Prayer is an act of doubt, not faith

Prayer is an act of doubt, not faith

Ogopa sana wafia dini, na usije kupoteza muda kuwaambia mnachokiamini hakipo.
Majibu yao ni mepesi mno, ni bora kuwaacha waendelee na dini na vitabu vilivyoletwa kwa msaada wa “mansoon winds” kupitia missionary na arabs
Cha msingi watoto wetu wapate elimu bora na sio bora elimu kupunguza au kufuta hii nadharia ya kutegemea maombi na mungu na kuacha kuumiza akili kutafuta soln ya changamoto zinazozidi kutuandama kila kukicha
 
If you really thought your God was watching over everything and you genuinely trusted in his "Plan"
You wouldn't be praying in the first place.

A person who prays is the one who thinks that God has arranged matters all wrong, Also who thinks that he can instruct God how to put them right.

This means that,

Human beings created God through assumptions, Based on things beyond their imaginations
It depends on your definitions and Intentions...
 
Umenena vyema kabisa mtumishi, sala ni kujipendekeza kwa Mungu Ili akupe upendeleo kuliko wengine na kusali ni Ubinfsi mkubwa sana hata Mimi huwa Sisali, kwani kitendo cha kupewa akili kinatosha kuishi na hatuhitaji kujipendekeza Wala kuwa chawa wa Mungu kwa njia ya Sala ama njia yoyote Ile.
 
Njia pekee ya kuwasilia na Mungu/miungu au spirits zozote Ni kwa njia ya kutamka maneno na kuyaamini, au kutamka Jambo litokee kwa mtu au mahali bila physical contact, wengine wanaita Spell, prayer n. k, wanaowasiliana kwa njia hio wanajua Kama Mungu yupo au hayupo, anaongea au yupo kimya,

Pia wanajua Kama mizimu/ maiini yapo au ni dhana tu, watu wameoa hadi majini halafu we unasema hawapo!!!

Maombi Ni njia ya kuwasilia na Mungu, kwa ajili ya kumshukuru na kumtukuza kwa mambo mbalimbali aliyokufanyia
 
Njia pekee ya kuwasilia na Mungu/miungu au spirits zozote Ni kwa njia ya kutamka maneno na kuyaamini, au kutamka Jambo litokee kwa mtu au mahali bila physical contact, wengine wanaita Spell, prayer n. k, wanaowasiliana kwa njia hio wanajua Kama Mungu yupo au hayupo, anaongea au yupo kimya,

Pia wanajua Kama mizimu/ maiini yapo au ni dhana tu, watu wameoa hadi majini halafu we unasema hawapo!!!

Maombi Ni njia ya kuwasilia na Mungu, kwa ajili ya kumshukuru na kumtukuza kwa mambo mbalimbali aliyokufanyia
Illusions.
 
Kuomba ni muhimu.

Ni kama vile katika familia, baba anajua mahitaji ya watoto wake...lakini mengine lazima mtoto afunguke kwa Mzee ili apewe, kama nasi tunavofunguka kwa Mungu.

Baba nyumbani atajua vipi daftari limeisha bila kumwambia?... inabidi tujifunze kuongea na Mungu katika uhitaji wetu na kumshukuru.
 
Kuomba ni muhimu.

Ni kama vile katika familia, baba anajua mahitaji ya watoto wake...lakini mengine lazima mtoto afunguke kwa Mzee ili apewe, kama nasi tunavofunguka kwa Mungu.

Baba nyumbani atajua vipi daftari limeisha bila kumwambia?...
Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Hajui mahitaji yako anayopaswa kukutimizia mpaka umuombe na umkumbushe?

Kama mahitaji yako unayajua, Kwa nini uhangaike kuomba?

Ina maana Mungu huyo alikuwa hayajui hayo mahitaji yako?

inabidi tujifunze kuongea na Mungu katika uhitaji wetu na kumshukuru.
 
Hakika Mungu ambaye hajui viumbe wake wanamahitaji gani Hadi akumbushwe ni Mungu wa hovyo kwelikweli na hana tofauti na binadamu.
 
Kinachotakiwa ni kuonesha nia tu, wala maombi hayahitajiki saaana.

Mfano ww Infropreneur ulionesha nia ya kumpinga Mungu na maombi yako yalishajibiwa unaona upo Jf unatype Mungu hayupo. Kila kitu kipo powered na yeye.

Sasa mwingine kujiridhisha kama amesikika ndio hadi aongee, mwingine hadi apaaaze sauti kubwa. Ila wote Mungu anasikia.

It is because in him we live, move and have our being
 
Kinachotakiwa ni kuonesha nia tu, wala maombi hayahitajiki saaana.

Mfano ww Infropreneur ulionesha nia ya kumpinga Mungu na maombi yako yalishajibiwa unaona upo Jf unatype Mungu hayupo. Kila kitu kipo powered na yeye.
Kwamba Mungu huyo yupo ndani mwangu anajipinga?

Ilhali mnasema Mungu huyo anataka aabudiwe siku zote?

Atanipaje power ya kumpinga?

Huoni kama Mungu huyo ana ji Contradict mwenyewe😄
Sasa mwingine kujiridhisha kama amesikika ndio hadi aongee, mwingine hadi apaaaze sauti kubwa. Ila wote Mungu anasikia.

