huyo Mungu na kudhani ndio sahihi kwa watu wote, hiyo ni imani yako tu.

Uhalisia na ukweli ni kwamba Mungu hayupo.
 
Uhalisia na ukweli ni kwamba Mungu hayupo.
Wewe kushindwa kujua kuwa Mungu hayupo, haimaanishi kuwa hayupo isipokuwa tu kama unazo evidence za ku-prove kwamba Mungu hayupo. Mbali na hilo, wanaoamini kuwa Mungu yupo, kushindwa kwao kukuthibitishia wewe kuwa Mungu yupo, hakumaanishi kuwa Mungu hayupo. Mungu hayupo iwapo tu wewe mwenyewe unao uthibitisho wa kuweza kprove kuwa Mungu hayupo

Je, wewe kama wewe, uthibitisho wa Mungu kutokuwepo unao?
 
Wewe kushindwa kujua kuwa Mungu hayupo, haimaanishi kuwa hayupo isipokuwa tu kama unazo evidence za ku-prove kwamba Mungu hayupo. Mbali na hilo, wanaoamini kuwa Mungu yupo, kushindwa kwao kukuthibitishia wewe kuwa Mungu yupo, hakumaanishi kuwa Mungu hayupo. Mungu hayupo iwapo tu wewe mwenyewe unao uthibitisho wa kuweza kprove kuwa Mungu hayupo

Je, wewe kama wewe, uthibitisho wa Mungu kutokuwepo unao?
Kitu kinaweza kuwepo angalau kwa namna mojawapo ya kuonekana, kushikika,kusikika au kuhisika.

Mungu huyo Hayupo kwa namna yoyote ile zaidi ya mawazo ya kufikirika tu, Imagination just an illusion.

Mungu huyo Haonekani, Hasikiki, Hashikiki na wala Haisiki.

Mungu hayupo kwa namna yoyote ile.

Kama Mungu huyo yupo, Niambie Mungu huyo yupo kwa namna gani?

Na si mawazo yako ya kufikirika tu.
 
Kitu kinaweza kuwepo angalau kwa namna mojawapo ya kuonekana, kushikika,kusikika au kuhisika.

Mungu huyo Hayupo kwa namna yoyote ile zaidi ya mawazo ya kufikirika tu, Imagination just an illusion.

Mungu huyo Haonekani, Hasikiki, Hashikiki na wala Haisiki.

Mungu hayupo kwa namna yoyote ile.

Kama Mungu huyo yupo, Niambie Mungu huyo yupo kwa namna gani?

Na si mawazo yako ya kufikirika tu.
Basi mimi sina shida na hoja yako as long as unayo proof kwamba Mungu hayupo. Mimi nina shida na yule ambaye hana proof lakini wakati huo huo anadai kuwa Mungu hayupo

Wewe ni very intelligent kwa sababu proof unayo. Unachotakiwa kufanya sasa ni kutulia na hizo evidence zako bila kukaa unababaika babaika kwenye mijadla mingine tena inayohusiana na kuwepo au kutokuwepo kwa Mungu. As long as you have the proof, be comfortable and stay calm
 
Basi mimi sina shida na hoja yako as long as unayo proof kwamba Mungu hayupo. Mimi nina shida na yule ambaye hana proof lakini wakati huo huo anadai kuwa Mungu hayupo

Wewe ni very intelligent kwa sababu proof unayo. Unachotakiwa kufanya sasa ni kutulia na hizo evidence zako bila kukaa unababaika babaika kwenye mijadla mingine tena inayohusiana na kuwepo au kutokuwepo kwa Mungu. As long as you have the proof, be comfortable and stay calm
Mimi pia nashida na ambao hawana uthibitisho wa uwepo wa Mungu ila hukosoa na kuwatukana Atheists
 
Mimi pia nashida na ambao hawana uthibitisho wa uwepo wa Mungu ila hukosoa na kuwatukana Atheists
Unajuaje kama hawana uthibitisho? Uthibitiso wa Mungu upo kiroho zaidi kuliko kimwili kwa sababu Mungu ni Roho.
Ulishawahi kuota ndoto ukiwa umelala usingizi? Kama ulishawahi, je unaweza ukamthibitishia mtu mwingine kuwa huwa unaota ndoto? Kama tuseme huwezi, mtu akikukatalia kuwa huwa huoti ndoto, atakuwa yuko sahihi?
Mungu siyo Physics
 
Unajuaje kama hawana uthibitisho? Uthibitiso wa Mungu upo kiroho zaidi kuliko kimwili kwa sababu Mungu ni Roho.
Ulishawahi kuota ndoto ukiwa umelala usingizi? Kama ulishawahi, je unaweza ukamthibitishia mtu mwingine kuwa huwa unaota ndoto? Kama tuseme huwezi, mtu akikukatalia kuwa huwa huoti ndoto, atakuwa yuko sahihi?
Mungu siyo Physics
Ndio maana nakwambia hivi Mungu hayupo katika uhalisia ila katika dhana ya kufikirika tu, Imagination just an illusion.
 
Unajuaje kama hawana uthibitisho? Uthibitiso wa Mungu upo kiroho zaidi kuliko kimwili kwa sababu Mungu ni Roho.
Ulishawahi kuota ndoto ukiwa umelala usingizi? Kama ulishawahi, je unaweza ukamthibitishia mtu mwingine kuwa huwa unaota ndoto? Kama tuseme huwezi, mtu akikukatalia kuwa huwa huoti ndoto, atakuwa yuko sahihi?
Mungu siyo Physics
Mungu ni roho. Sorry bro, roho ni nini?
 
Faith is an act of doubt.

If you have proofs and evidences of existence of something you don't need to have faith.
Halafu chief hili suala unalishadadia tu na unajua haliwezekani kwa kitu chochote kile achana na haya unayoita ya kufikirika.

Kutokana na kanuni kama za Relativity, Heinsenberg uncertainty principle au hata na Godels incompletenes theorem;

Ni haiwezekaniki kuwepo na uthibitisho kamilifu wa kitu. Unaweza tu kuwa vithibiti kiasi ambavyo vinatosha (good enough) halafu nafasi nyingine utajazia kwa kuwa na imani (faith) kwamba: 'kutokana na ninaYOYAJUA (hapa utakutana na wale wanauliza can you really 'know sth!?') mpaka sasa, na ushahidi uliopo hadi sasa NINAAMINI palipobaki ni kweli ipo vile au hivi nukta.

Imani ni lazima
 
Utandawazi na kingeleza uchwala,kitawapoteza vijana Kuna siku utaona umuhim wa kuomba hutaambiwa na mtu Ila wewe mwenyewe utaomba kwa mdomo wako kwa huyo ambae unamuamini wewe mwenyewe
 
Utandawazi na kingeleza uchwala,kitawapoteza vijana Kuna siku utaona umuhim wa kuomba hutaambiwa na mtu Ila wewe mwenyewe utaomba kwa mdomo wako kwa huyo ambae unamuamini wewe mwenyewe
Una uthibitisho gani mimi ni kijana?

Jibu hoja acha viroja.

Nakwambia hivi, Maombi ni kitendo cha mashaka kudhani kwamba mambo yako hayako sawa kwamba kuna Mungu wa kurekebisha mambo yako kupitia sala zako.
 
Good to reveal your weakness. The moment you start praying is the moment you come to realise how foolish you were.
 
Good to reveal your weakness. The moment you start praying is the moment you come to realise how foolish you were.
Prayer is an illusion thinking that, There is a creature beyond the sky will help to solve your problems.

Foolish is the one who prays for an illusion character (God) thinking that he will be helped.
 
Back
Top Bottom