It is because in him we live, move and have our being
 
Ilhali mnasema Mungu huyo anataka aabudiwe siku zote?

Atanipaje power ya kumpinga?
Unao uwezo halisi wa kuchagua kufanya either kuabudu au kupinga. Free will

Ingekuwa haiwezekaniki kuchagua kwa kuzuiwa kabisa kimfumo ingekuwa hakuna hiyo hiyari.

Kiukweli mtu akimuabudu Mungu ni Mungu mwenyewe kampower, na akimpinga ni Mungu kampower na kila mmoja atapata sawasawa na machaguo yake. Eaaaaasy
 
Unao uwezo halisi wa kuchagua kufanya either kuabudu au kupinga. Free will

Ingekuwa haiwezekaniki kuchagua kwa kuzuiwa kabisa kimfumo ingekuwa hakuna hiyo hiyari.

Kiukweli mtu akimuabudu Mungu ni Mungu mwenyewe kampower, na akimpinga ni Mungu kampower na kila mmoja atapata sawasawa na machaguo yake. Eaaaaasy
Kama Mungu huyo anataka aabudiwe kwa nini aweke adhabu kwa ambao hawa mwamini?

Yani aweke machaguzi mawili ya kumwabudu au kumpinga, Halafu eti ukichagua kumpinga aku adhibu?

Kama alikuwa anataka aabudiwe tu, Kwa nini aweke na chaguo la kumpinga?
 
Kama Mungu huyo anataka aabudiwe kwa nini aweke adhabu kwa ambao hawa mwamini?

Yani aweke machaguzi mawili ya kumwabudu au kumpinga, Halafu eti ukichagua kumpinga aku adhibu?
Kwani ndiyo ilivyo, au umemnukuu vibaya tu kaka.

Yeye haji na fimbo mkononi personally kuanza kukuchapa hivi. La hasha.

Bali ni zaidi kama ile hali unakuta Samurai wa Kijapani anaona ameikosea amri ya mfalme anaamua kuwaacha wenzake waende mbele yeye anabaki nyuma kupambana na adui na anakufa.

Hajauliwa na mfalme, hajauwawa na wanajeshi wenzake. Bali amekufa mikononi mwa maadui haohao ambao mwanzo alimsaliti mfalme kwao.

Yaani bro, hii ni mifumo tu ambayo kila mmoja anajichagulia achezecheze vipi na mwisho wake (au muendelezo wake) uwe vipi. Na mfumo mzimaaaa upo powered by God. It is in Him that we live move and have our being👊
 
Kwani ndiyo ilivyo, au umemnukuu vibaya tu kaka.

Yeye haji na fimbo mkononi personally kuanza kukuchapa hivi. La hasha.

Bali ni zaidi kama ile hali unakuta Samurai wa Kijapani anaona ameikosea amri ya mfalme anaamua kuwaacha wenzake waende mbele yeye anabaki nyuma kupambana na adui na anakufa.

Hajauliwa na mfalme, hajauwawa na wanajeshi wenzake. Bali amekufa mikononi mwa maadui haohao ambao mwanzo alimsaliti mfalme kwao.

Yaani bro, hii ni mifumo tu ambayo kila mmoja anajichagulia achezecheze vipi na mwisho wake (au muendelezo wake) uwe vipi.

Na mfumo mzimaaaa upo powered by God. It is in Him that we live move and have our being👊
Mungu huyo ni nini?

Hiyo power of God ulijuaje ipo?

Au ni fiction stories za kusimuliwa.
 
Mungu huyo ni nini?

Hiyo power of God ulijuaje ipo?

Au ni fiction stories za kusimuliwa.
Nilijua tu kwa njia fulani. Tumia njia yoyote nawe mtafute hata kwa kupapasa papasa tu hakika utamwona maana hayuko mbali nawe pia. Mradi lengo tu au swali liwe ni kujibu ' Mungu huyo ni nini? Ninajuaje uwezo wake kuwa upo?

Kwa maana ndani yake yeye tunaishi, tunakwenda na kuwa na uhai wetu.

Sisi sote tu uzao wake. Utampata tu Baba Yetu
 
Nilijua tu kwa njia fulani. Tumia njia yoyote nawe mtafute hata kwa kupapasa papasa tu hakika utamwona maana hayuko mbali nawe pia. Mradi lengo tu au swali liwe ni kujibu ' Mungu huyo ni nini? Ninajuaje uwezo wake kuwa upo?

Kwa maana ndani yake yeye tunaishi, tunakwenda na kuwa na uhai wetu.

Sisi sote tu uzao wake. Utampata tu Baba Yetu
Unazunguka zunguka tu, wala huwezi kumuelezea Mungu huyo alivyo kwa vile ni fiction character asiye kuwepo.

Mungu hayupo.
 
Unazunguka zunguka tu, wala huwezi kumuelezea Mungu huyo alivyo kwa vile ni fiction character asiye kuwepo.

Mungu hayupo.
chrome_screenshot_1697631378985.png

Kama picha haionekani utajisomea mwenyewe kwenye hii link

 
Back
Top Bottom